IGP Sirro: Ukiwa na mtoto mhalifu halafu usitoe ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama wewe ni tatizo kwa Watanzania

Nenda ukasimame na wewe wapige pembeni
Huo ndio ukweli wa tulichotokea utake usitake shauri yako, tena mie ndio hawatonipata kabisa maana sina mwili mkubwa kama Hamza sasa yule mwili wote ule ila bado mlikuwa mnapiga pembeni sasa mie si ndio hamtonibahatisha kabisa.
 
Awakanye watu wake waache dhuluma.
Walinipora madini Itigi december 2020 wakataka rushwa ya laki 4 nikawapa na madini wakanipora.Pesa wamechukua na madini wakachukua wakaniacha mtupu.
Kama wanapita humu wanajua hili.
Mungu atanilipia.
Uwe na kibali usiwe na kibali lzm wakutafutie sababu Ili wakupore.
 
ukiwa well trained unakua immune to bullets ama vipi?
 
Si kauli nzuri
 
kama hamza kaua adhabu ya kifo nae amestahili
 
kwenye wall paper ya simu yangu kuna picha ya Hamza,status yangu zimejaa picha za Hamza huko,kuanzia juzi 25 aug a.k.a yangu najiita Hamza wa salenda.
kesho weekend nashusha miguu ya mbuzi miwili huku nikipata moja moto moja baridi na washkaji tukiazimisha Hamza day.



Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
ukiwa well trained unakua immune to bullets ama vipi?
Ni wale wale, siyo kwamba unakuwa immune to bullet, mazingira ya ulipo unaweza kwepa bullet, hata kama utaviziwa.
 
Kwa kauli hii hapa chini ni wazi Sirro anamfokea Step Maa

"Wakati mwingine tunaambiwa tunatumia nguvu kubwa sana sio au hatutendi haki sio? Lakini yanapotekea hapa hatusikii mtu anasema habari ya haki ya polisi maana yake nini msiwe na Double Standard. Kazi hii ni ngumu sana mtu akiiona hivi anajua ni kitu rahisirahisi tu lakini kudeal na mhalifu sio jambo dogo"
 
mama nae anawalegezea, yeye ni amrijeshi mkuu asiwaombe awaamrishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…