IGP Sirro: Hatuna barua ya kumkamata Askofu Gwajima, utaratibu ufuatwe

Ukiwa na hasira sana usitoe maamuzi, kwa sababu ukitoa maamuzi, lazima utatoa boko
 
hivi kuna haja ya kuwa na IGP wa hivi
 
Kuna baadhi ya Watanzania ni wapumbavu sana, yaani amri ya kumkamata Gwajiboy itoke kwa rais?

Acheni kumpa uspecial huyo tapeli ndio maana anaropoka anavyotaka.

Kipindi alivyokuwa anakamatwa na Makonda rais alihusika?
Unawafahamu wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama na majukumu yao?
 
Unauhakika gani kwamba kati ya Gwajima au serikali inapotokaposha? Hivi madhara ya muda mrefu tumeyaona? Vipi siku moja miaka kadhaa mbele yakatokea madhara makubwa kwa watanzania serikali ipo tayari kuwajibika?
 
Unauhakika gani kwamba kati ya Gwajima au serikali inapotokaposha? Hivi madhara ya muda mrefu tumeyaona? Vipi siku moja miaka kadhaa mbele yakatokea madhara makubwa kwa watanzania serikali ipo tayari kuwajibika?

..Askofu anasema mambo ya UONGO.

..kwa mfano, anadai ukichanjwa unakuwa na magnetic force ktk mwili wako.

..kwamba ukiweka sumaku pale ulipochanjwa sumaku itashikwa / itaganda.

..sasa huo ni UONGO wa waziwazi. Askofu alitakiwa aweke hoja za msingi ili zijadiliwe na sio kuleta uzushi.
 
Simple tu kesho atapokea barua
Hakuna wenye ubavu wa kuandika hiyo barua!! Vinginevyo wote waliowahi kupinga chanjo (akiwamo mwenyewe na naibu wake) itabidi Siro awakamate! Sirro hawezi kuhangaika na maagizo toka kwa mtu ambaye siku zake za kuwa waziri zinahesabika!
 
Hakuna wenye ubavu wa kuandika hiyo barua!! Vinginevyo wote waliowahi kupinga chanjo (akiwamo mwenyewe na naibu wake) itabidi Siro awakamate! Sirro hawezi kuhangaika na maagizo toka kwa mtu ambaye siku zake za kuwa waziri zinahesabika!
unauhakika?
 
Gwajima hakamatiki, wakizubaa Jumapili ataendeleza zoezi la kupambana na chanjo ya corona, safari hii atamshughulikia Dorothy 🤣
Wewe ni mtanzania kilaza wa mwisho kwa akili yako unafikili gwajima personally anaweza kushindana na serikali.
 
Ndiyo kuna haja tena haja kubwa tu!! Hivyo ndivyo sheria inavyotaka!! Ni kweli kunà wakati hawasubiri kupewa barua lakini hayo huwa ni makosa!
Nakubaliana nawe kabisa, maana yangu. Huyu siku zote alikuwa anakosea kamatakamata zake Leo hii anaona kesi ya sabaya baada ya kuvuliwa madaraka ndio anaona Kuna haja ya kuwa timamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…