IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Sirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:

1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi
3. Tunajua ni haki yetu kuja mahakamani
4. Tunakutaka ujue tutakuwapo mahakamani wala usitutishe
5. Tunakutaka umwogope Mungu wako kwani kushuhudia uongo huku ukilitaja jina lake bure, Mola anakataza
6. Tunakutaka uwashauri wenzio mtafute magereza zaidi ya kutuweka katika mamilioni yetu
7. Tunakutaka uziheshimu haki zetu
8. Tunakutaka uheshimu katiba

Ni hayo tu. Kwako kamanda.
Huyo mzee ameshapoteza moral authority ya kusimamisha taasisi nyeti kama polisi sababu amekosa busara sana siku hizi anaropoka kama vile ni Mwenyekiti wa saccos ya makuli.
 
Huyo mzee ameshapoteza moral authority ya kusimamisha taasisi nyeti kama polisi sababu amekosa busara sana siku hizi anaropoka kama vile ni Mwenyekiti wa saccos ya makuli.

Kwa wizi wa kura awamu ile hawakutegemea watu kukaa kimya. Wakadhani Chadema ata react violently.

Chadema si ya wajinga. Violence si hulka yao.

Utayari wetu kuyajaza magereza yao hata kama ni kinyume cha PGO kutawatoa kamasi za kutosha tu.
 
Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,

________________________________

Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,

Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,

#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??


.........Kazi iendelee.........



C&P
 
View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo:

“CHADEMA wanaona Mwenyekiti wao (Mbowe) ameonewa na wanasema hawezi kuwa hivyo wanamuona ni Malaika hawezi kufanya kosa”

“Kabla ya Uchaguzi nilisema kuna Watu wamepanga kuhakikisha Uchaguzi haufanyiki, nilisema kuna baadhi ya Watu wamepanga kulipua visima vya mafuta na kufanya mauaji ya Viongozi na nilisema tutawakamata kabla hawajafanya hivyo”

“Tuliwakamata kabla, hayo ya Mwenyekiti wao (Mbowe) sitaki kuzungumzia sana lipo Mahakama ila wajue yeye ni Binadamu kama Binadamu wengine na anaweza kufanya kosa tumempeleka Mahakamani tuache Mahakama itimize wajibu wake”

“Kama kweli ni mkweli Mwenyekiti wao (Mbowe) na anamuamini Mungu waende wamuulize habari hiyo, kuna mambo unaweza kuyafanya kwamba ni siri lakini ndio mana Vyombo vya Habari vipo, niwaombe Watanzania wenzangu usilolijua ni kama usiku wa giza usiingie kwenye mtego ambao hujui aliyeutega ana jambo gani”

“Waende wamuulize huyo Mtu tuliyempeleka Mahakamani (Mbowe) kwamba hili jambo unalijua na kama ni ukweli ana Dini yake na anamjua Yesu Kristo aende aaambiwe, tunamuonea kwa lipi ?, tupate nini?, tuna ushahidi wa kutosha tuache Mahakama iamue, kafanya Yes hakufanya Yes lakini habari ya kikundi cha Watu kusema tunataka kuandamana wewe ni nani Bro!? hiyo nafasi hauna”

Awaonya Wanaotaka kuandamana
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”

“Habari ya kusema mnataka kuandamana mnavunja sheria na ukivunja sheria usilaumu Jeshi, ukivunja sheria umeingia kwenye uhalifu, Sirro hatokuacha na Polisi hawatokuacha na ndio maana wanafanya siasa kwa sababu amani na utulivu upo, Sisi hatufanyi Siasa”

“Niwaombe Watanzania ambao wameambiwa mkusanyike kutoka Mara kutoka wapi sijui na muelewe Mahakamana ni kituo nyeti ni kama Kituo cha Polisi ukitaka kuvamia utakung’utwa kwa mujibu wa sheria sababu umetaka sasa kama kuna Mtu maisha yamemshinda aje ila asije kulalamika, hii kesi iko Mahakamani tuiachie Mahakama iamue”
Kasome PGO Boss
 
View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo:

“CHADEMA wanaona Mwenyekiti wao (Mbowe) ameonewa na wanasema hawezi kuwa hivyo wanamuona ni Malaika hawezi kufanya kosa”

“Kabla ya Uchaguzi nilisema kuna Watu wamepanga kuhakikisha Uchaguzi haufanyiki, nilisema kuna baadhi ya Watu wamepanga kulipua visima vya mafuta na kufanya mauaji ya Viongozi na nilisema tutawakamata kabla hawajafanya hivyo”

“Tuliwakamata kabla, hayo ya Mwenyekiti wao (Mbowe) sitaki kuzungumzia sana lipo Mahakama ila wajue yeye ni Binadamu kama Binadamu wengine na anaweza kufanya kosa tumempeleka Mahakamani tuache Mahakama itimize wajibu wake”

