IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

Yaani IGP mzima biashara aliyoona ina hadhi yake ni bar?...khaaa.
Hizo ndio biashara rahisi kuzimanage kwa maaskari hazina mambo mengi.
Biashara zingine zinahitaji muda mwingi kuzifuatilia ndio maana wanazipenda hizo
 
Siro ukimwangalia mwonekano wake kimwili utadhani ni mtu wa kuheshimika sana!

Hapana, kuna wakati hata matamshi yake yalionekana kuwa ya mtu mwenye busara.

Haieleweki ni kitu gani hasa kimembadilisha akili kiasi hiki alivyokuwa sasa?

Unajua, inasemekana damu za binaadam zikimwagwa kwa uonevu tu, hazimwachi mtu anayesababisha zimwagike, ni lazima atadhurika tu kwa njia moja au nyingine.

Siro ni mhanga wa umwagaji wa damu za waTanzania ambao hawakustahili kuuliwa au kuumizwa.

Maisha yake ya uhai wake uliosalia yatakuwa ya matatizo tupu.

Atakuwa na mwisho wenye tabu na mateso tupu itakula vizazi vyake nane
 
IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.

Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.

Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.

"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.

IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.

Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.

Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.

JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Mtaje huyo kijana jina lake na baba yake pia mtaje jina mwaga kila kitu tumechoka upuuzi.
 
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini,
Habari bila picha hainogi. Ingependeza sana kama huu uzi ungeambatana na picha ya huyo "kijana" unayemtuhumu ili sisi members wa JF tujiridhishe kama huyo ni mtoto wa Sirro au la.
 
Nyani haoni kundule, anastaafu soon msumeno upo, loading initiatives. Lenana isnt equal heaven.
Inasikitisha, mwanae aliwahi kuajiriwa Moshi alisumbua sana ana lewa Moshi mjini na Arusha siku za kazi hadi kazi ikamshinda.
Sasa anasumbua Makongo na Chanika...mla unga hatari
 
Sirro hajakoses namtetea.
Zamani kuna jamaa alikua anapiga ngumi balaa O bay wanamjua sana miaka hiyo,kwenye matukio alikua ananyanganya silaha polisi anaendeleza mission.
Siku niliskia kwa dadaake polisi walilala nae mbere kipindi cha Magu.
Hajaonekana Maiti wala nini mpk leo.
Ndugu hata kuuliza hawataki wasijitie matatizoni na polisi.
Vingine ni maisha tu wanapitia watu.
Huyo mtu alikua poa tu ukikaa nae mnaongea wala hana tatizo.
Labda alikua hapendi kuonewa, au alikua hataki kujishusha na ngumi kwake ilikua issue ndogo tu.
Issue ya Hamza imenikumbusha mengi.
Naona tu aliamua siku hiyo amalizane nao.
Ndio vijana wamekwenda,ukiwa polisi kumbuka unapambana na wahalifu usizubaezubae .
Wakikula kichwa usilaumu jeshi ulikua vitani bila kujitambua.
US hawaulizi maswali mengi unakula shaba kwanza maswali badae.
Na nawaelewa maana kuna siku polisi wamemsimamisha jamaa wamuhoji kawasubiri walipokaribia kachomoka na machine gun
Kawalamba risasi polisi kibao kukimbia wakamuwai nayeye.
Hili swala la huyu mtu limeshatokea hakuna wa kulaumiwa.
Mjaribu kuongea na watoto mnapoona wanaenda kinyume.
 
Hamza ni kijana wa kuigwa!!!Angefanya nini kama anaonewa????kama husikilizwi unaonewa utafanyaje?kila binadamu anapoteswa sana hugeuka na kua mnyama!!!!
Uko sahihi kuna limit, huwa tunageuka mbogo!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom