Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mungu ibariki CHADEMA..Mungu zidi kumtia nguvu mwamba na kumpigania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ibariki CHADEMA..Mungu zidi kumtia nguvu mwamba na kumpigania
Amani ipi imevunjwa? Wapi kumevinjwa Amani? Uhuni ni kuzua mchakato wa katiba mpya na kuwabambikia kesi wapinzaniAMANI YA NCHI NI MUHIMU SANA KULIKO wafuasi wa Chadema, kamwe tusikubali wahuni wachache wakajaribu kuichezea Amani yetu.
yeyote atakaye jiona ana uhalali wa kuchezea amani yetu ana stahili au wanastahili kuchakazwa vilivyo ili iwe fundisho kwa wengine.
Jeshi letu linapaswa kufuatilia nyenendo za wafuasi wa chadema kwa karibu zaidi usiku na mchana maana baadhi yao wana chembe chembe za UGAIDI.
Hizo propaganda za kijinga jinga bakieni nazo huko ghetto mnaposhinda mkivuta Bangi,lakini watanzania wenye Akili timamu wanajua mbowe kabambikiwa kesi za ugaidi kwa uonevu baada ya kuongoza kilio cha kudai katiba mpya, sasa kudai katiba mpya ni ugaidiRaisi Samia hahusiki na chochote. Mbowe kaanza kushutumiwa au kuhusishwa na umafia dhidi ya wenzake muda mrefu sana kabla mama Samia hajawa hata makamu wa raisi.
Mbowe alihusishwa na kifo cha chacha wangwe baada ya chacha kuonesha nia ya kutaka kupambana nae kwenye uenyekiti wa chama, Mbowe kahusishwa na lile sakata la kutaka kummaliza Zito na sumu bahati nzuri mmanyema yule kachanjiwa na kuzindikwa barabara huko kwao ujiji.
Mbowe kahusishwa na kupotea kwa Ben saa8 baada ya kufika ofisini kwake na kupotea katika mazingira ya kutatanisha, hapo hatujaweka zile shutuma za kushambuliwa Lisu baada ya kuonekana anaweza kupindua meza kabla ya uchaguzi mkuu wa chama kufika nk. Kwahiyo huyu jamaa anashutuma nyingi na kwahiyo vyombo vya dola vimeamua sasa vimkamate ili kumchunguza kwa shutuma zote anazohusishwa nazo.
Hizo propaganda za CCM na Polisiccm wamezishitukia wenye Akili timamu wanajua fika kuwa kudai katiba mpya ndiyo chanzo cha huo uonevu unyanyasaji kuwabambikia kesi wapinzaniSpeculations. Kesi ya mauaji inafunguliwa na Jamhuri sio familia. Kwa vile mnasema hizi tuhuma ni za muda mrefu dola ilipaswa kuzichunguza mara baada ya kujitokeza. Kuanza kufukua sasa kwa sababu mtu kasema na sio wao kuwa na ushahidi itakuwa uonevu.
Amandla...
Labda kizazi cha waoga na wanafki kife. ila hiki kinacholalamika mitandaoni halaf hawafanyi kitu hamna litalotokeaIla mjue Kuna siku Watanzania watachoka na upuuzi wenu
Tatizo mtu akiwa kwenye mamlaka anafikiri yeye ndie mwenye akili kuliko watu wote
Narudia tena Kuna siku Watanzania watachoka
Hao 30 ndio wamewatisha Polisi mpaka kuamua kesi iwe kwa mtandao?Wakuu mbona kisutu tupo watu 30 tu si tulikubaliana mandamano yatakua ya watu 300k+ kweli usaliti upo mi nmetoka nduki naelekea home
Watu wako wachache sana kimtazamo tu hatuwezi kuwa tishio la kuzuia mbowe asije hapa labda tu n mipango yaoHao 30 ndio wamewatisha Polisi mpaka kuamua kesi iwe kwa mtandao?
Day 1 waliwadanganya ndugu kuwaBowe amepelekwa hospitali,kumbe wamempeleka mahakamani kwa siri!Watu wako wachache sana kimtazamo tu hatuwezi kuwa tishio la kuzuia mbowe asije hapa labda tu n mipango yao
Leo nimeamin wa Tz wa kwenye mtandao na wa Tz wa mtaani ni watu tofauti kabisa
wanajua wabongo mnaishia kwenye keyboard....hapo ulipo umeshashiba na una uhakika wa vihela vya kula na watoto wako,unawachuza wenye njaa...sasa wajaribu kwenda front waone maajabuSirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:
1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi...
wanajua wabongo mnaishia kwenye keyboard....hapo ulipo umeshashiba na una uhakika wa vihela vya kula na watoto wako,unawachuza wenye njaa...sasa wajaribu kwenda front waone maajabu
Aaagh wapi...we unawajua wasomali?...mtoto msomali tangu anazaliwa anazoeshwa harufu za maiti na damu za binadamu mpaka anazeeka, ile kitu imejengwa miaka mingi kwenye akili na damu zao.Nchi hii ndani ya miaka 20 kuanzia sasa itakuwa sawa na somalia tu. Ni suala la muda tu.
Sasa kuandika tu mkuu kwa usahihi kwako ni shida,Kujenga hoja zenye kichwa na masikio unafikiri utaweza kweli??Kama kuwa mwanasiasa ingekuwa immunity ya kutoshitakiwa ukifanya maovu basi wanasiasa kama Mbowe wasingekwenda lupando.
Tukae chini na kukubali kuwa kutenda makosa ya jinai ni suala pana ndio maana kuna watu wanarithi uhalifi. Pia uhalifu upo wa aina nyingi. Sio vyema kudhania kuwa mwanasiasa hawezi kufanya uhalifu.
Ujumbe umeupata.Sasa kuandika tu mkuu kwa usahihi kwako ni shida,Kujenga hoja zenye kichwa na masikio unafikiri utaweza kweli??
Ujumbe wa kwamba hujui kuunda sentensi hata za mtoto chekechea nimeupata mkuu 🤣 🤣Ujumbe umeupata.
Bibi wa kupakuliwa bila kilainishi,lumumba mmejaa malaya,majambazi,mafisadiKama kuwa mwanasiasa ingekuwa immunity ya kutoshitakiwa ukifanya maovu basi wanasiasa kama Mbowe wasingekwenda lupango.
.