IGP Wambura apangua tena nafasi za Makamanda wa Polisi

Umesomeka vizuri sana mkuu.
 
upuuzi huu unasaidia katika kudhibiti uhalifU? najaribu kuwaza kama hizo hamisha hamisha zao ziliwahi kuzaa matunda hata sehemu moja. Jeshi linatakiwa kufumuliwa wawekwe watu wenye akili na wanaoweza kufanya kazi kwa kutumia akili na sio nguvu
Siwaelewaga Kuna wakt mnalisifia jeshi kwa kufanya Kaz ngumu kubaini wahalifu mmekuja Tena mnasema lifumuliwe hakn jeshi Bora Africa zote zimefanana

Unafumua uliunde vip wakt watu Ni walewale uliwafumua Ni ngumu Sana hi kitu siku mam akilifuruga jeshi ndio ccm imepotea kusiko julikana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kusifia hizo takataka zinazoomba hela barabarani kwa ajili ya Kiwi never, tafuta uzi ambao nimesifia hao kenge ama na wewe njagu? majitu hayana akili hayo hata kidogo
 
Hamna kitu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…