Uchaguzi 2020 IGP Sirro: Hatupendelei Upande wowote, tupo kutenda haki

Uchaguzi 2020 IGP Sirro: Hatupendelei Upande wowote, tupo kutenda haki

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi halimpendelei yoyote wako kutenda haki na kulinda amani

Amewaambia wanasiasa wasiwe na hofu, Jeshi la Polisi litampigia saluti yoyote atakayechaguliwa kuingoza dola

Aidha amewataka Jeshi la Polisi, Waandishi, ZEC na NEC watimize wajibu wao. Na wanasiasa pia watimize wajibu wao ili wasiingize taifa kwenye uhalifu

Pia amesema kuna baadhi ya watu wamesema watatangaza matokeo, amesisitiza jukumu la kutangaza matokeo ni kazi ya Tume ya Uchaguzi
 
Hivi yule askari aliemfanyia udhalilishaji yule mbunge ameshachukuliwa hatua zozote za kinidhamu? au hata jeshi la polisi limewahi kutoa kauli yoyote ya kulaani lile tukio?

Huyu Sirro bora awe ananyamaza tu.
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema kuwa Jeshi la Polisi lipo kwa mujibu wa sheria na kamwe halijihusishi na masuala ya kisiasa.

Pia amewahimiza askari wa Jeshi hilo kutimiza wajibu wao kwa kuhakikisha wanatenda haki na kufuata taratibu zilizopo.

EkyEMjyXEAAVFxI.jpg
 
Polisi ni sehemu ya hujuma kwenye chaguzi za nchi hii na ushauri upo. Hivyo Siro asidhani kuna mtu anamuelewa kwenye upande wa upendeleo. Na asipopendelea hana uwezo wa kukaa kwenye hicho cheo.
 
Amina Sirro ni imani yetu mtasimamia sheria mshindi halali atangazwe na si vinginevyo.
 
IGP is there to defend , Ccm interest only and not to deal with, Justices, we have to chase those idiots.
 
View attachment 1606491
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi halimpendelei yoyote wako kutenda haki na kulinda amani

Amewaambia wanasiasa wasiwe na hofu, Jeshi la Polisi litampigia saluti yoyote atakayechaguliwa kuingoza dola

Aidha amewataka Jeshi la Polisi, Waandishi, ZEC na NEC watimize wajibu wao. Na wanasiasa pia watimize wajibu wao ili wasiingize taifa kwenye uhalifu

Pia amesema kuna baadhi ya watu wamesema watatangaza matokeo, amesisitiza jukumu la kutangaza matokeo ni kazi ya Tume ya Uchaguzi
Isiwe maneno, watekeleze kwa vitendo
 
Policcm si wa kuamini hata sekunde moja.
"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..Amesema watampigia Saluti yeyote atakayeshinda.

..Maana yake wako tayari kumpigia saluti hata Tundu Lissu.
 
Imefikia hatua, unashindwa kumtofautisha Pole pole na IGP. Shame.
 
Back
Top Bottom