tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Yani rushwa tupuBado ipo na ameongeza nyingine mpya mtaa wa pili inaitwa Nyakoro Bar & Lodge
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani rushwa tupuBado ipo na ameongeza nyingine mpya mtaa wa pili inaitwa Nyakoro Bar & Lodge
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
We unawazia nini?unawaza mshahara tu.
Unajua kuwa mkopo unakuwa mkubwa kulingana na ukubwa wa mshahara?badili mtizamo wako, mishahara Ni kwa ajili ya kupatia mikopo na mitaji tu.
Ipo mkuu kuna siku niliendaa kupiga papuchi hapo...ilikuwa mwaka 2016. Long time kidogo kidogo ndo siku nakutananae live bila chengaHivi Sirro ile Lodge yake kule tegeta bado ipo?
Kamanda Sirro huyu huyu aliyesoma Tosamaganga. Sina hakika sana kama lenana ni ya kwake ila mzee kajitahidi kuwekeza sana katika lodges na bar na aliona mbali kufungua kiwanda cha kuzalisha unga kinachoitwa musoma food ambacho kipo shinyanga.Sio hajaja mjini akiwa mlinzi kulinda bank n wakubwa zake,lenana imejengwa miaka ya tisini...siro akiwa hana cheo
GashoDaaah mungu fundi anawalipa hapahapa,huyo wa toplady ni wakike au gasho
Lenana ameshika hela toka siro anachunga ngombe musoma,anaitwa mosha....lenana ya arusha ni mali ya mromboHahah jamaa wameamua kutunga tu halafu wanalazimisha iwe ukweli mkuu.
Huyo mama uliemtaja nahisi dish limeyumba,huku lumumba wamemkopa sana utamu...yani ni kusifu tu hata kama jambo la hovyoKatika kikundi cha wazazi sita, wanne wameshaijadili hii kauli ya Sirro, na ni ukweli kuwa wengi hawajaipenda na imewasikitisha.
Isipokuwa kwa akina Mr and mrs privilege's kama Akilinjema na mama D ndio waliomuunga mkono afande Sirro.
Anaonekana ni mama asiye na majukumu, kazi yake kubwa itakuwa ni kuwahudumia wakubwa wa CCM chai na karanga asubuhi…Huyo mama uliemtaja nahisi dish limeyumba,huku lumumba wamemkopa sana utamu...yani ni kusifu tu hata kama jambo la hovyo
We unawazia nini?
Rushwa
Na tena ni Shujaa Tanzania nzima aijawahi kutokea, tatizo moja tu agebutua vichwa kibao vya hao maafande manina zao.Itoshe kusema Mwamba Hamza, ni Kiboko ya policeccm.
Mimi nafikiri kateleza tu kibinadamu baada ya kuwapoteza vijana wake wawili,tumsamehe Sirro hajakamilika kama ambavyo sisi sote hatujakamilika,hata polisi wasiotenda haki wanaodhulmu watu ni wa hovyohovyo Kama Hamza tu,nadhani angesema hivyo angekuwa amebalanceSiro ukimwangalia mwonekano wake kimwili utadhani ni mtu wa kuheshimika sana!
Hapana, kuna wakati hata matamshi yake yalionekana kuwa ya mtu mwenye busara.
Haieleweki ni kitu gani hasa kimembadilisha akili kiasi hiki alivyokuwa sasa?
Unajua, inasemekana damu za binaadam zikimwagwa kwa uonevu tu, hazimwachi mtu anayesababisha zimwagike, ni lazima atadhurika tu kwa njia moja au nyingine.
Siro ni mhanga wa umwagaji wa damu za waTanzania ambao hawakustahili kuuliwa au kuumizwa.
Maisha yake ya uhai wake uliosalia yatakuwa ya matatizo tupu.
Alimzaa nje au ndani ya ndoa?Yap, kama yule mtoto wa Sirro mvuta bange hadharani kule Chanika. Kilangila.
Yap, kama yule mtoto wa Sirro mvuta bange hadharani kule Chanika. Kilangila.
NYAKORO LODGE ipo sanaHivi Sirro ile Lodge yake kule tegeta bado ipo?
ccm mmeanza kumalizana wenyewe, hamza mwanaccm amewamaliza ccmpolice na wao wakammaliza, hivi ccm mnanini lakini?