IGP Sirro anasema hawezi kumkamata Askofu Gwajima mpaka apate barua. Je, hivi ndivyo anafanya kwa makundi yote?

IGP Sirro anasema hawezi kumkamata Askofu Gwajima mpaka apate barua. Je, hivi ndivyo anafanya kwa makundi yote?

Hata wakimfukuza CCM,Gwaji has nothing to lose!

Ana pesa na platform hata kabla ya huo ubunge na ataendelea kuongea anachokiamini tena ndiyo atakuwa maarufu zaidi.

Hongera kwa IGP kwa kuukataa huu upuuzi wa majukwaani,taasis zote huwa zinatoa majibu hayo hayo ya Sirro kuhusu matamko ya wanasiasa majukwaani.
Usijidanganye kuwa Gwajima ana hela.Kwa serikali za kiafrika unaweza lala Tajiri ukaamka masikini wa kutupwa.Usifikiri watu wanaiunga Mkono CCM kwa kupenda wengi wanalinda utajiri wao
 
Hata wakimfukuza CCM,Gwaji has nothing to lose!

Ana platform yake hata kabla ya huo ubunge na ataendelea kuongea anachokiamini tena ndiyo atakuwa maarufu zaidi.

Hongera kwa IGP kwa kuukataa huu upuuzi wa majukwaani,taasis zote huwa zinatoa majibu hayo hayo ya Sirro kuhusu matamko ya wanasiasa majukwaani.

IGP angekuwa sawa kama kusingekuwa na watu wamesukumwa ndani na kina Mwanri, Majaliwa, Jaffo, Ummy, Katambi, Awesu, Makonda, na mawaziri, ma RC, ma DC nk.

Kwa hili Sirro kaonesha u ndumila kuwili wa wazi.
 
Namshauri Askofu Gwajima awaombe msamaha hadharani kwakuwasingizia Mh. Rais na serikali yake pasipokuwa na uthibitisho lakini abakie na msimamo wake wa chanjo...Hapo serikali na yeye watapata approval ya raia wa kawaida na kuleta umoja wa kitaifa.
 
IGP angekuwa sawa kama kusingekuwa na watu wamesukumwa ndani na kina Mwanri, Majaliwa, Jaffo, Ummy, Katambi, Awesu, Makonda, na mawaziri, ma RC, ma DC nk.

Kwa hili Sirro kaonesha u ndumila kuwili wa wazi.
Watu kibao wamekamatwa kwa amri za majukwaani Bila maandishi yeyote halafu leo analeta ngonjera
 
Namshauri Askofu Gwajima awaombe msamaha hadharani kwakuwasingizia Mh. Rais na serikali yake pasipokiwa na uthibitisho lakini abakie na msimamo wake wa chanjo...Hapo serikali na yeye watapata approval ya raia wa kawaida na kuleta umoja wa kitaifa.
Kaanza itabidi aseme chanjo haina shida yeyote anaomba radhi kwa yote aliyosema.then abaki na msimamo wake wa kutochanja
 
Sirro anasema hawezi kumkamata Gwajima kwamba yeye hayo anayasikia mitandaoni tu. Kwamba yeye hadi apate makaratasi rasmi na ajiridhishe kama kuna jinai imetendeka.
Du! Ila angekuwa Mbowe kanisa lake lingefutwa kabisa na waumini wake kuitwa magaidi? Nchi hii ya laana inachekesha sana aisee!!
 
Kaanza itabidi aseme chanjo haina shida yeyote anaomba radhi kwa yote aliyosema.then abaki na msimamo wake wa kutochanja
Yeye ataona anachopaswa kukifanya...Mimi nisingeomba kama kweli ni mchungaji...Wapendwa kuwa deceive raia ni kosa moja baya sana, kesho tutawahitaji watu kama akina Gwajima kuwapa assurance waumini, kama trust yao itavunjika kwa waumini unadhani serikali haitapata shida kwenye social capital? Tusiangalie leo tu...We have to learn to be trustworthy mbele ya public.
 
Yeye ataona anachopaswa kukifanya...Mimi nisingeomba kama kweli ni mchungaji...Wapendwa kuwa deceive raia ni kosa moja baya sana, kesho tutawahitaji watu kama akina Gwajima kuwapa assurance waumini, kama trust yao itavunjika kwa waumini unadhani serikali haitapata shida kwenye social capital? Tusiangalie leo tu...We have to learn to be trustworthy mbele ya public.

Wamekamatwa watu makanisani to the dismay ya Askofu RC Jimbo la Mwanza.

Hizi trustworthy ni kwa Gwajima tu?

