DOKEZO IGP tuokoe na wizi ulioibuka Arusha unatisha

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Jitihada za royal tua zinarudishwa nyuma.
 
Kuwa makini tu mkuu, pale picnic, xo, Africana nk Kuna wajomba ni wazee wa kuchora ramani sana na ukijichanganya unaweza pigwa tukio ukiondoka kwani unaondoka na unafuatiliwa vizuri tu .
Basi Arusha imeshakuwa tatizo. Ila Arusha kuna ushkaji sana wa polisi na hawa wahalifu. Miaka ya 2012 nilikuwa naonaga maafisa wa hili jeshi wakipiga bia na watu wanaosemwa kwa uhalifu pale Anless bar kona ya kwenda Ilboru. Nadhani wakati wa Magu hawakuwa wakionekana
 
Mkuu wezi wanaishi mtaani na wanafahamika. Inakuwa kama we humfahamu mzazi au rafiki yake anamfahamu. Tuwafichue la sivyo tunazid umizwa pia jamaa zetu
 
 
...mida kama hii wakulungwa ndio huwa tunatafuta chumba cha kupanga sifa nyumba isiwe na fence na dirisha liwe la wavu tu NO ALUMINIUM maeneo ya Kimandolu ili tuoneshane ushababi dadeki, yani kidume anatamba vidume wa Chuga mnafyata mnaogopa bisbis na spoke za baiskeli???
 
Mwanao ukimkosa mahabusu nenda kamtafute hospitalini ~~~~ Amos Makalla (mkuu wa mkoa Dar)

Baada ya hii kauli iliyopingwa na chadema, panya road wakaisha mitaani.
Inatakiwa kauli kali kama hii!! Uliwachekea hawa watu utavuna majambazi ya hatari
 
IS THIS COUNTRY HAS A LEADER? AU KUNA MWAKILISHI WA KIONGOZI...KILA MTU ANAFANYA ANACHOTAKA...HAKUNA WA KUMZUIA...MADHALI HAGUSI MASLAHI YA HAO WANAOITWA VIONGOZI...NYIE WENGINE PAMBANENI NA HALI ZENU...

WEWE FIKIRIE YULE PGI TOKA ATEULIWE MAUAJI NA JINAI ZIMEKITHIRI...RUSHWA NDIO USISEME NA DHULMA...ALAFU NOBODY CARES.
 
Hakuna kitu chenye thamani duniani kama uhai wa mtu. Kuanzua mimba ya mwanafamu inapotungwa hadi kufikia kuzaliwa na kuwa mtu mzima na mwenye afya ni gharama kubwa za fedha na muda zimetumika, hivyo basi mtu huyo kuja kuuwawa kirahisi rahisi tena kwa ajili ya mali yake ni jambo la kusikitisha sana na linaumiza sana.

Kazi ya polisi ni kulinda usalama wa raia pamoja na mali zao, ila maeneo mengi usalama umezorota. Ushauri wangu kwa kamati za ulizi na usalama za mkoa wilaya, tarafa na kata na kijiji tuwatumie migambo kulinda raia usku na mchana naamini kama hawa mgambo watapatiwa posho kidogo tunaweza tukaanza kulala milango wazi binafsi na imani kubwa sana na jeshi la mgambo hivyo sio mbaya wakawasaidia polisi maana jeshi letu la polisi linamajukumu mengi sana.
 
Tukio limetokea maeneo gani ?
 
Arusha matukio ya ukibaka ni ya hao tatu mzuka ila wakija majambarika mzee wanakuja na muzburg (mjegeje/bunduki) wanakichafua mapema sana asubuhi saa nne wanaiba mahali popote na roho ya mtu inatoka kama akileta uduanzi.
 
I
hao siku wanishobokee na mtalimbo wangu ntatangazwa kwenye vyombo vya habari ntamshanawena Mtoto wa mtu ndo akili ziwakae sawa!!!!
 
Arusha ipi unayokaa wewe ? Matukio haya ya ujambazi yamekifthiri kila mahali . Watu wamepoteza ndugu zao pamoja na wengine kujeruhiwa alafu unakuja kuongea mashudu humu ndani . Kama hujapata athari ya haya yanayoendelea ni bora ukakaa kimya mzee
Ukute ndio Adam mwenyewe huyo anapima upepo.

Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
 
Unaachaje vocha na hela dukani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…