IGP to polisi wa Kawe watu wanakufa maeneo ya Mbezi Beach Rainbow mpaka Tanki Bovu

IGP to polisi wa Kawe watu wanakufa maeneo ya Mbezi Beach Rainbow mpaka Tanki Bovu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Mh. IGP shkamoo popote ulipo. Naomba nikujuze tu, kuna watu wamekufa ndani ya wiki hii na haijaandikwa kwa magazeti.

Wapo waliokatwa mapanga nayo haijaandikwa popote. Mh. IGP kutokea Rainbow mpaka Tanki Bovu hali si sawa baba yetu, watu wanauawa, wanakatwa mapanga sana.

Mbaya zaidi ni mita 30 kutokea kwa baba yetu aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Mboma.

Polisi Kawe tumeripoti sana lakini hamna msaada. Hivi majuzi wamekufa watu wawili.

Wamekamatwa watu kadhaa polisi wa Kawe wanajua.

Tunaomba kile kituo fanya mabadiliko, tumechoka, tukiamua kuvizia hawa watu hatutapeleka polisi kamwe!

Thx.
 
Poleni, tulia uongeze taarifa ieleweke matukio yanatokea mda gani, je wanavamia nyumba/maduka/....ama watembea kwa miguuu?
Je ulinzi shirikishi upo katika jamii?
Ni watu wa hali ghani wanaokumbwa na mauaji hayo?
Wanaotembea na silaha ni vijana/wazee ama watu wa rika gani?

Hii itasaidia kung'amua
 
Mh. IGP shkamoo popote ulipo. Naomba nikujuze tu, kuna watu wamekufa ndani ya wiki hii na haijaandikwa kwa magazeti.

Wapo waliokatwa mapanga nayo haijaandikwa popote. Mh. IGP kutokea Rainbow mpaka Tanki Bovu hali si sawa baba yetu, watu wanauawa, wanakatwa mapanga sana.

Mbaya zaidi ni mita 30 kutokea kwa baba yetu aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Mboma.

Polisi Kawe tumeripoti sana lakini hamna msaada. Hivi majuzi wamekufa watu wawili.

Wamekamatwa watu kadhaa polisi wa Kawe wanajua.

Tunaomba kile kituo fanya mabadiliko, tumechoka, tukiamua kuvizia hawa watu hatutapeleka polisi kamwe!

Thx.
Tatizo huko wanaonizwa ni walalahoi ngoja siku mke au mtoto wa fulani afNyiwe kitu mbaya ulinzi utawekwa
Kama salenda pale

Ova
 
Mkuuu upoo baadae walinzi haoohao wakaanza kuporra tukawaondoa mpwa changamoto yaan ikifika saa nne kutembea kama unaingia buza kwa lulenge
Nakumbuka hiyo
Miaka ya 90s nlikaaga jirani na kwa mke wa el mamry hapo kulikuwa pori pori nyumba za kuhesabu....nakumbka mjomba aliuzaga eneo lake kama shamba

Ova
 
Mpaka wampore mwanangu Tlaatlaah huko ndiyo ulinzi wataanza kuweka 😄

Ova
njia ya kininja ya kupambana na vibaka mtaani ni pamoja kusalimu amri mapema ili kuwasoma silaha na uwezo wao kabla ya kukaniliana nao kwa nguvu, hiyo inaweza kuwatisha na wao wakaanza kutimka mbio au kutoka nduki :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom