IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Mungu ibariki CHADEMA..Mungu zidi kumtia nguvu mwamba na kumpigania
Naibu_Waziri_wa_Mambo_ya_Nje_wa_Marekani-Siasa,_Victoria_Nuland_amekutana_na_viongozi_wa_vyama...jpg
Naibu_Waziri_wa_Mambo_ya_Nje_wa_Marekani-Siasa,_Victoria_Nuland_amekutana_na_viongozi_wa_vyama...jpg
 
AMANI YA NCHI NI MUHIMU SANA KULIKO wafuasi wa Chadema, kamwe tusikubali wahuni wachache wakajaribu kuichezea Amani yetu.
yeyote atakaye jiona ana uhalali wa kuchezea amani yetu ana stahili au wanastahili kuchakazwa vilivyo ili iwe fundisho kwa wengine.
Jeshi letu linapaswa kufuatilia nyenendo za wafuasi wa chadema kwa karibu zaidi usiku na mchana maana baadhi yao wana chembe chembe za UGAIDI.
Amani ipi imevunjwa? Wapi kumevinjwa Amani? Uhuni ni kuzua mchakato wa katiba mpya na kuwabambikia kesi wapinzani
 
Raisi Samia hahusiki na chochote. Mbowe kaanza kushutumiwa au kuhusishwa na umafia dhidi ya wenzake muda mrefu sana kabla mama Samia hajawa hata makamu wa raisi.

Mbowe alihusishwa na kifo cha chacha wangwe baada ya chacha kuonesha nia ya kutaka kupambana nae kwenye uenyekiti wa chama, Mbowe kahusishwa na lile sakata la kutaka kummaliza Zito na sumu bahati nzuri mmanyema yule kachanjiwa na kuzindikwa barabara huko kwao ujiji.

Mbowe kahusishwa na kupotea kwa Ben saa8 baada ya kufika ofisini kwake na kupotea katika mazingira ya kutatanisha, hapo hatujaweka zile shutuma za kushambuliwa Lisu baada ya kuonekana anaweza kupindua meza kabla ya uchaguzi mkuu wa chama kufika nk. Kwahiyo huyu jamaa anashutuma nyingi na kwahiyo vyombo vya dola vimeamua sasa vimkamate ili kumchunguza kwa shutuma zote anazohusishwa nazo.
Hizo propaganda za kijinga jinga bakieni nazo huko ghetto mnaposhinda mkivuta Bangi,lakini watanzania wenye Akili timamu wanajua mbowe kabambikiwa kesi za ugaidi kwa uonevu baada ya kuongoza kilio cha kudai katiba mpya, sasa kudai katiba mpya ni ugaidi
 
Speculations. Kesi ya mauaji inafunguliwa na Jamhuri sio familia. Kwa vile mnasema hizi tuhuma ni za muda mrefu dola ilipaswa kuzichunguza mara baada ya kujitokeza. Kuanza kufukua sasa kwa sababu mtu kasema na sio wao kuwa na ushahidi itakuwa uonevu.

Amandla...
Hizo propaganda za CCM na Polisiccm wamezishitukia wenye Akili timamu wanajua fika kuwa kudai katiba mpya ndiyo chanzo cha huo uonevu unyanyasaji kuwabambikia kesi wapinzani
 
Ila mjue Kuna siku Watanzania watachoka na upuuzi wenu
Tatizo mtu akiwa kwenye mamlaka anafikiri yeye ndie mwenye akili kuliko watu wote
Narudia tena Kuna siku Watanzania watachoka
 
Ila mjue Kuna siku Watanzania watachoka na upuuzi wenu
Tatizo mtu akiwa kwenye mamlaka anafikiri yeye ndie mwenye akili kuliko watu wote
Narudia tena Kuna siku Watanzania watachoka
Labda kizazi cha waoga na wanafki kife. ila hiki kinacholalamika mitandaoni halaf hawafanyi kitu hamna litalotokea
 
Wakuu mbona kisutu tupo watu 30 tu si tulikubaliana mandamano yatakua ya watu 300k+ kweli usaliti upo mi nmetoka nduki naelekea home
 
Wakuu mbona kisutu tupo watu 30 tu si tulikubaliana mandamano yatakua ya watu 300k+ kweli usaliti upo mi nmetoka nduki naelekea home
Hao 30 ndio wamewatisha Polisi mpaka kuamua kesi iwe kwa mtandao?
 
