Miaka 1000Kwa muda gani uko chama Dume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 1000Kwa muda gani uko chama Dume?
Sheria ya utumishi wa umma si inakataza huyo bwana kufanya anayofanya hapo, sasa mbona hachukuliwi hatua? Halafu inaonekana hao wananchi sio wote wana-CCM kwa mshangao wao.View attachment 1604283
Huyu ndiye SACP Engelbert Kiondo - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa PolisiView attachment 1604292
Hebu tumsikilize...
Kwa kweli ni vigumu kuamini kwamba huyu ni afande katika Jeshi la Polisi Tanzania au wenzangu mnasemaje?
Huyo ni SACP Engelbert Kiondo - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Polisi...cheo kikubwa tu ndani ya Jeshi La Polisi. Kuna wakati unajiuliza kama nchi hii ina Katiba na kuna mtu aliapa kuiheshimu, kuilinda na kuitetea Katiba. Hata hivyo tarehe 28/10/2020 tunayo nafasi ya kuyafagia haya matakataka yote yasiyoheshimu sheria.Kichwani hanna kitu kabisa
Hakuna hata mmoja atakayeenda kumpigia kura mwizi na dikteta!Cheki nyomi ya Mkata leo tarehe 19/10/2020 karibu kesho Korogwe!
View attachment 1605236
Hopeless comment ya mwaka huu!Hakuna hata mmoja atakayeenda kumpigia kura mwizi na dikteta!
Watu hufurika kwa mikutano ya chama cha majambazi(ccm) kuja kupata burudani ya zuchu
Mchague Lisu Hana kashfa yeyetoHopeless comment ya mwaka huu!
Chama tawala ni chama kinachojipa madaraka ya kutawala bila kutumia kura.Kinamtawala nani?
Huyu Yuko wapi siku hizi?View attachment 1604283
Huyu ndiye SACP Engelbert Kiondo - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa PolisiView attachment 1604292
Hebu tumsikilize...
Kwa kweli ni vigumu kuamini kwamba huyu ni afande katika Jeshi la Polisi Tanzania au wenzangu mnasemaje?
Nampongeza sana huyu polisi. Amesema ukweli ulivyo katika vitendo!! Polisi yeyote akisema tofauti ni unafiki tu!! Nashauri huyu polisi apandishwe cheo!View attachment 1604283
Huyu ndiye SACP Engelbert Kiondo - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa PolisiView attachment 1604292
Hebu tumsikilize...
Kwa kweli ni vigumu kuamini kwamba huyu ni afande katika Jeshi la Polisi Tanzania au wenzangu mnasemaje?
Hujakoma tu!!Wewe na mmeo
USSR
Huyu kamanda anashule kuliko yako na anacv ndefu kuliko yakoTatizo shule.
Huyu kamanda sii kosa lake.
Kosa lipo kwenye kupungukiwa na shule. Yujitahidi kumpa somo la uraia huenda akajielewa/pambanua