Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Amesema Jeshi la polisi limejipanga vizuri na ndio maana wanayakamata makundi ambayo yanakuwa yamepangwa kutekeleza uhalifu. Pia amesema majina ya watu wanataka kufanya fujo wanayo hivyo wanawakamata.
Amesema wanataarifa kuwa kuna watu wanaandaliwa kutoka Kenya ili kuja kufanya fujo wakati wa uchaguzi. Hivyo ameongea na viongozi wa siasa ili wazungumze kuhusu mambo haya waliyotaarifiwa.
IGP Sirro amesema wanaona maeneo ya Tarime kuna shida hivyo watatuma Polisi wakutosha watakaovaa kiraia ili kuhakikisha amani.