“Kama kweli ni mkweli Mwenyekiti wao (Mbowe) na anamuamini Mungu waende wamuulize habari hiyo, kuna mambo unaweza kuyafanya kwamba ni siri lakini ndio mana Vyombo vya Habari vipo, niwaombe Watanzania wenzangu usilolijua ni kama usiku wa giza usiingie kwenye mtego ambao hujui aliyeutega ana jambo gani”

“Waende wamuulize huyo Mtu tuliyempeleka Mahakamani (Mbowe) kwamba hili jambo unalijua na kama ni ukweli ana Dini yake na anamjua Yesu Kristo aende aaambiwe, tunamuonea kwa lipi ?, tupate nini?, tuna ushahidi wa kutosha tuache Mahakama iamue, kafanya Yes hakufanya Yes lakini habari ya kikundi cha Watu kusema tunataka kuandamana wewe ni nani Bro!? hiyo nafasi hauna”

Awaonya Wanaotaka kuandamana
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”

“Habari ya kusema mnataka kuandamana mnavunja sheria na ukivunja sheria usilaumu Jeshi, ukivunja sheria umeingia kwenye uhalifu, Sirro hatokuacha na Polisi hawatokuacha na ndio maana wanafanya siasa kwa sababu amani na utulivu upo, Sisi hatufanyi Siasa”

“Niwaombe Watanzania ambao wameambiwa mkusanyike kutoka Mara kutoka wapi sijui na muelewe Mahakamana ni kituo nyeti ni kama Kituo cha Polisi ukitaka kuvamia utakung’utwa kwa mujibu wa sheria sababu umetaka sasa kama kuna Mtu maisha yamemshinda aje ila asije kulalamika, hii kesi iko Mahakamani tuiachie Mahakama iamue”
Hatari sana
 
Wakakusanyika pamoja na wazee, wakafanya shauri, wakawapa askari fedha nyingi,
wakisema, Semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala.
Basi wakazitwaa zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa.
Na neno hilo likaenea kati ya Wayahudi hata leo.
(Mathayo 28:12, 13,15)

Mpaka leo hii laana inatembea na polisi.[emoji115]
 
1. Kwa nafasi aliyonayo Mbowe na anavyoonekana kwa watu anaweza kufanya hayo anayotuhumiwa kuyafanya?

2. Kama laki sita (600, 000) zinaonekana hazitoshi kufadhili ugaidi je kiasi hicho kinaweza kuwa malipo ya mshahara wa makomandoo watatu walioajiriwa kama VIP PROTECTION ya mtu muhimu kama Mbowe?

3. Kama mtu amekaa kwenye kiti anawezaje kuchomwa bisibisi matakoni?
 
Duh Kuna member wanachosha jf
Dah Kuna member hamkutakiwa kuwa waanzisha nyuzi humu mnaleta makwazo tu.
Swali la 3 hapo ndio umeandika Nini?
 
Laki 6 inaweza kuwa malipo halali Kwa kufanya ulinzi Kwa mtu yeyote. lakini nimejiuliza kama hawa walienda kwaajili ya kazi hii.

Je ilikuaje yule alieenda kutoa taarifa Police hakujua kwamba hawa hawana ajira na wanatafuta ajira?!!

Hii vip protection ipo kisheria?...
 
1. Kwa nafasi aliyonayo Mbowe na anavyoonekana kwa watu anaweza kufanya hayo anayotuhumiwa kuyafanya?

2. Kama laki sita (600, 000) zinaonekana hazitoshi kufadhili ugaidi je kiasi hicho kinaweza kuwa malipo ya mshahara wa makomandoo watatu walioajiriwa kama VIP PROTECTION ya mtu muhimu kama Mbowe?

3. Kama mtu amekaa kwenye kiti anawezaje kuchomwa bisibisi matakoni?
Kama Kazi (vip protection) ipo kisheria na hawa wamefutwa Kazi jeshini!!..Ni wazi informer aliwauza police!!....
 
samahani muanzisha uzi,una kiwango gani cha Elimu??darasa la Saba,Form Four,Form Six,Chuo(Certificate,Diploma, Degree,Masters au PhD???
Kuna mambo hayahitaji Masters kung’amua, sidhani kama ukitaka kwenda kusikiliza kesi mahakamani utaulizwa hayo maswali yako uliyoyatoa. Logic haifichiki kwa mtu yeyote mwenye common sense.
 
1. Kwa nafasi aliyonayo Mbowe na anavyoonekana kwa watu anaweza kufanya hayo anayotuhumiwa kuyafanya?

2. Kama laki sita (600, 000) zinaonekana hazitoshi kufadhili ugaidi je kiasi hicho kinaweza kuwa malipo ya mshahara wa makomandoo watatu walioajiriwa kama VIP PROTECTION ya mtu muhimu kama Mbowe?

3. Kama mtu amekaa kwenye kiti anawezaje kuchomwa bisibisi matakoni?
Hilo la mwisho naona umeyumba mkuu maana shahidi anasema alikuwa achomwa bisibisi matakoni na wakayi mingine mikononi.
 
Back
Top Bottom