IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

unaandika ukiwa rumumba pale !.

kesi hakuna kilichobaki kutafuta la kuvuma ili kesi watu wakose umakini wakufatilia
Kwa Sabaya mnakenua meno haki imetendeka ,kwa mbowe haki haikutendeka.
Acheni kuingilia uhuru wa mahakama kenge nyinyi.
 
Sio kwamba alifanya hivyo tu kwa kujificha, bali alifanya hadharani na ushahidi upo. Haya tuliyasema hata kabla hajaenda mahakamani. Inshort hatukuwa tunasubiri ushahidi utolewe mahakamani ili kuamini hilo, maana ni matendo tuliyokuwa tunayajua. Uhalifu wote uliofanyika chini ya utawala wa Magufuli na viongozi yote yanafahamika, ila kwakuwa utawala huu ni sehemu ya ukatali wa Magufuli yanafunikwa, lakini iko siku kila kitu kitakuwa hadharani.
baya alitishia kwa siraha? Alifanya unyang'anyi kwa siraha?
 
Selikali inalazimisha kwani dhalimu bado yupo madarakani?
Yeye ndio muasisi wa siasa hizi za kishenzi hawa waliopo sasa madarakani walipatikana kwa maagizo yake. Hivyo ni muendelezo wa ushetani wake.
 
Yeye ndio muasisi wa siasa hizi za kishenzi hawa waliopo sasa madarakani walipatikana kwa maagizo yake. Hivyo ni muendelezo wa ushetani wake.
Wewe unachuki na hayati JPM.
 
Wewe unachuki na hayati JPM.

Sijawahi kumpenda shetani na mambo yake yote. Na hiki ninachosema ni ukweli unaolindwa na mfumo dhalimu. Iko siku unyama wote aliotenda na genge lake utakaa hadharani.
 
Sijawahi kumpenda shetani na mambo yake yote. Na hiki ninachosema ni ukweli unaolindwa na mfumo dhalimu. Iko siku unyama wote aliotenda na genge lake utakaa hadharani.
Usiwe mtu wa kulaumu hearsay tu. Sasa hivi mama nae ni dhalimu. Mnapenda lawama sana.
 
Yeye ndio muasisi wa siasa hizi za kishenzi hawa waliopo sasa madarakani walipatikana kwa maagizo yake. Hivyo ni muendelezo wa ushetani wake.
Si mnapumua na mama siyo dhalimu?
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.

Mimi binafsi naamini katika haki na haki huwa haipindishwi.

Freeman Mbowe alikuwa na kaka yake ambae alikuwa kanali wa Jwtz. Alipofariki serikali nzima ilienda kumhani. Hii sio justification kuwa hana hatia.

Lakini kwa namna familia yao ilivyo na influence ya kisiasa hapa Tanzania ni wazi kuwa walikuwa wanafuatiliwa kwa kila nyendo zao. Kupatikana na tuhuma za ugaidi baada ya vuguvugu za katiba mpya kupamba moto inatia shaka.

Kesi yake juu ugaidi inaonyesha kuwa kuna mvua zinakuja.

Mvua za mahakama za Tanzania huwa hazitabiriki. Uwe na kosa au hauna kosa zinakunyeshea.

Swali, je mtakenua meno na kufurahi kama mlivyofurahia juu ya Sabaya?

My take: Sabaya alimdhibiti Mbowe Hai mkajenga chuki mbaya sana.
Msenge wewe
 
Dhambi you ubaguzi ni mbaya sana waache wajichanganye tutaw🙋‍♀️ashughurikia barabarani
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.

Mimi binafsi naamini katika haki na haki huwa haipindishwi.

Freeman Mbowe alikuwa na kaka yake ambae alikuwa kanali wa Jwtz. Alipofariki serikali nzima ilienda kumhani. Hii sio justification kuwa hana hatia.

Lakini kwa namna familia yao ilivyo na influence ya kisiasa hapa Tanzania ni wazi kuwa walikuwa wanafuatiliwa kwa kila nyendo zao. Kupatikana na tuhuma za ugaidi baada ya vuguvugu za katiba mpya kupamba moto inatia shaka.

Kesi yake juu ugaidi inaonyesha kuwa kuna mvua zinakuja.

Mvua za mahakama za Tanzania huwa hazitabiriki. Uwe na kosa au hauna kosa zinakunyeshea.

Swali, je mtakenua meno na kufurahi kama mlivyofurahia juu ya Sabaya?

My take: Sabaya alimdhibiti Mbowe Hai mkajenga chuki mbaya sana.
Mbowe au amani
 
Hearsay kwa mambo niliyoyaona kwa macho yangu na kuyasikia? Mama wa kambo sio dhalimu bali anaiga tembo kunya. Kitendo cha mama wa kambo kubaki na washauri wa mwendakuzimu, amejikuta anatakiwa afanye kama mwendakuzimu, lengo ni kuhakikisha ubaya wa yule dhalimu usionekana moja kwa moja.
Usiwe mtu wa kulaumu hearsay tu. Sasa hivi mama nae ni dhalimu. Mnapenda lawama sana.
 
