MBEGU YA BINADAMU
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 375
- 317
Nadhani uelewa wenu nyooote wa cdm ni mdogo sana. Kasema cdm wakishinda atawapigia satute na kuchukua ilani yao. Hapo kakosea nini?Ndiyo maana wanaitwa Policcm. Hao Maafisa karibia wote ni wafuasi na wanachama watiifu wa CCM.
Mbona kama vile wako kwenye msiba? Halafu hata pale anapowataka wanyoshe mikono umeona ni asilimia ngapi ya waliohudhuria wakifanya hivyo. Kumbuka kura ni siri ya mtu. Wapo wengi tu hapo wamehudhuria mradi waonekane wakiogopa kisirani cha jiwe. Wewe endelea kujidanganya na utakapozinduka kumekucha na Ikulu ina mpangaji anayestahili, ambaye hakusukumiziwa.Haya mkuu lakini hebu cheki leo Mkata leo
View attachment 1605240
Ila nyomi fake za Lissu sawa etiiii??Mbona kama vile wako kwenye msiba? Halafu hata pale anapowataka wanyoshe mikono umeona ni asilimia ngapi ya waliohudhuria wakifanya hivyo. Kumbuka kura ni siri ya mtu. Wapo wengi tu hapo wamehudhuria mradi waonekane wakiogopa kisirani cha jiwe. Wewe endelea kujidanganya na utakapozinduka kumekucha na Ikulu ina mpangaji anayestahili, ambaye hakusukumiziwa.
Halafu naona kuna kitu bado hakiwashtui nalo ni kwa nini wengi humu tunatumia majina bandia. Nani asingependa kutumia jina lake rasmi kuikosoa serikali hii ya kikatili. Ni woga na hofu waliyonayo Watanzania kwani hakuna uhuru, hakuna haki, hakuna usawa...ni udikteta mtindo moja hadi hata Hitler mwenyewe angetuonea wivu. Hii miaka mitano haina mfano wake katika karne hii!
Ninamfahamu huyu mchumia tumbo ni msomi wa seminari. Sijui wanalishwa uchafu gani huko.View attachment 1604283
Huyu ndiye SACP Engelbert Kiondo - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa PolisiView attachment 1604292
Hebu tumsikilize...
Kwa kweli ni vigumu kuamini kwamba huyu ni afande katika Jeshi la Polisi Tanzania au wenzangu mnasemaje?
Hii hapa...Ila nyomi fake za Lissu sawa etiiii??
Sasa unadhani kwa umri wa huyu kamanda anawezakuwa mwanachama wa chadema au act kweli?Ndiyo maana wanaitwa Policcm. Hao Maafisa karibia wote ni wafuasi na wanachama watiifu wa CCM.
Halafu John akazipige! Wanasaccos kila mara huchanga tu mkuu tatizo zinapigwa kama wabunge michango yao imepigwa itakuwa hiyo ya walalahoi.Hii hapa...
View attachment 1605274
Badala ya kuchota kodi zetu hazina, Mh. Tundu Antiphas Lissu anachangiwa na Wananchi wazalendo wenye uchungu wa kweli kwa taifa hili na wamechoshwa na utawala wa Kiilma wa jiwe.
Nilipokuwa nipo kwenye Saccos nimechanga sana tu mkuu ila sasa hivi akili zimenirudi siwezi kuwachangia ili wakanywe pombe tuuu! Walevi sana hao Lissu na Mbowe!Hivi na wewe umewahi kumchangia?
Niko Chama Dume!Ulipotoka hiyo Saccos ulienda wapi?
Ndiyo maana taifa linapongia kwenye shida yoyote mnaotutala kwa mabuvu kama hivi, tunafurahi.Ndiyo umeziona leo mbona za siku nyingi? Na ukweli utabaki hivyo hivyo tu! Whether you like or not!!
Mbona hueleweki?Ndiyo maana taifa linapongia kwenye shida yoyote mnaotutala kwa mabuvu kama hivi, tunafurahi.
Mbabe wako ukiona anapigwa, unafurahi
Hopeless ever!Ndio maana naendelea kumhoji huyu magu2016, anatupa taarifa muhimu sana zitakazosaidia katika uchunguzi muda muafaka ukifika.