IGP Wambura apangua tena nafasi za Makamanda wa Polisi

IGP Wambura apangua tena nafasi za Makamanda wa Polisi

Kule unaenda kupiga mihayo na kusoma magazeti, kuna mmoja kipindi cha magufuli alipigwa chini akaletwa makao makuu alkua anakuja car wash asubuhi kuosha gari yake uku akipiga story mbili tatu kijiweni kusogeza mda hadi samia alipoingia ndo akaapata tena uRPC, makao makuu hamna cha viete au bodygurd
Kiufupi hakuna hela
 
Ukiondoa kubadilisha vituo vya kazi kwa makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya!nini tena majukumu mengine ya IGP? Anaejua atujuze kwa faida ya wengi
 
Hiyo aliyeachia watuhumiwa ni afisa upelelezi sio RPC
Sasa kashfa si ya Rpc hiyo, huyo jongo mtoto wa Mjini ana kampuni yake ya ujenzi janja janja kila leo kazi zipo chini ya viwango upigaji mwingi
 
Punguza chuki uwe una post vitu vyenye mantiki

..chuki kwani mimi ndiye niliyewaleta au kuanzisha kundi la panya road?

..changamoto za kiuchumi na kijamii zinapochelewa kushughulikiwa matokeo yake ni makundi sumbufu kama ombaomba, changudoa, vibaka, majambazi, panya-road etc etc.
 
Kivipi hakuna hela wakati mshahara wake anaendelea kupata Kama kawaida!!? Au unamaanisha HQ hakuna rushwa!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Akiwa RPC somewhere anakuwa na nguvu sana, Polisi wote katika mkoa wanakuwa chini yake, yeye ndo mwenye cheo kikubwa mkoa mzima.

Kila askari katika mkoa huo ana salute kwake,
Vimizigo mbalimbali kutoka kwa wakuu wa vituo vya Wilaya (OCDs na OCCID) anapata sana, plus vimilungula vingiii.

Sasa ngoma inakuwa ngumu akienda HQ kule cheo chake anaonekana bwana mdogo tu, alaf anawakuta wakongwe wa pale wanajua namna ya kucheza na madokezo ye anabaki kupiga miayo tu.

Sijui kama nasomeka??
 
Kivipi hakuna hela wakati mshahara wake anaendelea kupata Kama kawaida!!? Au unamaanisha HQ hakuna rushwa!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

HQ utampa nani rushwa? Hakuna raia wanaodeal nao direct kule ni mafile na madokezo tu ya kutosha na vikao vya kiofisi…
 
Akiwa RPC somewhere anakuwa na nguvu sana, Polisi wote katika mkoa wanakuwa chini yake, yeye ndo mwenye cheo kikubwa mkoa mzima.

Kila askari katika mkoa huo ana salute kwake,
Vimizigo mbalimbali kutoka kwa wakuu wa vituo vya Wilaya (OCDs na OCCID) anapata sana, plus vimilungula vingiii.

Sasa ngoma inakuwa ngumu akienda HQ kule cheo chake anaonekana bwana mdogo tu, alaf anawakuta wakongwe wa pale wanajua namna ya kucheza na madokezo ye anabaki kupiga miayo tu.

Sijui kama nasomeka??

Umejibu vyema sana hii kitaalam kabisa
 
Akiwa RPC somewhere anakuwa na nguvu sana, Polisi wote katika mkoa wanakuwa chini yake, yeye ndo mwenye cheo kikubwa mkoa mzima.

Kila askari katika mkoa huo ana salute kwake,
Vimizigo mbalimbali kutoka kwa wakuu wa vituo vya Wilaya (OCDs na OCCID) anapata sana, plus vimilungula vingiii.

Sasa ngoma inakuwa ngumu akienda HQ kule cheo chake anaonekana bwana mdogo tu, alaf anawakuta wakongwe wa pale wanajua namna ya kucheza na madokezo ye anabaki kupiga miayo tu.

Sijui kama nasomeka??
Mkubwaaa umesomeka sana
 
Akiwa RPC somewhere anakuwa na nguvu sana, Polisi wote katika mkoa wanakuwa chini yake, yeye ndo mwenye cheo kikubwa mkoa mzima.

Kila askari katika mkoa huo ana salute kwake,
Vimizigo mbalimbali kutoka kwa wakuu wa vituo vya Wilaya (OCDs na OCCID) anapata sana, plus vimilungula vingiii.

Sasa ngoma inakuwa ngumu akienda HQ kule cheo chake anaonekana bwana mdogo tu, alaf anawakuta wakongwe wa pale wanajua namna ya kucheza na madokezo ye anabaki kupiga miayo tu.

Sijui kama nasomeka??
Hii yote ni Rushwa,sema wwe umeiremba sana,hadi inaonekana ma RPC wanachopewa ni Kama takrima tu wakati hiyo ndiyo Rushwa yenyewe!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
..panya road hawawezi kuishi.

..panya road ni matokeo ya hali mbaya ya uchumi.
Ni kweli hawawezi kuisha panya road ni matokeo ya kufukuza wamachinga kwa kukurupuka na kuwapotezea mitaji yao, vijana wengi walikuwa wanawaza kufanya biashara ndogo ndogo kwaiyo kuwaza uharifu ilikuwa ngumu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom