Uchaguzi 2020 IGP Sirro: Kuna baadhi ya vyama wana ajenda ya kufanya vurugu ili uchaguzi usifanyike

Uchaguzi 2020 IGP Sirro: Kuna baadhi ya vyama wana ajenda ya kufanya vurugu ili uchaguzi usifanyike

Dah, siku zote hutuma askari wengi maeneo wapinzani wana nguvu ya kushinda. Sijui kwanini sehemu ambazo CCM imetangazwa kupita bila kupingwa baada ya mpinzani kuwekewa pingamizi lisilo la haki huwa hakuna vurugu.
 
Namsikiliza Defao anasema "toka kule nitákvpiga masasi eee x3"
Nalog off
 
..video hii ni nzuri zaidi kuhusu mikutano ya IGP mkoani Mara.

..sikiliza toka dakika 12:00 ambapo wagombea ubunge wa CCM na wa CDM wamezungumza.


Ccm walipokuwa wanatumia hela zetu za kodi kununua viongozi wa upinzani hukuwaona uwaambie wamkumbuke mungu wao ??
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema ana uhakika Uchaguzi Mkuu utafanyka kwa amani na utulivu, japo kuna baadhi ya vyama wanataka kuwa na vurugu ili uchaguzi usifanyike.

Amesema Jeshi la polisi limejipanga vizuri na ndio maana wanayakamata makundi ambayo yanakuwa yamepangwa kutekeleza uhalifu. Pia amesema majina ya watu wanataka kufanya fujo wanayo hivyo wanawakamata.

Amesema wanataarifa kuwa kuna watu wanaandaliwa kutoka Kenya ili kuja kufanya fujo wakati wa uchaguzi. Hivyo ameongea na viongozi wa siasa ili wazungumze kuhusu mambo haya waliyotaarifiwa.

IGP Sirro amesema wanaona maeneo ya Tarime kuna shida hivyo watatuma polisi wakutosha watakaovaa kiraia ili kuhakikisha amani.
si vizuri kushangilia mabaya yanapompata mtu lakini huyu jamaa atakapokuwa anashughulikiwa na ICC (na nina uhakika atashughulikiwa) mimi nitashangilia yakimpata yakumpata kwani yeye na timu yake wanafanya makusudi kabisa ya kukandamiza vyama mbadala ambavyo ni tishio kwa CCM ya sasa ambayo kama chama tayari ni marehemu as we speak (RIP CCM yetu ya Mwalimu).
 
Mengine yanafanyika kwa mgongo wa amani, Ila ni sehemu ya mbinu zinazoitwa za kisayansi za chama.
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema ana uhakika Uchaguzi Mkuu utafanyka kwa amani na utulivu, japo kuna baadhi ya vyama wanataka kuwa na vurugu ili uchaguzi usifanyike.

Amesema Jeshi la polisi limejipanga vizuri na ndio maana wanayakamata makundi ambayo yanakuwa yamepangwa kutekeleza uhalifu. Pia amesema majina ya watu wanataka kufanya fujo wanayo hivyo wanawakamata.

Amesema wanataarifa kuwa kuna watu wanaandaliwa kutoka Kenya ili kuja kufanya fujo wakati wa uchaguzi. Hivyo ameongea na viongozi wa siasa ili wazungumze kuhusu mambo haya waliyotaarifiwa.

IGP Sirro amesema wanaona maeneo ya Tarime kuna shida hivyo watatuma Polisi wakutosha watakaovaa kiraia ili kuhakikisha amani.
Sijawaji kuona IGP wa ajabu kama huyu.
Tumeshuhudia wafuasi wa Ccm wakimpiga mawe mgombea wa CHADEMA mara kadhaa kwenye maeneo tofauti na polisi wake wakiwepo. Hatuja sikia akikemea Ccm wala mapolisi wake.
Tume shuhudia Ccm wakifanya kampeni za hovyo tena maeneo ambayo hayako kwenye ratiba na hakuna karipio toka kwake wala wasaidizi wake.
Tumeona wagombea wa Chadema wakinyanyaswa na askari wake tena polisi wanaume waki pambana na wanawake na wana fahamu ni kinyume cha GPO lakini bahati nzuri IGP ni kipofu haoni.
Tumeona wagombea wa Chadema wakipigwa mabomu kisa wana sindikizwa na wananchi hakuna shida maana hao ni wahamiaji haramu IGP hajasikia na hafuatilii mambo ya mtandaoni.
Powa tutafika tuu. Kama sio leo ni kesho nchi ita pata wanao jua kufuata. Sheria.
Mikwambie Siro, hata kama JPM atashinda usitegemee kuendelea kuwa IGP mmemdanganya sana huyu Baba.
 