Vipi askofu Mwamakula?

Which precedence is anyone trying to portray?
 
Sirro hii hoja yake ni mpya. Mbona watu wengi wako ndani kwa hoja za namna hii, iweje kwa gwajima anasita kumkamata?
 
Askofu ana kosa kutoa tuhuma hadharani ambayo ingefaa angeithibitisha...Tusitete uovu...Kwenye chanjo hana kosa kwakua ni opinion yake na kama wale wanaoi promote wanaruhusiwa wenye doubts kwanini wasipewe haki ya kuuliza?
Askofu baunsa angekua chadema wangeshamweka ndani Kwa kumtuhumu rais kuhongwa
 
Wamekamatwa watu makanisani to the dismay ya Askofu RC Jimbo la Mwanza.

Hizi trustworthy ni kwa Gwajima tu?

Vipi askofu Mwamakula?

Which precedence is anyone trying to portray?
I said it clear ana makosa kwenye kutuhumu lakini siyo chanjo...Msitafute uchonganyishi...Hao wengine cases zao ni specific kila mtu apewe haki yake do not generalize issues...Na msitumie cover to hide your ulterior motives...We have common senses and very rational being to see the differences of what is right or wrong
 
Askofu ni mpinzani na mfitinishi ndani ya chama halmashauri kuuu wamvue uanachama tu kawe wana hasara tu hapo hakuna jipya.
 
Usijidanganye kuwa Gwajima ana hela.Kwa serikali za kiafrika unaweza lala Tajiri ukaamka masikini wa kutupwa.Usifikiri watu wanaiunga Mkono CCM kwa kupenda wengi wanalinda utajiri wao
Waliopo CCM kulinda maslahi yao hawajawahi kutofautiana na chama chao kwa lolote.

Sawa,lakini haiondoi ukweli kwamba Gwaji kaingia bungeni akiwa na hela zake tayari tofauti na wengi ambao wanababaikia ubunge kisa posho.
 
I said it clear ana makosa kwenye kutuhumu lakini siyo chanjo...Msitafute uchonganyishi...Hao wengine cases zao ni specific kila mtu apewe haki yake do not generalize issues...Na msitumie cover to hide your ulterior motives...We have common senses and very rational being to see the differences of what is right or wrong

No! There shouldn't be double standards. Clearly Gwajima ana makosa ambayo ni haki akawajibishwa bila kujali hadhi yake wala lolote katika jamii.

Hii ni kama tulivyo ona tayari kwa wengine wengi.

Umesema wazi kuwa kuna issue ya trustworthiness na kuwa kuna tunavyoweza kuvipata kwake in exchange. Unaongelea social capital - kwa maana kamili kuwa ghafla unaweka maslahi binafsi ya kisiasa.

Yaani kuwa umuhimu wa Gwajima (kwa maoni yako) katika jamii kama jambo muhimu sana kuzingatiwa kwenye kadhia hii:

IMG_20210817_233718_199.jpg


Hapo juu na hasa kwenye kijani ni maneno yako.

Tofauti ya hayo kulinganisha na kina Askofu Mwamakula na askofu wa RC Jimbo la Mwanza walikokamatwa waumuni kanisani kinyume cha utaratibu ni nini?

Au wewe kwa vile Gwajima ni CCM sasa kuwe na ultra special considerations?
 
Hata wakimfukuza CCM,Gwaji has nothing to lose!

Ana pesa na platform hata kabla ya huo ubunge na ataendelea kuongea anachokiamini tena ndiyo atakuwa maarufu zaidi.

Hongera kwa IGP kwa kuukataa huu upuuzi wa majukwaani,taasis zote huwa zinatoa majibu hayo hayo ya Sirro kuhusu matamko ya wanasiasa majukwaani.
Ww utakuwa mmojawapo wa misukule ya gwajiboy pale kanisani kwake kawe[emoji54],sababu sio kwa povu hili
 
Askofu baunsa angekua chadema wangeshamweka ndani Kwa kumtuhumu rais kuhongwa

Hiyo ni wazi. Hatuko sawa mbele ya sheria. A very bad precedence.

Ndiyo maana wenye kudai katiba mpya wana hoja za msingi sana.
 
Usijidanganye kuwa Gwajima ana hela.Kwa serikali za kiafrika unaweza lala Tajiri ukaamka masikini wa kutupwa.Usifikiri watu wanaiunga Mkono CCM kwa kupenda wengi wanalinda utajiri wao

"Usifikiri watu wanaiunga Mkono CCM kwa kupenda wengi wanalinda utajiri wao." 😎😎😎
 
Back
Top Bottom