Katika Rais ambaye aliaminisha polisi na apparatus nyingine kama wakurugenzi wa uchaguzi. ma dc, polisi ma wengineo kwamba wapinzani ni kama mende wapinga maendeleo takataka azaifai basi ni ndugu JPM Mungu ambariki huko alipo ingawa binafsi naamini yupo ninapohisi mimi

kama kina Adamoo wamesota ndani mwaka mzima Mbowe kafanya kampeni kamaliza kaanza kudai katiba mpya then ghafla kaungwa kwenye ile kesi ambayo MHESHIMIWA RAIS SAMIA Suluhu alisema kwenye interview na BBc kwamba mbowe ni gaidi aliyekimbilia nairobi na dubai na kuna watu watatu washahukumiwa tayari ...JAMANI MBONA NCHI HII TUKO KAMA

WATOTO WADOGO???

Yoote aliyofanya JPM kuua upinzani mzee yule hajawahi kukubali mbowe ni gaidi ndiyo maana alikuwa free kufanya kampeni ila leo mbowe akatae akubali analazimishwa kuwa gaidi anyetuhumiwa kutaka kumuu sabaya, utasikia alittuma laki sita ,mara bastola ina risasi mara mfuko wa shangazi kaja ,heeee
kesi imekuja kufufuliwa awamu ya sita kweli hii ni VIBRANT DEMOCRACY ...UN GENERAL ASEEMBLY WALIAMBIWA WA TZ TUKO VERY HAPP TUNA DEMOKARSIA
 
Hapo vipi

Binafsi tokea mwanzo niliamini jamuhuri wapo sahihi na ni wakweli dhidi ya Mbowe,na hii inadhihirishwa katika maeneo haya.

Kwanza upeleleze wa Kingai sio wa mchezo mchezo ni mtaalam mwenye udhoefu wa muda mrefu katika maswala ya upelelezi na hii kesi ya Mbowe upelelezi wake ni umeanza muda mrefu sana sio juzi tokea mwa 2020.

Pili, ushahidi ya wakina Mahita ni ushahidi mzito sana...ni watu ambao ni mapapa wa system kwa muda..na serikali imewaanda hawa watu kwa pesa nyingi sana na kwa muda mrefu ili waweze kuisaidia taifa.

Tatu,Tanzani ni nchi bora sana Duniani kwa upelelezi na wapelelezi ni hawa waliompeleleza Mbowe..hivyo upelelezi wao ni wakitaalamu kama majibu ya Dactari

Nne,hukumu ndogo dhidi ya kesi ya mbowe ni ushahidi tosha ya kwamba upelelezi ni wakitaalam na u.efuata sheria.

Tano..gaidi sio mpaka mtu alipue bomu au ateke watu ndio anakuwa guidi...juzi uingereza jamaa mmoja alikuwa na mikakati ya kumteka mbunge tu basi akatuhumiwa kama gaidi.

Nimalize kwa kusema acheni ushabiki wa itikadi kwenye hili..wakina Kingai na wengine hawana interest yeyote dhidi ya kesi ya mbowe bali wanamshughulikia kama muhalifu yeyote mwenye makosa.
 
Hapo vip!!
Binafsi tokea mwanzo niliamini jamuhuri wapo sahihi na ni wakweli dhidi ya Mbowe,na hii inadhihirishwa katika maeneo haya.

Kwanza upeleleze wa Kingai sio wa mchezo mchezo ni mtaalam mwenye udhoefu wa muda mrefu katika maswala ya upelelezi na hii kesi ya Mbowe upelelezi wake ni umeanza muda mrefu sana sio juzi tokea mwa 2020.

Tatu ushahidi ya wakina Mahita ni ushahidi mzito sana...ni watu ambao ni mapapa wa system kwa muda..na serikali imewaanda hawa watu kwa pesa nyingi sana na kwa muda mrefu ili waweze kuisaidia taifa.

Nne,Tanzani ni nchi bora sana Duniani kwa upelelezi na wapelelezi ni hawa waliompeleleza Mbowe..hivyo upelelezi wao ni wakitaalamu kama majibu ya Dactari

Tano,hukumu ndogo dhidi ya kesi ya mbowe ni ushahidi tosha ya kwamba upelelezi ni wakitaalam na u.efuata sheria.

Sita..gaidi sio mpaka mtu alipue bomu au ateke watu ndio anakuwa guidi...juzi uingereza jamaa mmoja alikuwa na mikakati ya kumteka mbunge tu basi akatuhumiwa kama gaidi.

Nimalize kwa kusema acheni ushabiki wa itikadi kwenye hili..wakina Kingai na wengine hawa interest yeyote dhidi ya kesi ya mbowe bali wanamshughulikia kama muhalifu yeyote mwenye makosa.
Saa 10 usiku unateseka na Freeman!
Tafuta pesa kijana, achana na mambo mengine yasiyo na tija kwako.
 
Back
Top Bottom