IGP Sirro: Ni aibu sana kuruhusu jambazi kutawala nchi yetu

IGP Sirro: Ni aibu sana kuruhusu jambazi kutawala nchi yetu

Hapa Sirro alikuwa anaongelea majambazi kufanya uhalifu na kuonekana kama vile wao ndio wanatawala nchi na si vinginevyo
siro.jpg
 
Tanzania tuna IGP mwenye kichwa kibovu haijawahi kutokea , sijui kwa nini rais hajampigiga chini mpaka sasa
 
Kila mtu anajua Polisi Tz ndio genge kuu la ujambazi. Ni ngumu sana kuwatofautisha majambazi wa tz, CCM na Polisi wa Tz. Ni watu wale wale.
 
Samia anangojea nini kumuondoa Sirro? Mtangulizi wake alivyoona ujambazi na wizi wa magari umekithiri na polisi walikuwa wanahusika na syndicate hizo hakusita kumuwajibisha IGP Mahita kwa kumuondoa!! Sasa Samia anataka ushahidi gani zaidi kuonesha kuwa Sirro ameshindwa kuliongoza jeshi la polisi mpaka limegeuka kuwa Jeshi la wahalifu siku hizi?
 
Samia anangojea nini kumuondoa Sirro? Mtangulizi wake alivyoona ujambazi na wizi wa magari umekithiri na polisi walikuwa wanahusika na syndicate hizo hakusita kumuwajibisha IGP Mahita kwa kumuondoa!! Sasa Samia anataka ushahidi gani zaidi kuonesha kuwa Sirro ameshindwa kuliongoza jeshi la polisi mpaka limegeuka kuwa Jeshi la wahalifu siku hizi?
Kuna vitu anavifanya ambavyo vinamfurahisha. Mfano nilishangaa kumuamini au kuamini maneno ya Siro kuwa kuna washiriki wengine wa ugaidi waliokuwa na Mbowe, ambao tayari wameshahukumiwa na kufungwa jela.

Na Siro keshamjulia ndiyo maana akatamka haya maneno wakati ambapo kila mtu alitegemea uwajibishwaji wa matendo yanayoendelea nchini kutoka kwa polisi. Wengine walitarajia kuwa angejiuzulu. Lakini anakuja na gia za kusahaulisha matendo ya kiovu kwa kuwatukana wanasiasa wa upinzani, kuwapiga vijembe nk.

Mfumo mchafu sana huu nchini mwetu.
 
Ndiyo alitaka kuwa padri huyo ibilisi
Uhakika ni kwamba SIRRO ATAKIMBIA NCHI baada ya muda mfupi sana ujao
Siro na Ndugai hawana tofauti.
Huyu bwana aliingia ktk hii nafasi akiwa mwenye maadili na heshima kubwa sana, sasa anaondoka mwili wote umetapakaa "oil"

Kama PGO yao tu inawashinda; Sidhani kama Sirro na polisi wake wanaelewa utofauti uliopo kati ya uhalifu, ujambazi na ugaidi!
Haya maneno IGP Sirro na polisi wanayatumia kama vile ni neno moja lenye maana ile ile.
 
Andersom Ndambo:
Sasa unaweza kuona hatari na hila iliyojificha kwenye wito wa kumuombea Freeman Mbowe Msamaha! Ni vile tu mpango huo ulibuma kutokana na sauti kubwa zenye nguvu kupinga mpango huo haramu.

Kuna viongozi wanaojiita wapinzani, lkn nafsi zao ni nusu ya MASHETANI. Wanatumia vipaji na majukwaa Yao ya kisiasa kughilibu Haki za wengine, kujinufaisha, na kuisaidia ccm kutawala. Wanajificha kwenye Nia njema Huku matendo Yao ni uhalifu mtupu.

Kama hoja ya kumuombea Msamaha ingekubalika maana yake ni kwamba, Hon Freeman Mbowe atahesabika mbele za Jamii na kwenye vyombo vya usalama kwamba alifanya matendo ya ki-Gaidi na hivyo kupelekea, kuondoa kabisa Ushawishi wake kwenye Jamii kwasababu ya kuchafuka au ingeweza kutumika kama propoganda Dhidi yake na washindani wake kisiasa na hivyo kumpunguzia nguvu ya ushawishi wa umma pamoja na Imani kubwa aliojijengea mbele za umma wa Tanzania na Kwenye Jamii za Kimataifa, na huo ndio ungekuwa mwanzo wa anguko la Upinzani.

Na wale mawakala wa ccm wangejipatia umaarufu, na huruma ya Umma kwa kulinganisha madhambi Yao ya usaliti na madhambi ya Ugaidi na hivyo kujiweka kwenye mizani sawa mbele za umma na hivyo kuwafanya watu wasioamini katika uwakala wa ccm, kukosa pahala pa kwenda na wale wenye mioyo dhaifu kujikuta wakiangukia mikononi mwa Hawa vibaraka wa ccm kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025.

