Hayupo ambaye hajavishuhudia vimbwanga vya askofu Gwajima kuhusiana na Corona na Chanjo zake.
Hadharani tuhuma za Gwajima kumhusu mheshimiwa Rais na wasaidizi wake zimesikika.
Your browser is not able to display this video.
Haya yakiendelea ni kweli kuna Watanzania wasio na hatia wanaendelea kuwekwa hatarini kuhusiana na ugonjwa huu.
Sirro anasema hawezi kumkamata Gwajima kwamba yeye hayo anayasikia mitandaoni tu. Kwamba yeye hadi apate makaratasi rasmi na ajiridhishe kama kuna jinai imetendeka.
Hivi ndivyo Sirro anavyofanya kazi kwa makundi yote? Au ndiyo ile sote hatuko sawa mbele ya sheria?
Kwa msimamo wa Sirro na Dkt. Gwajima, mafahali wawili hawa, pana japo mmoja ambaye basi hafai kabisa.
Itapendeza basi mtu akiwajibika au kuwajibishwa japo kwa kadhia hii.
Nina mashaka hata Hili la kumkamata Mbowe pengine Kuna kakikundi kanataka kumfitinisha Samia na Wananchi na Sirro huenda akawa anakatumikia hako kakikundi
Tumeshudia watu wakisukumwa ndani na wakuu wa mikoa, mawaziri, ma DC nk papo kwa papo kwenye mikutano ya hadhara.
Mikutano ya wah. Mwanri, Jaffo, Ummy, Majaliwa, Awesu, Katambi, nk ni mifano mizuri ambapo watu wamekamatwa kinyume na utaratibu anaouongelea Sirro leo.
Nina mashaka hata Hili la kumkamata Mbowe pengine Kuna kakikundi kanataka kumfitinisha Samia na Wananchi na Sirro huenda akawa anakatumikia hako kakikundi
1. Hadharani amewatuhumu Rais na wasaidizi wake kwa rushwa.
2. Hadharani amehamasisha watu dhidi ya serikali.
3. Kwenye #2 hapo amekuwa akitumia maneno ya dharau, kejeli, kuudhi, dhidi ya Mh. Rais na serikali.
Haya yote ni makosa kisheria kwani kwa kila moja upo ushahidi wa watu walikwisha kukamatwa, kushitakiwa na hata kuhukumiwa.
Askofu ana kosa kutoa tuhuma hadharani ambayo ingefaa angeithibitisha...Tusitete uovu...Kwenye chanjo hana kosa kwakua ni opinion yake na kama wale wanaoi promote wanaruhusiwa wenye doubts kwanini wasipewe haki ya kuuliza?
Nina mashaka hata Hili la kumkamata Mbowe pengine Kuna kakikundi kanataka kumfitinisha Samia na Wananchi na Sirro huenda akawa anakatumikia hako kakikundi
Ya tano ni siyokweli hiyo ya nne ni sawa ila pia ni contextual. Tuwe reasonable ili turudishe trust ya raia kwa serikali yao ambayo kusema ukweli imegeuka haraka mno na kwa muda mfupi kiasi ambacho ilitakiwa ijue imewa confuse raia wake; inaweza ikawa hawakua na jinsi basi watu wapewe benefits of doubt