IGP Sirro: Hatujafikia hatua ya kufunga mipaka ya nchi kutokana na ugonjwa wa Corona

IGP Sirro: Hatujafikia hatua ya kufunga mipaka ya nchi kutokana na ugonjwa wa Corona

Kwahiyo mpaka? Watu waanze kufa 40 Kwa siku kama Italy ndo wataamka?
Suala sio kufunga Tu mipaka
Suala ni ni kutowapima wanaoingia Hadi wanaenda wenyewe hospitali
Kweli bongo elimu si lolote wala si jambo la kujivunia. Jambo ambalo limepelekea elimu kusimama kutolewa nchini inaoneka bado jambo hilo halina any seriousness?
Halafu huyu Sirro ni nani hasa katika field hii kuweza kuongelea jambo hili?
 
1584627273277.png
1584627273277.png
1584627273277.png
Hii Kenya.....
 
Halafu familia zao zipo huko huko mipakani, wakianza kuunasa wao hapo tutawekana sana, nyie acheni Mungu si dhalimu anawaona anajua pakuwagusa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tahadhari mojawapo ambayo serikali inatakiwa kuchukua ni pamoja na kufunga mipaka ama la kufanyike vipimo madhubuti kwani wagonjwa wengi wanaopatikana ni wale waliotoka nje
 
Kwahiyo mpaka? Watu waanze kufa 40 Kwa siku kama Italy ndo wataamka?
Suala sio kufunga Tu mipaka
Suala ni ni kutowapima wanaoingia Hadi wanaenda wenyewe hospitali
Halafu Polisi na Corona wana 'square wapi'? Hili ni suala la utaalam, wao wanatakiwa kusikiliza tu maagizo
 
"MSINISHAURI WALA KUNISHINIKIZA KUFUNGA MIPAKA KWA HUU UGONJWA . NA MIMI NILISHASEMA UKINISHAURI NDIO UMEHARIBU. MIMI SIFUNDISHWI KAZI NA MTU" ( MAGU, 18/03/2020)
 
IGP Ziro tangu lini akawa Mtaalamu wa Afya?
Corona Virus siyo kama Viongozi wa CHADEMA kwamba anaweza kuwadhibiti kwa KUWAPIGA virungu na RISASI ZA MOTO...!
Yeye azungumzie Ulinzi wa mipaka na pengine kuamrisha Askari Magereza kuwapiga na kuwavunja mikono Viongozi wa Upinzani.
Tatizo la Covid-19 awaachie Wataalamu wa Afya...!
 
"MSINISHAURI WALA KUNISHINIKIZA KUFUNGA MIPAKA KWA HUU UGONJWA . NA MIMI NILISHASEMA UKINISHAURI NDIO UMEHARIBU. MIMI SIFUNDISHWI KAZI NA MTU" ( MAGU, 18/03/2020)

Statement from A FOOLISH PRESIDENT....!!!
Wanasema ukimwita mtoto wako "'MBWA" basi wewe ni JIBWA KUBWA.
Kwa maana hii Magufuli anapowaita watendaji wake WAPUMBAVU basi yeye ndiye MPUMBAVU MKUBWA.
 
Back
Top Bottom