πnjia ya kininja ya kupambana na vibaka mtaani ni pamoja kusalimu amri mapema ili kuwasoma silaha na uwezo wao kabla ya kukaniliana nao kwa nguvu, hiyo inaweza kuwatisha na wao wakaanza kutimka mbio au kutoka nduki
Kweli inasikitisha na kuchekeshainachekesha sana,
kuna mambo ni mipango mathubuti tu, mna maliza tatizo
Buza kwa lulenge kunamatukio Kama hayo?Mkuuu upoo baadae walinzi haoohao wakaanza kuporra tukawaondoa mpwa changamoto yaan ikifika saa nne kutembea kama unaingia buza kwa lulenge
Polisi wana fanya kazi gani?Wekeni ulinzi shirikishi hapo mtaani
Kituo kipi una maanisha, hiki cha kawe hapa karibu na kanisa la anglikana?La maana ni mtu kwenda kuongea na mkuu wa kituo.
jana usubuhi ulikua kwenye mgahawa huko Istanbul uturuki, leo uko dar es salam kwa marealle unatoa lokiπ
Naingia kwenye ibada bar hapa iliyopo St Peters ndani kanisani
Karibu, niko hpa kwa marealle njoo
Tutoe loki boss wangu...
Ova
Imagine wanatokea watu wanachapa makofi mitama kibaya zaidi wanaku chana na kisu..inachekesha sana,
kuna mambo ni mipango mathubuti tu, mna maliza tatizo
Instabul mgahawa wa waturuki sleepway banajana usubuhi ulikua kwenye mgahawa huko Istanbul uturuki, leo uko dar es salam kwa marealle unatoa loki
aise,
usafiri wa dream liner na boing si mchezo,
mama anaupiga mwingi ee Dr.Samia Suluhu Hassan kwenye usafiri wa anga, right?
We mnyarwanda jifunze kiswahiliMh. IGP shkamoo popote ulipo. Naomba nikujuze tu, kuna watu wamekufa ndani ya wiki hii na haijaandikwa kwa magazeti.
Wapo waliokatwa mapanga nayo haijaandikwa popote. Mh. IGP kutokea Rainbow mpaka Tanki Bovu hali si sawa baba yetu, watu wanauawa, wanakatwa mapanga sana.
Mbaya zaidi ni mita 30 kutokea kwa baba yetu aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Mboma.
Polisi Kawe tumeripoti sana lakini hamna msaada. Hivi majuzi wamekufa watu wawili.
Wamekamatwa watu kadhaa polisi wa Kawe wanajua.
Tunaomba kile kituo fanya mabadiliko, tumechoka, tukiamua kuvizia hawa watu hatutapeleka polisi kamwe!
Thx.
Mpwaa niliwahi jikolea 2020 usikutane nayo hii mbelee nkaona wanakalishwa madada wawili nkasema nirudi nyuma nkakutana na mwamba wako 3 wanasema tuliaaaaa kaachini unaenda wapi dah nkawaomba niwape simuhela waniachie..nilipotoa ushirikiano jamaa wakanipeleka mpaka karibu na hme saba usiku nafika nakuta nguo imelowana achatuImagine wanatokea watu wanachapa makofi mitama kibaya zaidi wanaku chana na kisu..
Wanakuambia lala chini π
Jigaragaze π
Ukiiangalia wee mtu mzima alafu vyenyewe vitoto
Ova
We mnyarwanda jifunze kuandikaUmenikumbushaaa mpwaaa nasie tumewekewa bar hapa kanisan St Moore yaan soon watatuwekea na guest
Ila hapa kwa marealle pako kiheshimazaidi mpwaa wana supu nzuri, watu wastaarabu hakuna kelele za singeli sjui komasava amapianoUmenikumbushaaa mpwaaa nasie tumewekewa bar hapa kanisan St Moore yaan soon watatuwekea na guest
Hatari sanaMpwaa niliwahi jikolea 2020 usikutane nayo hii mbelee nkaona wanakalishwa madada wawili nkasema nirudi nyuma nkakutana na mwamba wako 3 wanasema tuliaaaaa kaachini unaenda wapi dah nkawaomba niwape simuhela waniachie..nilipotoa ushirikiano jamaa wakanipeleka mpaka karibu na hme saba usiku nafika nakuta nguo imelowana achatu