Watakaotaka kufanya vurugu ili kukwamisha uchaguzi, wakamatwe, wapigwe na uchaguzi uendelee wakiwa ndani, bila kujali watakuwa Ni wafuasai wa upande gani..!
 
Safi sana bora kinuke huko Jeshi lipelekwe lipunguzwe Zanzibar maana miaka yote munakuja kupindua meza.
Naomba dua hali iwe mbaya mikoa mingi majeshi na akari waende huko Zanzibar tumumuondoe jamaa wa MKURANGA. Na vile nasikia kuna habari nyeti katika mpaka wa Tz na Msumbiji.
 
Mbona wana chadema mnaweweseka na kumkashifu siro? Au ni nyie ndo mnataka kuunajisi uchaguzi huu? Maana siro hajataja mwanachama gani au ni chama kipi.
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema ana uhakika Uchaguzi Mkuu utafanyka kwa amani na utulivu, japo kuna baadhi ya vyama wanataka kuwa na vurugu ili uchaguzi usifanyike.

Amesema Jeshi la polisi limejipanga vizuri na ndio maana wanayakamata makundi ambayo yanakuwa yamepangwa kutekeleza uhalifu. Pia amesema majina ya watu wanataka kufanya fujo wanayo hivyo wanawakamata.

Amesema wanataarifa kuwa kuna watu wanaandaliwa kutoka Kenya ili kuja kufanya fujo wakati wa uchaguzi. Hivyo ameongea na viongozi wa siasa ili wazungumze kuhusu mambo haya waliyotaarifiwa.

IGP Sirro amesema wanaona maeneo ya Tarime kuna shida hivyo watatuma Polisi wakutosha watakaovaa kiraia ili kuhakikisha amani.
hao watakuwa ni CCM tu, maji yamewafika shingoni - maana walishaanza kutumia jeshi lako waziwazi lakini wewe upo kimya.
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema ana uhakika Uchaguzi Mkuu utafanyka kwa amani na utulivu, japo kuna baadhi ya vyama wanataka kuwa na vurugu ili uchaguzi usifanyike.
Sirro amepoteza sana hadhi na heshima yake mbele ya jamii wa Watanzania, na anajua wazi Tundu akishinda uchaguzi yeye pamoja na maofsa kadhaa wa Polisi waliosimamia uvunjaji wa haki dhidi ya upinzani watakuwa hawana kazi. Wakijua hili wanafanya kila wawezalo kuibeba CCM, wakijua ushindi wa CCM ndio pekee utakalinda kazi zao ili waendelee kulisha familia zao
 
Kamwe hatuwezi kuilinda AMANI ya nchi kwa kuruhusu na kufumbia macho wengine wafanye fujo , huku tukikamata wengine tena kwa kuwasakizia uhalifu! Kama tayari IGP anayo majina ya wahalifu si aende tu moja kwa moja akawakamate na kuwafungulia kesi ili sheria ikawamuulike? Hivi vitendo vya jeshi la polis ndivyo vitakuja kufanya wapinzani wafikirie kutafta na wao nguvu za kijeshi!
 
Sirro amepoteza sana hadhi na heshima yake mbele ya jamii wa Watanzania, na anajua wazi Tundu akishinda uchaguzi yeye pamoja na maofsa kadhaa wa Polisi waliosimamia uvunjaji wa haki dhidi ya upinzani watakuwa hawana kazi. Wakijua hili wanafanya kila wawezalo kuibeba CCM, wakijua ushindi wa CCM ndio pekee utakalinda kazi zao ili waendelee kulisha familia zao
Atapaswa kushitakiwa kwa makosa mengi ndiyo maana hawataki CCM itoke madarakani.
 
Kamwe hatuwezi kuilinda AMANI ya nchi kwa kuruhusu na kufumbia macho wengine wafanye fujo , huku tukikamata wengine tena kwa kuwasakizia uhalifu! Kama tayari IGP anayo majina ya wahalifu si aende tu moja kwa moja akawakamate na kuwafungulia kesi ili sheria ikawamuulike? Hivi vitendo vya jeshi la polis ndivyo vitakuja kufanya wapinzani wafikirie kutafta na wao nguvu za kijeshi!
Target ni kuwa kamata viongozi wa chadema
 
Back
Top Bottom