IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

Wewe Zirooo unafaa ushukuru sana tokea la Hamza ni moja tu katika miaka kukatika na nyie ndio sababu .Je ? nyie matokeo yenu unayajua ya kuuwa watu na kudhulumu mali zao Hamza kadili na nyie kistarabu sana kuna wenzako ndio maisha yao kudili na matokeo hayo ,sasa hiyo IGP ulipewa utembee uzuri wako mitaani na kutukana watu anza kazini kwako kuweka uadilifu halfu uje na pumba zako .Raisi Samia anakupenda sana alitakiwa akupige paranja wewe na timu yako yote hamfai kabisa chuki za raia na Polisi ni kubwa zaidi kuliko unavofikiria wananchi hawawapendi Polisi kwa jinsi munavodhulumu watu hili jeshi la Polisi lemefeli totaly Falier.
 
IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.

Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.

Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.

"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.

IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.

Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.

Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.

JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Sirro, fahamu kuwa kichwa siyo boksi
la kufugia ndevu. Hebu jiongeze, tuone akili walau kidogo kwenye boksi lako
la ndevu.
 
Sirro tumbo Ni mithili ya shamba hutoa mazao ya Kila aina,hivyo huwezi kutukana wazazi na familiya Kisha tukupigie makofi kwa ubora wa matusi. Sirro ulichofanya Ni utoto na ulevi wa madaraka, tubu mapema. Sirro unahisi Kama kizazi chako hakifahamiki? Mbona na wewe ulizaa, kulea, na kukuza mvuta bangi anayesumbua chanika. Hotel zako za mwanza ulizijenga kwa mshahara na lesheni ya upolisi gani. Usitake tuseme yasiyotakiwa kusemwa. Kitendo Cha kudhihaki familiya HAPANA HAPANA HAPANA HAKIKUBALIKI.
KATIBA KATIBA MPYA IREKEBISHE MENGINE.
HIVI KWA NINI WENYE MADARAKA WAKIJUA WAZI WAMETENDA KOSA WANATAKIWA KUJIUZULI LAKINI BADO WANAJIONA WAKO SAWA.
SIRO HUTUFAI TENA!!
KATIBA KATIBA.
 
Alikuwa anafikisha Ujumbe kwa Wazazi wa Gaidi, ukweli halisi hawa watoto kupelekwa shule za kidini wakiwa wadogo wanafundishwa ugaidi. Hapa Tanzania nyingi zimefungwa mambo ya hayo hayo. Lakini pia kujiuliza kwanini wahalifu wengi ni majina haya haya ya kina Hamza?? Kuna shida mahali
 
Sirro ni fisadi kuu, ana lodge na hotel karibu mikoa yote...Tegeta Nyakoro, Chanika...Butiama
Twambie Mshahara na malupulupu analipwa shilingi ngapi?

Twambie pia benki anadaiwa ngapi?

Usimwite mtu fisadi kumbe benki anadaiwa mamilioni ya fedha za mikopo alizokopa kuweka uwekezaji huo
natamani wanangu wawe kama Hamza, waje waipiganie Jamhuri.

rest in eternal peace Hamza.
Sawa ,

Ila yakiuliwa kama mnyama usije ukaja kulia na kujuta.
 
IGP YUPO SAHIHI

MZAZI MKANYE MWANAO

KAMA AMEKUSHINDA KAMRIPOTI KWENYE VYOMBO VYA DOLA.

KUENDELEA KUISHI NAYE NA KUPOKEA VIZAWADI VYA MWANAO HUKU UKIJUA SI MTU MZURI BASI NA WEWE MZAZI UNAKUWA SEHEMU YA HUO UHALIFU.

WAZAZI WA HAMZA WALITAKIWA WAMLIPOTI MTOTO WAO,LAKINI HAWAKUFANYA HIVYO.HIVYI NA WAO NI SEHEMU YA HAMZA.

Kuhusu utajiri wa IGP Siri hao wanaohoji utajiri wake wanachukia zao binafsi.

Kwanza Hawaleti vithibitishe kuhusu umiliki wa hizo hotel wanazozisema kuwa ni mali ya IGP SIRO.
KUPIGA PICHA BANGO LENYE JINA LA NYAKORO na kutumia hilo kina kulinasibisha na IGP huo ni ukosefu wa wazungu kichwani.Majina huweza kufanana.

Pili, Hata kama ni zake, Wanajua kazipataje?
Wamejiuliza haya maswali yafuatayo?

Je kama ni mali za urithi?

Je kashiriki misheni ngapi za kimataifa na alikuwa analipwa ngapi?

Je kama kakopa benki mamilioni ya fedha?


ACHENI KUENEZA CHUKI
 
Back
Top Bottom