IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

Nilichojifunza ukiwa kiongozi mkubwa inabidi kuchagua maneno ya kuongea public. Ukicheki kwa jicho la 3[emoji102] igp Sirro , kimwili yupo na mama lakini kiroho hayupo naye
Siro sio mjinga. Lazima Ni member humu na haya maudhui ya jf ameyaona na amejua jamii inamuonaje.
Atachukua hatua stahiki dhidi ya Hilo Toto lake.
 
IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.

Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.

Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.

"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.

IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.

Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.

Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.

JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Kweli mkuu , hakuna mzazi atapenda zaa mtoto ,mwizi, gaidi, au malaya ,teja n.k , Binafsi nafikili KILA mtoto huzaliwa akiwa na baraka zote na ndo maana mtoto mchanga aweza kuta anacheza mpaka na nyoka na asimdhulu,

Lakini pia Kuna siri Kati ya mtoto na Mungu, that's wanazaliwa hawaongei ila Mungu kawapa mawasiliano ya haraka , na mama zao, na wanawatambua,

IGP kazingua Sana KWa kauli yake

Naunga mkono for 100% andiko lako
 
Ulevi wa madaraka ni shida sana! Anaweza kuzani anamfurahisha mteule wake lakini kwa chanzo cha tukio hili, alipaswa kuliombea jeshi msamaha badala ya kudhihaki wazazi wa marehehemu ambao katu hawakumtuma mwanao kuyafanya hayo!
 
Weekeni picha ya Hilo Toto la chanika nasi tulione tusizae Kama Hilo !!
 
IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.

Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.

Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.

"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.

IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.

Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.

Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.

JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Huyu mzee kaongea vitu vya ajabu sn
 
Mnamlaumu sirro kwa kukumbusha wazazi umuhimu wa kulea watoto katika njia sahihi!?
Kwa akili zako hamza alijifunza kutumia silaha lini labda na familia yake ikimjua ilifanya nini???

Vitu vingine mkubali kuambiwa buana, hadi sirro kaongea ana taarifa za kutosha za makuzi ya hamza
Wewe mambo yako yote uliyowahi kufanya wazazi wako wanayajua? Grow up!
 
Unajua, inasemekana damu za binaadam zikimwagwa kwa uonevu tu, hazimwachi mtu anayesababisha zimwagike, ni lazima atadhurika tu kwa njia moja au nyingine.
Kamanda Sirro, dhambi huzaa dhambi, uovu huzaa uovu na haki huzaa haki. Laana nayo ni mbaya sanakwani huharibu kizazi cha watenda waovu hadi kizazi cha nne.
 
Hawa wote wanaodhulumiwa kwakuwa hawana wa kuwatetea, Mungu muumbaji wao alishasema kupitia vitabu vya dini" wale wote wenye Mamlaka wasipowatetea wanaoonewa basi ardhi itawalilia". Kila Jambo linalotendeka Lina kusudi Kwa Mungu hata hili la Mwamba Hamza.
Kamanda Sirro soma hapo juu boss wangu, najua wewe ni mseminary mzuri lkn kufanya kazi na ccm kumeharibu sana legacy yako
 
IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.

Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.

Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.

"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.

IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.

Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.

Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.

JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.


Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom