DOKEZO IGP Wambura amrisha upesi Askari wako wa Kawe Police wamkamate upesi huyu Mfanyabiashara Cherehani wa Soko la Kawe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nonsensical and Rubbish.
Ya ngoswe mwachie ngoswe,subiri na wewe uoe utombewe Mkeo kisha umepleke mgoni wako polisi kuwa amekutombea Mkeo.

Nadhani huyo nduguyo au jamaa yako unayemtetea hapa na ulimwengu wote unafahamu madhara ya kutembea na Mke wa MTU.

Tena huyo cherehani ana huruma sana,Mimi nawadedisha wote mgoni na Mke-sitaki ufala.Yani nihangaike na life nitafute kwa ajili ya familia halafu fala mwingine anaona kwa Make wako ndipo pa kupumzikia.
 
Aisee.... Cherehani kamwonea huruma sana jamaa.... Yaani tena anakuja kumtia mke wa mtu nyumbani kwa mumewe? Alipaswa amuue kabisa au amkate mashine siyo tu sikio.
 
Angetakiwa achomwe Moto.

Huo ni wizi kama wizi mwingine.
Unaiba Mali ya MTU mwingine unategemea IGP au Polisi au Mahakama au Rais akusaidie.
Huyo amuachie tuu mungu na hata huyo mungu hawezi kumsaidia lolote.

Ushaambiwa usiibe,
Ushaambiwa usitamani MKE wa jirani yako.
Haya basi umeamua kuasi na kufanya uzinzi,tumia hata Akili . Unaenda kwenye majumba ya Watu. Shenzi kabisa.

Simulia Sana, Cheka Sana omba yasikukute
 
Waachage wake za watu sumu.
Uko sahihi kwa 100% lakini je, ndiyo iwe Haki na Ruhusa kwa mwenye Mke Kujeruhi vibaya Mgoni Sikio na Vidole viwili kwa Kuvikata huku akivionyesha kwa Watu Sokoni na Kumdhalilisha kwa Kumchukua ( Kumpiga ) Picha akiwa anajeruhiwa hivyo?
 
Habari inasikitisha sana.
Japo huyo mwanaume (hawara) ana matatizo ya akili.
Anakubali vipi kutoka na mke wa mtu na wadada/wamama single wamejaa tele?
Baadhi ya Wanaume ni🐄
 
Habari inasikitisha sana.
Japo huyo mwanaume (hawara) ana matatizo ya akili.
Anakubali vipi kutoka na mke wa mtu na wadada/wamama single wamejaa tele?
Baadhi ya Wanaume ni🐄
Tena binamu yake.
 
Halafu bado yupo tu hapo badala ya kuondoka!
Hajui akumulikae mchana usiku anakuchoma?!
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Katorioka Nje ya Kawe huku akiwa amewaweka Chawa wake wawe wanampa Updates za Upumbavu Usiovumilika alioufanya.
 
Mimi sitodiriki kumfanyia jambo lolote baya mwanaume mwenzangu kisa mwanamke/mke hawa wanawake wanashobo na hawajielewi

Wanaume wenye mtazamo huu Wana Sifa hizi;

1. Hawana Pesa
2. Hawana Mamlaka
3. Hawana connection ya Watu wenye mamlaka.

Mtu mwenye Pesa, mamlaka au connection ya mamlaka kamwe hawezi kukubali kuingilia katika Himaya yake. Kwani hiyo ni dharau, kuonekana wewe sio lolote na huwezi Fanya lolote.

Ishu hapo sio Mwanamke au MKE, ishu hapo ni vile mwanaume anavyoona kadharauliwa,
Yaani MTU anakuja mpaka nyumbani kwako anamvua Mkeo, anatumia mashuka na kitanda chako, 😀😀
Bado useme hautafanya chochote?

Ukiona hautafanya loloteya jua huna lolote, na wewe sio mwanaume.

Ndio kauli Ile ya MTU wa MTU sumu inapopata MAANA
 
Hivi hapa nchini ikianzishwa ile mahakama ya kidini ya wazinifu kupigwa mawe hadi kufa, si kuna watu wataandamana!

Wanaume waache tamaa. Ni bora kuoa wake hata 20 kuliko kutamani tamani wake za watu. Vizuri vina wenyewe! Wadada kibao hawana watu, utakuta mtu anakomaa na mke wa mtu!
 
Nonsensical and Rubbish.
Nilichoandika au hiyo dhana ya kutamani wake za watu ndio rubbish?

Maana wanaume wanatia hasira sana. Utakuta kuna wadada wako single, lakini wao wanakomaa na wake za watu. That is nonsense!

Na huyo akienda jela, watamuasi kabisa! Kwanini asitafute wa kwake?

Ni zaidi ya umbuzi kwa mwanaume mwenye akili kutoka na mtu wa mtu mwingine, hivi hawaonagi kinyaa/ kichefuchefu???

Siungi mkono huo ukatili, lakini iwe fundishooo! Tafuta wa kwako!
 
Mlete mrejesho akikamatwa.
Huyo bina.u nae fala sana
1. Mfanyabiashara Bwana Cherehani Katorioka Kawe kwa sasa ila ameshaanza Kufuatiliwa

2. Mgoni ( Mjeruhiwa ) anauguza Majeraha yake makubwa katika Nyumba iliyo Jirani na Mahakama ya Mwanzo Kawe huku Ndugu zake wakiwa wameshafika kutoka Kwao Tanga ila Bibi yake aliyeko ( aliyebakia ) Tanga kasema asije Kulaumiwa kwa Mjukuu wake Kukatwa Sikio na Vidole vyake viwili.

3. Mke wa Mfanyabiashara Bwana Cherehani Mjamzito wa Kujifungua muda wowote nae anaendelea Kuuguza Jeraha lake la Kuchanwa na Wembe Mkali na Mumewe upande wa Kushoto wa Shingo yake Nyeupe kwani Kiasili ni Mweupe sana

4. Kaka yake Mfanyabiashara Bwana Cherehani ambaye kwa 100% alishiriki nae katika huu Ukatili na Udhalilishaji kwa Kushirikiana na Mdogo wake Yeye alitoroka tokea Juzi
 
Kugongewa inauma
Kamgonge mke wa IGP uone bastola itakavyokunyonya mate

Hawa Vijana wa siku hizi ni wapumbavu Sana.

Kuna Watu hawapendi Dharau za rejareja. Huyo anaona ukatili kudhuriwa kisa MKE. Kuna Watu unaweza kujikuta matatani Kwa kuingia tuu nyumbani kwake bila maelezo yasiyoeleweka
 
Very dangerous Bora hata angetega mtego wa kumuua tu, sema kupigiwa mke ni noma sana sana, Bora angemtia sumu ya kumuua taratibu, angempa uji au mtori wenye potassium mapema sana



Umuue mtu sababu ya K ?

Kwani huwa anaondoka nayo wakimaliza utulivu?

Adhabu kubwa ni kumuacha basi.

Wanawake na wanaume wako chungu nzima [emoji108]. Wa kila aina!

Yanini kujitia kwenye matatizo?!

Ona sasa aloyafanya hana amani hana Uhuru wa kufanya shughuli zake au kwenda popote anahisi kutafutwa na vyombo vya dola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…