IGP Wambura apangua tena nafasi za Makamanda wa Polisi

IGP Wambura apangua tena nafasi za Makamanda wa Polisi

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Camilius Wambura amefanya uhamisho wa baadhi ya Makamanda wa polisi wa mikoa ambapo amemuhamisha SACP Henry Mwaibambe ambaye alikuwa Kamanda wa Polisi wa Geita kwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga.

SACP Mwaibambe anachukua nafasi ya ACP Safia Shomary ambaye ameahamishiwa Mkoa wa Geita.

Pia, aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Temeke, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Richard Ngole amehamishiwa Makao Makuu ya Polisi Dodoma na nafasi yake imechukuliwa na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Kungu Malulu ambaye alikuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji.

DFD3E140-6B55-4722-A582-C3DEC99AD0F8.jpeg
 
upuuzi huu unasaidia katika kudhibiti uhalifU? najaribu kuwaza kama hizo hamisha hamisha zao ziliwahi kuzaa matunda hata sehemu moja. Jeshi linatakiwa kufumuliwa wawekwe watu wenye akili na wanaoweza kufanya kazi kwa kutumia akili na sio nguvu
 
upuuzi huu unasaidia katika kudhibiti uhalifU? najaribu kuwaza kama hizo hamisha hamisha zao ziliwahi kuzaa matunda hata sehemu moja. Jeshi linatakiwa kufumuliwa wawekwe watu wenye akili na wanaoweza kufanya kazi kwa kutumia akili na sio nguvu
Sawa mkuu Fumua hili jeshi tulisuke upya, hata uniforms zao ni ovyo kabisa, hii recying haitusaidii chochote, hivi new generation wapo wapi?
 
upuuzi huu unasaidia katika kudhibiti uhalifU? najaribu kuwaza kama hizo hamisha hamisha zao ziliwahi kuzaa matunda hata sehemu moja. Jeshi linatakiwa kufumuliwa wawekwe watu wenye akili na wanaoweza kufanya kazi kwa kutumia akili na sio nguvu
Kuweka kizazi kipya itahitaji miaka 5 kuwapika hao wapya
 
upuuzi huu unasaidia katika kudhibiti uhalifU? najaribu kuwaza kama hizo hamisha hamisha zao ziliwahi kuzaa matunda hata sehemu moja. Jeshi linatakiwa kufumuliwa wawekwe watu wenye akili na wanaoweza kufanya kazi kwa kutumia akili na sio nguvu

If investigated thoroughly, some of them are criminals
 
upuuzi huu unasaidia katika kudhibiti uhalifU? najaribu kuwaza kama hizo hamisha hamisha zao ziliwahi kuzaa matunda hata sehemu moja. Jeshi linatakiwa kufumuliwa wawekwe watu wenye akili na wanaoweza kufanya kazi kwa kutumia akili na sio nguvu
Tukusikilize wewe janjaweed!!!
 
Back
Top Bottom