..wanasiasa wa upinzani wa Tz hawana hulka za kutumia mabavu kiasi kulazimisha jeshi la polisi na vyombo vingine kuingilia kati.
..IGP Sirro amejitengenezea HOFU ya uongo dhidi ya vyama vya upinzani halafu anatuma askari nchi nzima kuumiza viongozi na wafuasi wa vyama vya upinzani.