Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro, unasemaje kuhusu kauli hii ya SACP Engelbert Kiondo - Kamishna mwandamizi msaidizi wa polisi?

Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro, unasemaje kuhusu kauli hii ya SACP Engelbert Kiondo - Kamishna mwandamizi msaidizi wa polisi?

Haya mkuu lakini hebu cheki leo Mkata leo
View attachment 1605240
Mbona kama vile wako kwenye msiba? Halafu hata pale anapowataka wanyoshe mikono umeona ni asilimia ngapi ya waliohudhuria wakifanya hivyo. Kumbuka kura ni siri ya mtu. Wapo wengi tu hapo wamehudhuria mradi waonekane wakiogopa kisirani cha jiwe. Wewe endelea kujidanganya na utakapozinduka kumekucha na Ikulu ina mpangaji anayestahili, ambaye hakusukumiziwa.

Halafu naona kuna kitu bado hakiwashtui nalo ni kwa nini wengi humu tunatumia majina bandia. Nani asingependa kutumia jina lake rasmi kuikosoa serikali hii ya kikatili. Ni woga na hofu waliyonayo Watanzania kwani hakuna uhuru, hakuna haki, hakuna usawa...ni udikteta mtindo moja hadi hata Hitler mwenyewe angetuonea wivu. Hii miaka mitano haina mfano wake katika karne hii!
 
Mbona kama vile wako kwenye msiba? Halafu hata pale anapowataka wanyoshe mikono umeona ni asilimia ngapi ya waliohudhuria wakifanya hivyo. Kumbuka kura ni siri ya mtu. Wapo wengi tu hapo wamehudhuria mradi waonekane wakiogopa kisirani cha jiwe. Wewe endelea kujidanganya na utakapozinduka kumekucha na Ikulu ina mpangaji anayestahili, ambaye hakusukumiziwa.

Halafu naona kuna kitu bado hakiwashtui nalo ni kwa nini wengi humu tunatumia majina bandia. Nani asingependa kutumia jina lake rasmi kuikosoa serikali hii ya kikatili. Ni woga na hofu waliyonayo Watanzania kwani hakuna uhuru, hakuna haki, hakuna usawa...ni udikteta mtindo moja hadi hata Hitler mwenyewe angetuonea wivu. Hii miaka mitano haina mfano wake katika karne hii!
Ila nyomi fake za Lissu sawa etiiii??
 
Afande Engelbert Kiondo anafaa kabisa kuwa IGP serikali ijayo ya JPM.
 
Ila nyomi fake za Lissu sawa etiiii??
Hii hapa...

Badala ya kuchota kodi zetu hazina, Mh. Tundu Antiphas Lissu anachangiwa na Wananchi wazalendo wenye uchungu wa kweli kwa taifa hili na wamechoshwa na utawala wa Kiilma wa jiwe.
 
Hii hapa...
View attachment 1605274
Badala ya kuchota kodi zetu hazina, Mh. Tundu Antiphas Lissu anachangiwa na Wananchi wazalendo wenye uchungu wa kweli kwa taifa hili na wamechoshwa na utawala wa Kiilma wa jiwe.
Halafu John akazipige! Wanasaccos kila mara huchanga tu mkuu tatizo zinapigwa kama wabunge michango yao imepigwa itakuwa hiyo ya walalahoi.
 
Halafu John akazipige! Wanasaccos kila mara huchanga tu mkuu tatizo zinapigwa kama wabunge michango yao imepigwa itakuwa hiyo ya walalahoi.
Hivi na wewe umewahi kumchangia?
 
Hivi na wewe umewahi kumchangia?
Nilipokuwa nipo kwenye Saccos nimechanga sana tu mkuu ila sasa hivi akili zimenirudi siwezi kuwachangia ili wakanywe pombe tuuu! Walevi sana hao Lissu na Mbowe!
 
Nilipokuwa nipo kwenye Saccos nimechanga sana tu mkuu ila sasa hivi akili zimenirudi siwezi kuwachangia ili wakanywe pombe tuuu! Walevi sana hao Lissu na Mbowe!
Ulipotoka hiyo Saccos ulienda wapi?
 
Ndiyo umeziona leo mbona za siku nyingi? Na ukweli utabaki hivyo hivyo tu! Whether you like or not!!
Ndiyo maana taifa linapongia kwenye shida yoyote mnaotutala kwa mabuvu kama hivi, tunafurahi.
Mbabe wako ukiona anapigwa, unafurahi
 
Wana subiri uchunguzi zaidi.maana macho yao hayaoni wala masikio yao haya sikii
 
Wana subiri uchunguzi zaidi.maana macho yao hayaoni wala masikio yao haya sikii
Ndio maana naendelea kumhoji huyu magu2016, anatupa taarifa muhimu sana zitakazosaidia katika uchunguzi muda muafaka ukifika.
 
Back
Top Bottom