mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
😄njia ya kininja ya kupambana na vibaka mtaani ni pamoja kusalimu amri mapema ili kuwasoma silaha na uwezo wao kabla ya kukaniliana nao kwa nguvu, hiyo inaweza kuwatisha na wao wakaanza kutimka mbio au kutoka nduki![]()
Naingia kwenye ibada bar hapa iliyopo St Peters ndani kanisani
Karibu, niko hpa kwa marealle njoo
Tutoe loki boss wangu...
Ova