Kwa utamaduni wa Utawala wa sheria nchini! Rais anaweza kutoa msahama kwa baadhi ya wafungwa kwa mujibu wa sheria. Lkn hawezi kutoa msamaha kwa mtu ambae hajathibitishwa na Mahakama kwamba ana hatia. Kufanya hivyo ni kuvunja na kubomoa Utawala wa sheria na kuhalalisha tuhuma za mtuhumiwa kitu ambacho ni hatari zaidi.

Ni ushetani tu kudhani wale wanaotoa wito wa kumuombea Msamaha Mbowe Wana Nia njema. Nyuma Yao kuna uovu mkubwa sana na hizi kauli za IGP ndio kipimo chake baada ya wito huo kushindwa na Sasa wanadhani wanaweza kuhalalisha haramu kwa nguvu.
#MbowesioGaidi

A. Ndambo
Ni ushetani tu kudhani wale wanaotoa wito wa kumuombea Msamaha Mbowe Wana Nia njema. Nyuma Yao kuna uovu mkubwa sana na hizi kauli za IGP ndio kipimo chake baada ya wito huo kushindwa na Sasa wanadhani wanaweza kuhalalisha haramu kwa nguvu.
#MbowesioGaidi
 

My Take 1
Sirro anapenda sana kuita-ita neno gaidi. Naona anarahisisha sana mziki wa magaidi.

My Take 2
Sirro kama hawezi kuondoka mwenyewe aondolewe kwa nguvu. Kashfa ya askari wake kufanya ujambazi haisafishiki

======

Kamanda Sirro: Ni viongozi ambao tunawategemea kwenda kuwasaidia watanzania na hasa kwenye masuala mazima ya makosa haya ya kutumia silaha na hasa makosa haya ya kutumia nguvu.

Huwa nawaambia siku zote, sisi tunafanya mafunzo ya promotion lakini mafunzo mengine ya utayari. Ni aibu sana kuruhusu jambazi kutawala nchi yetu.

Wanasema ni aibu sana gaidi kutawala nchi yetu, kwahiyo mheshimiwa waziri kwa kifupi ni kwamba tuko vizuri sana na nipeleke kwa ambao ni wachache bado wana tabu ile, nishawaambia kwamba biashara ya unyang'anyi kwa kutumia silaha, nguvu ilishapitwa na wakati.
Eti ndio wateule wa ikulu hao. Mtu hata chembe ya busara haionekani kichwani. Wanafikiri kutaja ugaidi ni sifa kwa taifa.
 
Hii nchi ni ya ajabu sana, inakuwaje watu wenye iq ndogo sana wanapata madaraka makubwa?

Kweli kabisa, sababu hasa ni watu wenye IQ kubwa kutopenda kujiingiza kwenye madaraka maana wanahofia kuchafuliwa, hivyo wenye akili ndogo ndio wenye uthubutu hatimaye wanageuka kuwa viongozi wetu.
 

My Take 1
Sirro anapenda sana kuita-ita neno gaidi. Naona anarahisisha sana mziki wa magaidi.

My Take 2
Sirro kama hawezi kuondoka mwenyewe aondolewe kwa nguvu. Kashfa ya askari wake kufanya ujambazi haisafishiki

======

Kamanda Sirro: Ni viongozi ambao tunawategemea kwenda kuwasaidia watanzania na hasa kwenye masuala mazima ya makosa haya ya kutumia silaha na hasa makosa haya ya kutumia nguvu.

Huwa nawaambia siku zote, sisi tunafanya mafunzo ya promotion lakini mafunzo mengine ya utayari. Ni aibu sana kuruhusu jambazi kutawala nchi yetu.

Wanasema ni aibu sana gaidi kutawala nchi yetu, kwahiyo mheshimiwa waziri kwa kifupi ni kwamba tuko vizuri sana na nipeleke kwa ambao ni wachache bado wana tabu ile, nishawaambia kwamba biashara ya unyang'anyi kwa kutumia silaha, nguvu ilishapitwa na wakati.
Wakati yeye ndiye mkuu wa majambazi ya polisi yanayoua kwa sumu
1643436890032.jpg
 
Kwahiyo rais aliyepo ni jambazi na gaidi? Kama sivyo ni nani aliyetawala akiwa jambazi na gadi?
 
Hii nchi ni ya ajabu sana, inakuwaje watu wenye iq ndogo sana wanapata madaraka makubwa?
Wanawekana kwa maslahi yao!! Wanatoana hukooo majalalani na kupeana nafasi kabla ya kufikiria maslahi ya nchi.
 
Kwahiyo rais aliyepo ni jambazi na gaidi? Kama sivyo ni nani aliyetawala akiwa jambazi na gadi?
Kasema ni aibu nchi kutawaliwa na jambazi na gaidi.
Hapa afafanue ni jambazi na gaidi gani anayetawala nchi Hadi iwe aibu?
 
Back
Top Bottom