johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Mkuu wa Jeshi la Polisi Kamanda Sirro amesema Jeshi linajua kuna viongozi wa serikali na Wanasiasa wanawachochea Wamasai wa Loliondo wagomee zoezi la uwekaji wa mipaka.
Sirro amewatahadharisha viongozi hao kwamba Sheria itafuata mkondo dhidi yao kwani hakuna mtu aliye Juu ya Sheria
Source BBC Dira ya Dunia
Sirro amewatahadharisha viongozi hao kwamba Sheria itafuata mkondo dhidi yao kwani hakuna mtu aliye Juu ya Sheria
Source BBC Dira ya Dunia