Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi hiyoLeo kuna Mgombea Mmoja alisema kidumu Chama cha Mapinduzi akajibiwa Kidumu cha Petroli Nadhani ujumbe ulifika loud n clear hehehe
Safari hii Figisu za ZEC na NEC zinaweza kutuharibia sifa ya Tanzania
Hayo ndo maneno watanzania wanataka kusikia. Ni haki tu!!Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema kuwa Jeshi la Polisi lipo kwa mujibu wa sheria na kamwe halijihusishi na masuala ya kisiasa.
Pia amewahimiza askari wa Jeshi hilo kutimiza wajibu wao kwa kuhakikisha wanatenda haki na kufuata taratibu zilizopo.
View attachment 1606527
PembaWapi hiyo