IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Sirro=O°
 

Naona unajichanganya mwenyewe umesema mtuhumiwa. Mtu yeyote anaweza kutujumiwa na lolote!
 
Sasa ajabu mtu kutoka USA kukaa na NGO yao inayoitwa Chadema?

Ni juzi tu eti mlishtaki mama kwenye ubalozi wa marekani wanaowamiliki.
Watoto wa Lissu wapo marekani.
MIGA ambako Lissu alitutishia kwamba tutashtakiwa makao makuu yake yapo Washngton DC, marekani. Multilateral Investment Guarantee Agency - Wikipedia

Mkuu hatuwezi kushangaa.
 
Huna ishu
Miyeyusho mitupu
Endelea kujidanganya
 
Kama hautokuwa na kazi ya kufanya kesho, basi futilia kesi yake ili kujua sababu ya kukamatwa kwake na kushtakiwa. Mimi sio polisi wala mwanasheria wa serikali ndio maana kweny comment yang nimetumia neno "huenda"
Inaonyesha hujui lolote kuhusu sakata la hii kesi ya mbowe,
 
IGP wa ovyo sana huyu..
Akistaafu utasikia anapewa Ubunge.
 
Ni wakat wa sukuma gang nao kupumua, maana wkt Na
Baada ya msiba wa jiwe walitamani kuhama nchi,

Haya furahini Na nyinyi nzi wa kijani
 
Ugaidi gani ?! . Uliwahi kuonyeshwa gari iliyotumika kumteka Moo . Habari zake zikoje ?!. Si ni huyu huyu anayewabatiza watu leo UGAIDI ?!
(Ccm mwigulu and co.)Waliwahi kumtengenezea kesi ya ugaidi lwakatare, wakamtumia Dogo anaitwa ludovic wakarekodi video ikiwaonyesha wakipanga kumteka msaki na zito

Baada ya kesi kukosa ushahidi wakaifuta watuhumiwa wakawa huru lengo lao la kuiua cdm likashindwa,

cdm ikashamiri zaidi 2010 ikashinda uchaguzi

Tumeishawazoea kwa michezo yao ya kipuuzi na Hili la mbowe watashindwa kwa aibu

Tunajua wataleta
1.mashahidi wa kuhonga
2. Video feki za kuchonga
3. Picha za kuungaunga

Hata Cuf wakati ule wa mahita, polisi waliwatuhumu kuingiza contena la vissu.
Mwishowe ilibainika kuwa ilikuwa ni usanii
 
Utakuwaje IGP bila kuwa na kadi ya CCM?
 
Kimbe unajua alipo ukiwa Ndugu yangu. Ben saa nane. Tunaomba utusaidie.
 
Amekaa nao kwa sababu gaidi mkuu ( master mind) yuko ndani gerezani. Angekuwa nje asingethubutu kamwe kusogea karibu na alipo,...Wee kila nchi na kila mtu anaogopa gaidi. Tunaishukuru serikali inawaweka ndani na hivyo kufanya amani iwepo mitaani.Hata wageni wetu wanajiachia.
 
Huyu wa milembe nae.
Mwendazake si alisema anateua vichaa kama yeye?
Mama be careful uko na vichaa
 
Mgeni kakaa na katibu wa chadema
 
Polisi hawawezi kuthibitisha ugaidi wa Mbowe hata siku moja. Hiyo kesi itaisha kiulaini tu.
Hamna haja kuwapa nafasi Polisi kesho ya kuwapiga na kuwakamata. Msimpe nafasi shetani. Hapo wanatafuta sababu ya kuwaonyesha watanzania kuwa nyie ni waovu ikibidi wafute chama chenu.
Tulieni nyumbani Mbowe hana kesi wala Polisi hawawezi kuthibitisha.
Wamejipanga kuwapiga kweri kweri na nyie msivyojua kusoma alama za nyakati mtajipeleka mdomoni kwa shetani zero.

EFESO 4:27 MSIMPE SHETANI NAFASI.
 
Chukueni huu ushauri. Mtashinda mchana kweupe.

Mbowe sio GAIDI!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…