Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi kuna haja ya kuwa na IGP wa hiviIGP Sirro amesema kuwa jeshi la polisi linaendeshwa kwa maandishi na kuna taratibu hivyo wanasubiri barua kutoka kwa waziri ili waangalie wanatekeleza vipi agizo lake.
Pia ameongeza kuwa hayo maelekezo ameyaona kwenye mitandao ya kijamii hivyo anasubiri barua rasmi ili waangalie jinsi ya kuyatekeleza hayo maelekezo ya Waziri wa afya kwani serikali inakwenda kwa maandishi.
Sirro pia amesema wataangalia kama kweli kuna jinai au lah ambayo ina haja ya kufungua mashitaka...
Na ameendelea kusema pia kama hatokuta jinai watashauri jinsi ya kumaliza hilo swala katika njia nzuri.
Source: Clouds FM
Pia soma:
- #COVID19 - Waziri Gwajima aagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19
Unawafahamu wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama na majukumu yao?Kuna baadhi ya Watanzania ni wapumbavu sana, yaani amri ya kumkamata Gwajiboy itoke kwa rais?
Acheni kumpa uspecial huyo tapeli ndio maana anaropoka anavyotaka.
Kipindi alivyokuwa anakamatwa na Makonda rais alihusika?
Unauhakika gani kwamba kati ya Gwajima au serikali inapotokaposha? Hivi madhara ya muda mrefu tumeyaona? Vipi siku moja miaka kadhaa mbele yakatokea madhara makubwa kwa watanzania serikali ipo tayari kuwajibika?..mimi kwa maoni yangu Polisi wamezembea kumkamata Askofu.
..unajiuliza kama maofisa upelelezi wa wilaya, na mkoa, wanafanya kazi zao sawasawa.
..kamati za ulinzi za wilaya na mkoa zinafanya kazi ikiwa mtu anaachwa anapotosha kwa muda mrefu kiasi hiki?
..Polisi walitakiwa wamkamate Askofu Gwajima muda mrefu uliopita, na maelezo na malalamiko ya Waziri ni kielelezo kwamba kuna uzembe ktk vyombo vyetu vya usalama.
Unauhakika gani kwamba kati ya Gwajima au serikali inapotokaposha? Hivi madhara ya muda mrefu tumeyaona? Vipi siku moja miaka kadhaa mbele yakatokea madhara makubwa kwa watanzania serikali ipo tayari kuwajibika?
LabdaNi migambo
Hakuna wenye ubavu wa kuandika hiyo barua!! Vinginevyo wote waliowahi kupinga chanjo (akiwamo mwenyewe na naibu wake) itabidi Siro awakamate! Sirro hawezi kuhangaika na maagizo toka kwa mtu ambaye siku zake za kuwa waziri zinahesabika!Simple tu kesho atapokea barua
unauhakika?Hakuna wenye ubavu wa kuandika hiyo barua!! Vinginevyo wote waliowahi kupinga chanjo (akiwamo mwenyewe na naibu wake) itabidi Siro awakamate! Sirro hawezi kuhangaika na maagizo toka kwa mtu ambaye siku zake za kuwa waziri zinahesabika!
Ndiyo kuna haja tena haja kubwa tu!! Hivyo ndivyo sheria inavyotaka!! Ni kweli kunà wakati hawasubiri kupewa barua lakini hayo huwa ni makosa!hivi kuna haja ya kuwa na IGP wa hivi
Wewe ni mtanzania kilaza wa mwisho kwa akili yako unafikili gwajima personally anaweza kushindana na serikali.Gwajima hakamatiki, wakizubaa Jumapili ataendeleza zoezi la kupambana na chanjo ya corona, safari hii atamshughulikia Dorothy 🤣
Nakubaliana nawe kabisa, maana yangu. Huyu siku zote alikuwa anakosea kamatakamata zake Leo hii anaona kesi ya sabaya baada ya kuvuliwa madaraka ndio anaona Kuna haja ya kuwa timamuNdiyo kuna haja tena haja kubwa tu!! Hivyo ndivyo sheria inavyotaka!! Ni kweli kunà wakati hawasubiri kupewa barua lakini hayo huwa ni makosa!