Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugaidi wenyewe hawaujui hata chembe.Ili uonekane wewe ni Mwanajeshi mwenye nguvu ni lazima uzungumzie Ugaidi
Anamanisha magaidi kufanya Mambo yao navyombo vipo,majambaz kuendelea kuteka kuua na vyombo vipo hiyo ndohofu yakeKutokana na kauli hii , Bwana IGP anamzungumzia mtawala gani wa nchi ambaye ni Gaidi au Jambazi??View attachment 2116290
Igp mtihani sanaAnamanisha magaidi kufanya Mambo yao navyombo vipo,majambaz kuendelea kuteka kuua na vyombo vipo hiyo ndohofu yake
Kasema ni aibu nchi kutawaliwa na jambazi na gaidi.
Hapa afafanue ni jambazi na gaidi gani anayetawala nchi Hadi iwe aibu?
Sirro zero
Tatizo haya majitu yakishatoa kauli tata na za ajabu hayaji kufafanua.Toka uhuru wanaotawala ni ccm sasa ni rais yupi alikuwa jambazi na gaidi?
Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
Nadhani hapa Sirro anataka kuwahamisha watz na kuwatoa kwenye kashfa za Jeshi la polisi za kuua ua watu na maonezi yaliyokithili yanayoendelea sehemu mbalimbali nchini.
My Take 1
Sirro anapenda sana kuita-ita neno gaidi. Naona anarahisisha sana mziki wa magaidi.
My Take 2
Sirro kama hawezi kuondoka mwenyewe aondolewe kwa nguvu. Kashfa ya askari wake kufanya ujambazi haisafishiki
======
Kamanda Sirro: Ni viongozi ambao tunawategemea kwenda kuwasaidia watanzania na hasa kwenye masuala mazima ya makosa haya ya kutumia silaha na hasa makosa haya ya kutumia nguvu.
Huwa nawaambia siku zote, sisi tunafanya mafunzo ya promotion lakini mafunzo mengine ya utayari. Ni aibu sana kuruhusu jambazi kutawala nchi yetu.
Wanasema ni aibu sana gaidi kutawala nchi yetu, kwahiyo mheshimiwa waziri kwa kifupi ni kwamba tuko vizuri sana na nipeleke kwa ambao ni wachache bado wana tabu ile, nishawaambia kwamba biashara ya unyang'anyi kwa kutumia silaha, nguvu ilishapitwa na wakati.