Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Tutaona kama hii ni nchi huruSafi kabisa,! Lisu asifikiri Beberu wake Amsterdam atamsaidia kwa lolote hii ni chi huru
Mbona anamtisha?Amesema hakuna mtu yeyote anayeweza kupambana na Jeshi hilo na kwamba wote wanaovunja sheria za nchi watashughulikiwa.
Nimeona viongozi wa Chadema wanakaripia askari, Tundu Lissu anakaripia watu wangu, namuonya sana, jana nimeongea na Mbowe, akae azungumze na watu wake watii sheria bila shuruti.
"Tundu Lissu hayupo juu ya sheria, tukiamua kutimiza majukumu yetu asilalamike,"IGP Simon Sirro
View attachment 1587125
Amekemewa na MagufuliSirro ni kichaa tu
Ni mjynga tuHuku ni kuweweseka hakuna kitu cha maana.
Hasara ya wazazi wako ewe phallerSafi sana, fungia kufanya kampeni kabisa, kinukisheni sasa tuone, ...
Tutajie hayo matusi na uthibitisho tuyaoneTundu Lisu kayataka mwenyewe.
yaaani amekuwa akiwa tukana Askari hadi mimi mwenyewe naogopa!!!
halafu cha kushangaza wakati huo huo anataka ulinzi !! Duh!!
KwΓ taarifa yako msafara wa Lisu unaongozana na askari wenye silaha za kuvita.Lisu asichanganye polisi wa kawaida na wale wa mahakamani wanaobishanaga nao!
Hawa hawaangalii sura!
Kumkaripia mtu nalo kosa? Mbona tunapenda kukuza mambo yasio na msingi bila sababu.
Mkuu kuna siku utakosa hata huo mkono kwa ajaliHata Faru John mlikuwa mnasema hivyo tu. Subiri siku atakapotwangwa huyo kilema wenu. Msianze tena kulialia. Ngoja ashindwe uchaguzi tarehe 28/10/2020 alete cha kuleta wampelekee bomu moja tu tuone kama atakimbia na kamguu kake hako kafupi. Unakumbuka mabomu ya Arusha ya mwaka 2010 au 2011? Lissu alijificha wapi?
Natumaini mkuu shule ipo kichwani,kwani anayeongelewa hapa ni mm au lissu? Nimesema na narudia kusema kwamba Lissu ni mtu anajielewa na hategemei mtu yeyote kwenye kupata haki yake,anajua jinsi ya kuipigania mwenyewe pasipo kujali chochote au yeyote yule.Mbona wewe umejificha nyuma ya keyboard kama kweli huogopi?
Naona sasa na IGP ameamua kuiharibia Ccm..Amesema hakuna mtu yeyote anayeweza kupambana na Jeshi hilo na kwamba wote wanaovunja sheria za nchi watashughulikiwa.
Nimeona viongozi wa Chadema wanakaripia askari, Tundu Lissu anakaripia watu wangu, namuonya sana, jana nimeongea na Mbowe, akae azungumze na watu wake watii sheria bila shuruti.
"Tundu Lissu hayupo juu ya sheria, tukiamua kutimiza majukumu yetu asilalamike,"IGP Simon Sirro
View attachment 1587125
Amesema hakuna mtu yeyote anayeweza kupambana na Jeshi hilo na kwamba wote wanaovunja sheria za nchi watashughulikiwa.
Nimeona viongozi wa Chadema wanakaripia askari, Tundu Lissu anakaripia watu wangu, namuonya sana, jana nimeongea na Mbowe, akae azungumze na watu wake watii sheria bila shuruti.
"Tundu Lissu hayupo juu ya sheria, tukiamua kutimiza majukumu yetu asilalamike,"IGP Simon Sirro
View attachment 1587125
Kura yako ni moja tuu.Nilikuwa sina mpango wa kumpigia kura Tundu Lissu kwasabau JPM amefanya mengi yanaonekana.......
sasa ndio nitampigia Lissu once and for all
Huo ni waraka tu kama ule wa kipindi kile tunapambana na janga la korona.Tutaona kama hii ni nchi huru
View attachment 1587154