IGP to polisi wa Kawe watu wanakufa maeneo ya Mbezi Beach Rainbow mpaka Tanki Bovu

IGP to polisi wa Kawe watu wanakufa maeneo ya Mbezi Beach Rainbow mpaka Tanki Bovu

Kama.mida mibaya toa ushirikiano ili mradi wasikuvue nguo mengine weee wala hamna haja ya kushindanaa nao ukijaa kwenye mfumo wanakumaliza

Wasthirika wengi wanakuwa wabishi kuwapa ushirikiano mbele nyuma akusomeki upo pekeyako shida ya nn wapenwanachotaka
Ila hapo inabidi wakazi wote waitane mfanye kikaoooo
Cha kuelezea hali ilivyo na kutoa tahadhari na onto kwa wahalifu wote wanaokuja huko

Ova
 
Wenginwana silaha mpwa ukutane na wale wakitoa lazima wakutunhku umeishaa
Sehemu starehe zikihamia wahalifu lazima waje
Kama leo huko sijuiii Kama mtapona 😄

Ova
 
Bila kupush mtandaoni, inakuwa kama hakijayokea kitu
 
Kwani mwanangu we hujawahi kupigwa tanchi na kuporwaa 😄
Mimi mbona nishakutana sana tena zile bab k
Mpaka unasema leo ndiyo mwisho wangu

Ova
hapana sijawahi,
na sijui itakuaje. nadhani war techniques zitaaply kulingana na strength ya adui, but ni kwnye hizi za mitaani tu, tena ambazo zinatumia silaha za jadi...

ila zile za misituni ambazo wasafirisha mizigo masafa marefu hukumbana nazo na silaha za moto zinahusika sitaki kuzungumzia sana :pulpTRAVOLTA:
 
Wwote
Wote 2 nyumba zao zinapakanaa mkuu...anaanza Mbona then Waitara
Au umechanganya na kwa mbowe? Navojua mboma ni tangi bovu miaka mingi tu. Waitara na mbowe wametenganishwa na maduka na sheli basi.
 
hapana sijawahi,
na sijui itakuaje. nadhani war techniques zitaaply kulingana na strength ya adui, but ni kwnye hizi za mitaani tu, tena ambazo zinatumia silaha za jadi...

ila zile za misituni ambazo wasafirisha mizigo masafa marefu hukumbana nazo na silaha za moto zinahusika sitaki kuzungumzia sana :pulpTRAVOLTA:
😆 mimi nishapigwa tanchi dizonga na Sao Paolo Brazil zile zilikuwa za maana
Tanzania nlikutana na moja ilikuwa kigoma hyo ndiyo ilikiwa mbaya zaidi 😄
Ila za mtaani tz hapana maana mitaa mingi flagg

Ova
 
Madadaa andiooo usiseme wanapigika balaaa
Sahv huko inabd kila bodaboda ipigwe mkono wakaguliwe
Bodaboda zinatumika sana na vibaka na wengi wanatoka tmk,keko

Ova
 
Polisi wana fanya kazi gani?
We endelea kuuliza polisi wanafanya kazi gani badala ya kuangalia usalama wako binafsi, hao polisi hata elfu 50 hawafiki na Tz wako watu million 60+ walioanzisha ulinzi shirikishi siyo wajinga
 
Hapo packers njia ya kutoka beach daily watu wanapigwa matukio
 
We endelea kuuliza polisi wanafanya kazi gani badala ya kuangalia usalama wako binafsi, hao polisi hata elfu 50 hawafiki na Tz wako watu million 60+ walioanzisha ulinzi shirikishi siyo wajinga
Hayo mambo ya kulipa sungu sungu nilishakataa au kutoka kulinda ulinzi shirikishi.kodi nilipe walipwe polisi na bado niache kulala nijilinde?HAPANA.
 
Back
Top Bottom