Uchaguzi 2020 IGP Sirro: Hatupendelei Upande wowote, tupo kutenda haki

Uchaguzi 2020 IGP Sirro: Hatupendelei Upande wowote, tupo kutenda haki

Huyu babu sijui anajua watu wote ni wajinga! hatupendelei inamaana sisi hatuoni matendo yenu wala kusikia?
 
Sawa mzee Siro tumekumanya
IMG-20201021-WA0035.jpg
 
View attachment 1606491

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi halimpendelei yoyote wako kutenda haki na kulinda amani

Amewaambia wanasiasa wasiwe na hofu, Jeshi la Polisi litampigia saluti yoyote atakayechaguliwa kuingoza dola

Aidha amewataka Jeshi la Polisi, Waandishi, ZEC na NEC watimize wajibu wao. Na wanasiasa pia watimize wajibu wao ili wasiingize taifa kwenye uhalifu

Pia amesema kuna baadhi ya watu wamesema watatangaza matokeo, amesisitiza jukumu la kutangaza matokeo ni kazi ya Tume ya Uchaguzi
Uwe na aibu wewe IGP Sirro, Mnapendelea CCM hilo hakuna asiyelijua hata kidogo.
 
View attachment 1606491

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi halimpendelei yoyote wako kutenda haki na kulinda amani

Amewaambia wanasiasa wasiwe na hofu, Jeshi la Polisi litampigia saluti yoyote atakayechaguliwa kuingoza dola

Aidha amewataka Jeshi la Polisi, Waandishi, ZEC na NEC watimize wajibu wao. Na wanasiasa pia watimize wajibu wao ili wasiingize taifa kwenye uhalifu

Pia amesema kuna baadhi ya watu wamesema watatangaza matokeo, amesisitiza jukumu la kutangaza matokeo ni kazi ya Tume ya Uchaguzi
Mwenye macho haambiwi tazama ... tunawaona, tunawasikia ila hatuna imani na weledi katika kazi yenu huku mtaani tumewapa jina POLICCM
 
Sirro Sirro Sirro body language yako inakataa kabisa hicho unachokiongea sicho kitokacho moyoni
Safari amani ya Tanzania iko mkononi mwako Ukichezea kwa kutaka kumfurahisha aliekuteua imekula kwako
 
Yeye mwenyewe Lisu anajua anakwenda kushindwa Ila anacho ogopa ni kushindwa vibaya Ila halinabudi ilo kutokea.
 
View attachment 1606491

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi halimpendelei yoyote wako kutenda haki na kulinda amani

Amewaambia wanasiasa wasiwe na hofu, Jeshi la Polisi litampigia saluti yoyote atakayechaguliwa kuingoza dola

Aidha amewataka Jeshi la Polisi, Waandishi, ZEC na NEC watimize wajibu wao. Na wanasiasa pia watimize wajibu wao ili wasiingize taifa kwenye uhalifu

Pia amesema kuna baadhi ya watu wamesema watatangaza matokeo, amesisitiza jukumu la kutangaza matokeo ni kazi ya Tume ya Uchaguzi
 

Attachments

  • 2587844-aa5b6b5a7b0df279df6b891d75542569.mp4
    6 MB
View attachment 1606491

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi halimpendelei yoyote wako kutenda haki na kulinda amani

Amewaambia wanasiasa wasiwe na hofu, Jeshi la Polisi litampigia saluti yoyote atakayechaguliwa kuingoza dola

Aidha amewataka Jeshi la Polisi, Waandishi, ZEC na NEC watimize wajibu wao. Na wanasiasa pia watimize wajibu wao ili wasiingize taifa kwenye uhalifu

Pia amesema kuna baadhi ya watu wamesema watatangaza matokeo, amesisitiza jukumu la kutangaza matokeo ni kazi ya Tume ya Uchaguzi
Tunataka matokeo yatangawze hadharani kweupe peee!
 
Hatuna viongozi wapolisi wanaojiamini,wanamuogopa mkosefu wa adabu polepole na basiru,polisi wanajiaibisha sana sana ,
 
Sirro wadanganye wajinga
Hadi leo hajatolea ufafanuzi unyanysaji wa Mh. Mbowe na Ocd.
Haja ongea lolote kuhusu vutendo vya udhalilishaji alivyo fanyiwa Matiko. Bado ana piga ngonjera za ajabu hapa.
 
"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.

Sent using Jamii Forums mobile app
hujui usemalo.........mshindi mmoja kutoka ????? hata kwa bao la mkono
 
Ata yeye Lisu anajua anakwenda kushindwa Ila anacho ogopa ni kushindwa vibaya na kwa aibu Ila halinabudi ilo kutokea.
 
hujui usemalo.........mshindi mmoja kutoka ????? hata kwa bao la mkono
Sema ipo siku tutatamani sana tungesimamia haki na kupinga uonevu hapa nchini, by then tutakua tumechelewa na hakuna atakayekua salama, labda wenye uraia wa nchi mbili.
 
Namkumbusha IGP kuhusu ile tume iliyokwenda kuchunguza jimbo la Hai kauli zilizotolewa na OCD kwamba Mbowe hawezi kushinda ilhali yeye ni police asiye takiwa kuwa na upande

iligundulika ocd aliongea ukweli hivyo kesi imeisha mkuu[emoji23][emoji23][emoji23].
 
View attachment 1606491

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi halimpendelei yoyote wako kutenda haki na kulinda amani

Amewaambia wanasiasa wasiwe na hofu, Jeshi la Polisi litampigia saluti yoyote atakayechaguliwa kuingoza dola

Aidha amewataka Jeshi la Polisi, Waandishi, ZEC na NEC watimize wajibu wao. Na wanasiasa pia watimize wajibu wao ili wasiingize taifa kwenye uhalifu

Pia amesema kuna baadhi ya watu wamesema watatangaza matokeo, amesisitiza jukumu la kutangaza matokeo ni kazi ya Tume ya Uchaguzi
Nikiwa kama raia mtanzania tume siwaamini hata siku na moja tume tume tume masilahi yenu binafsi yana dhurumu haki zetu watanzania tulio wengi nyie mwa nufaika wachache tulio wengi twaumia hatutaki huo ujinga
 
Back
Top Bottom