Hao 30 ndio wamewatisha Polisi mpaka kuamua kesi iwe kwa mtandao?
Watu wako wachache sana kimtazamo tu hatuwezi kuwa tishio la kuzuia mbowe asije hapa labda tu n mipango yao
Leo nimeamin wa Tz wa kwenye mtandao na wa Tz wa mtaani ni watu tofauti kabisa
 
Watu wako wachache sana kimtazamo tu hatuwezi kuwa tishio la kuzuia mbowe asije hapa labda tu n mipango yao
Leo nimeamin wa Tz wa kwenye mtandao na wa Tz wa mtaani ni watu tofauti kabisa
Day 1 waliwadanganya ndugu kuwaBowe amepelekwa hospitali,kumbe wamempeleka mahakamani kwa siri!
Leo tena wameingia mitini kwa kusema mtandao umegoma wakati ilitarajiwa Mbowe kufikishwa mahakamani!
Hizi drama zote zinaonesha jambo!
 
Sirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:

1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi...
wanajua wabongo mnaishia kwenye keyboard....hapo ulipo umeshashiba na una uhakika wa vihela vya kula na watoto wako,unawachuza wenye njaa...sasa wajaribu kwenda front waone maajabu
 
wanajua wabongo mnaishia kwenye keyboard....hapo ulipo umeshashiba na una uhakika wa vihela vya kula na watoto wako,unawachuza wenye njaa...sasa wajaribu kwenda front waone maajabu

Opportunist kazini. Subirini kula that's where you perform at your best.

Kwani mna nini? Uzuri wake ni kuwa wala hatuwahitaji kwa lolote yaani.
 
Nchi hii ndani ya miaka 20 kuanzia sasa itakuwa sawa na somalia tu. Ni suala la muda tu.
Aaagh wapi...we unawajua wasomali?...mtoto msomali tangu anazaliwa anazoeshwa harufu za maiti na damu za binadamu mpaka anazeeka, ile kitu imejengwa miaka mingi kwenye akili na damu zao.

wale hawana muda hata wa kwenda GYM kwa ajili ya kutafuta six packs na vifua kama nyie wabongo ..hakuna baunsa wa kisomali kule! ni mindsets zao tu!

sasa wewe hapo ulipo ukiona mtu mmoja au wawili wamechapwa risasi mkiwa kwenye movements sijui za kudai nini sijui...kuna mtu atabaki?
 
Kama kuwa mwanasiasa ingekuwa immunity ya kutoshitakiwa ukifanya maovu basi wanasiasa kama Mbowe wasingekwenda lupango.

Tukae chini na kukubali kuwa kutenda makosa ya jinai ni suala pana ndio maana kuna watu wanarithi uhalifu. Pia uhalifu upo wa aina nyingi. Sio vyema kudhania kuwa mwanasiasa hawezi kufanya uhalifu.

Tunatakiwa tuwe na sheria kama za South Africa hapo ndio ukweli utajulikana. Maana kila wanasiasa watenda maovu watapanda kizimbani.

Hivyo tunawakosea watanzania tunapotaka kuaminisha umma kuwa Mjowe hawezi kuwa mhalifu kisa tu ni kiongozi wa upinzani.
 
Magufuli alimuacha Mbowe Na ugaidi wake,mama ndiyo kajua namna ya kudili na gaidi,sindiyo mkuu?
 
Kama kuwa mwanasiasa ingekuwa immunity ya kutoshitakiwa ukifanya maovu basi wanasiasa kama Mbowe wasingekwenda lupando.

Tukae chini na kukubali kuwa kutenda makosa ya jinai ni suala pana ndio maana kuna watu wanarithi uhalifi. Pia uhalifu upo wa aina nyingi. Sio vyema kudhania kuwa mwanasiasa hawezi kufanya uhalifu.
Sasa kuandika tu mkuu kwa usahihi kwako ni shida,Kujenga hoja zenye kichwa na masikio unafikiri utaweza kweli??
 
Kama kuwa mwanasiasa ingekuwa immunity ya kutoshitakiwa ukifanya maovu basi wanasiasa kama Mbowe wasingekwenda lupango.
.
Bibi wa kupakuliwa bila kilainishi,lumumba mmejaa malaya,majambazi,mafisadi
 
Mbowe sio gaidi..
Kudai katiba mpya ndiko kulikomsababishia yote haya.

Msiwafanye watanzania wajinga

Kama hujui, hili la Mbowe sio lake peke yake na chadema. Bali mmetukosea watanzania wote. Mmepewa madaraka mtuletee maendeleo badala yake mnatuletea mazingaombwe
 
Back
Top Bottom