Peleka upumbavu wako huko,eti wametuliza taharuki[emoji20],kuna raia alipigwa risasi pale na mtuhumiwa?tusipende sana kila jambo tunashutumu Polisi, hebu tujaribu kuwa na shukrani hata kwa kile kidogo wanachofanya...hivi hamuoni wanavyotulinda mitaani huku na kutatua changamoto za kila siku mtaani huku, hivi hatuoni hawa traffic police wanavyotusaidia huku mabarabarani pamoja na ujira mdogo wanaolipwa?... hakuna kazi isiyo na changamoto duniani hapa na hakuna police walio perfect dunia pote hapa tuache lawama....
Hivi hatujaona ile effort ya wale askari waliojitolea kuzikwepa risasi na kuleta amani pahala pale?.....kwa hiyo wangemuacha tu yule jamaa na bunduki zake anapiga marisasi na kuleta taharuki huku kazi zimesimama nk..
Hata mm nimefirahi saanaNimefurahi sana leo
Kwani hao polisi hawakuwa na silahaogopa mtu akishika silaha,usijeleta mawazi ya kishujaa kama kwenye movie hata siku moja.
Ameachwa mjane amebaki anatapatapaKati ya waliopigwa chuma kuna bwana ako nini?
Pole mjane.
Mumeo ameuawa huko kaa kwa kutuliamtu yeyote mwenye silaha ni imara.
Polisi ni binadamu kama mimi na wewe, wanajitahidi kutimiza wajibu wao japo wapo wachache wanaovunja taratibu za kaziMkuu unaishi masaki?
WATANZANIA WALIO WENGI NI WAPENDA KULAUMU LAKINI HAO HAO WANAOLAUMU WAKIPEWA NAFASI ZA WALE WALIOKUWA WANAWALAUMU WANAFANYA YALE YALE WALIYOKUWA WANAYALUMU. HAO NDIO WATANZANIAtusipende sana kila jambo tunashutumu Polisi, hebu tujaribu kuwa na shukrani hata kwa kile kidogo wanachofanya...hivi hamuoni wanavyotulinda mitaani huku na kutatua changamoto za kila siku mtaani huku, hivi hatuoni hawa traffic police wanavyotusaidia huku mabarabarani pamoja na ujira mdogo wanaolipwa?... hakuna kazi isiyo na changamoto duniani hapa na hakuna police walio perfect dunia pote hapa tuache lawama....
Hivi hatujaona ile effort ya wale askari waliojitolea kuzikwepa risasi na kuleta amani pahala pale?.....kwa hiyo wangemuacha tu yule jamaa na bunduki zake anapiga marisasi na kuleta taharuki huku kazi zimesimama nk..
Huko South Africa wamejaa Askari wapenda rushwa mithili ya hawa wa Tanzania, wala hawana upekee wowote.Norway, Sweden, Japan, Botswana, Uingereza, nk nk
Angalia pia South Afrika, polisi wana bifu na majambazi tu, lakini kwa raia wa kawaida hawana tatizo na wanahusiana vizuri sana
Mumeo ameuawa huko kaa kwa kutulia
Achana na stori za mitandaoni, wewe una uthibitisho usio na mashaka kwamba walimkuta na madini ?Umesikia Polisi walimnyanganya dhahabu waliyomkuta nayo katika harakati za kuuza, na jamaa ni mchimba dhahabu huko Chunya? Sasa hao ni walinzi wa mali zetu kweli? Unakumbuka wale jamaa waliuwawa Sizna na wakiwa na madini na kusingiziwa walikuwa majambazi? Polisi walimuua hata taxi driver ambae wala hakujua kinachoemdelea wao kupoteza ushahidi
Kama hawa Polisi wangejua ugumu wa kupata dhahabu kwenye machimbo Chunya, wasingethubutu kumnyanganya. Najua jamaa alikuwa anauza dhahabu kimagendo, lakini hiyo sio excuse kwa Polisi kumnyanganya ili iwanufaishe wao. Kwa hiyo kama hilo ndilo walilofanya ni good riddance kwa Polisi waovu walioko katika jeshi. Na kama kuna Polisi kjauwawa hakuhusika, basi wenzake ndio wa kulaumiwa, sio huyu mtu aliewaua
You aint know nothing manAm sure hujawahi kuzinguliwa na polisi wewe
Tuzidi kuwaombea . Kazi yao ina majaribu mengiUlinzi gani wa mali?
Police ndy adui namba moja wa Mali zako.
Ngoja siku uingie kwenye timings zao ,
Wakushike na mali zako halali au pesa.
Kama hukupewa kesi? Basi utaundiwa zengwe ,,
Ukubali kugawana nao..
Hao polisi unaosema sio watu, ndani yao kuna baba zako wadogo/wakubwa, kuna kaka/dada zako ,kuna wajomba/shangazi zako. Na ukionana nao unaweka tabasamu loooote ila hapa jf unajifanya kuwa dissWewe HAYAJAKUKUTA ...! Nimekusoma muda mrefu sana unatetea polisi. Polisi wa Tz sio watu hata kidogo.
Amini kwamba polisi wema wapo.Changamoto ndogo ndogo unazizungumzia vitu gani wewe!?
Yani mtu ambaye anakulazimisha umpe rushwa kwa kukusingizia kosa sababu tu ana kimashine cha kufyatulia invoice unaita hio changamoto ndogo ndogo? Hivi unaujua uchungu wa kusingiziwa kitu kisicho haki wewe?
Wewe unaonaje ?Una hakika na uyasemayo?
Polisi wema hata kituoni utakuta mwema 1 waovu 15Amini kwamba polisi wema wapo.
Nimefurahi sana leo
Polisi ni binadamu kama mimi na wewe, wanajitahidi kutimiza wajibu wao japo wapo wachache wanaovunja taratibu za kazi