Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Hivi nauliza igp ameshajua nan rais kama sio anapata wapi nguvu ya kumtisha mgombea kutoka chama kikubwa cha upinzani
😂😂😂😂😂 BAVICHA MNAJUA KUJIFARIJII KHAAAA😂😂😂😂 yaniii ninecheka sana, Mnavyojitoa Ufahamuu kuwa HAKUNA RAIS ZAID YA MAGU EAST AFRICA. sasa Huyu kirusi Lissu anamweza wapi Magu.....,.TANO TENA
 
Safi sana, fungia kufanya kampeni kabisa, kinukisheni sasa tuone.
Hahahaha
Nilini lissu ataenda Neccm? Naona tarehe kamavile imepita!
Tutarajie TL akirudi Moshi police post labda ndy aende tena neccm
 
Kura za polisi zote Lisu hapati

Anakwenda kusipata kwa wingi. Tundu Lissu keshawasomesha kuwa for the last 5 solid years HAWAKUWAHI KUONGEZWA MSHAHARA hata senitano. Polisi wana ukata wa kufa mtu✌️
 
Wacheka mkuu ila Mambo sio rahis Sana so weka akiba ya kicheko
 
Hivi nauliza igp ameshajua nan rais kama sio anapata wapi nguvu ya kumtisha mgombea kutoka chama kikubwa cha upinzani

Sirro hajui matokeo, lakini ameshurutishwa kuhakikisha Magufuli na chama chake cha ccm wanatangazwa washindi ili aendelee na ulaji. Kwakuwa anajua watanzania ni makondoo, basi atahakikisha anasimamia maagizo hayo, na yoyote atakayekataa hujuma ameshapewa amri ya kumfanyia ya Aqwilina, kwa kisingizio cha kulinda amani ya nchi.
 
Tupia ndani yeyote anayetaka kutusumbua wakati tukijenga Taifa letu sio kila mtu anajihusisha na mambo yao , waheshimu haki za wengine pia kwa kuacha kuondosha amani.

Safi sana kamanda Siro . Chapa kazi.
 
Jiwe kila siku anawafokea na kuwakaripia polisi mbona amwambii akaripoti polisi. Aache kutisha wananchi, asiamshe hasira za watz.


Magufuli ni Big Bosi wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, ni bosi wao, ...
 
We Siro weweeee...thubutu...
 
Haki haihitaji majadiliano kwamba itendeke vipi na nani na kwa nani.

Sheria na kanuni za uchaguzi ziko wazi zifuatwe na wadau kwa usawa hakutakuwa na malalamiko yoyote.

Jeshi la polisi liache kutumika kisiasa.
 
Weshapanga, Magufuli atashinda kwa 86% and their say is a final say.
sio rahisi Kama tuzaniavyo ,Mambo ni magum mno,maridhiano ya vyama ni muhim kwa Sasa kuliko wakati wowote, nec ,vyombo vyote vya ulinzi na usalama ,kwamba mshindi atangazwe ,na alieshindwa asibugudhiwe achukuliwe Kama tunu ya taifa,ubabe kwa Sasa hauna nafasi ,taifa kwanza mengine badae,mkuu
 
Magufuli ni Big Bosi wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, ni bosi wao, ...
Anawafokea kwa mujibu wa Sheria au takwa binafsi. Thus tunataka katiba mpya ili vyombo viwe huru vitii Sheria na sio kutii mtu
 
Acheni kutafuta maridhiano wakati Sisi tunawasubiri 28october tumlambishe mchanga kibaraka wa mabeberu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…