IGP Wambura awaonya vikali wanaotaka kuandamana, asema huo ni uhaini akitaka "Wakome" na Wasitishe matamshi yao ya Kichochezi...

We ni mbumbumbu,

Uhaini hufanya majeshi, Si raia asiye na silaha.

Maandamano ya Amani yameruhusiwa kikatiba.

Msizoeee kutaja mambo msiyoyajua maana mdomo huumba,

Mlimsingizia Mbowe ugaidi, mkamuumba gaidi halisi Hamza kada wa CCM.
Kaaandamane uone nani anafanya uhaini kama ni majeshi au raia na hakuna dhamana
 
Siungi mkono hayo maandamano, wamuache hangaya mbona anapiga kazi fresh tu, nchi imetulia, amanita, hela imemwagika mtaani yaani watu wanafuraha ya kutosha.

Muacheni mama bhana, kama mlishindwa kuandamana kipindi cha jiwe wkt anaikanyaga katiba sioni umuhimu wa maandamano kwa sasa.
 
Kaaandamane uone nani anafanya uhaini kama ni majeshi au raia na hakuna dhamana
Watishe wajinga wenzio,

Rais mbunge , IGP nk huapa kulinda wananchi, Si kuua wananchi.

Msafara wa Rais Kila kukicha watu huenda na mabango kueleza kero zao Ili zitatuliwe,

Hatujawahi ona polisi wakiwashtaki wabeba mabango Kwa uhaini.

Hii Nchi inaongozwa na SHERIA na Katiba.
 
Si ukaandamane mbona unaongea upuuzi jf,Toka humu nenda barabarani ndugu zako watatoka definition ya TiananMen Square
 
Mama alipe madeni ya watu na aachane na mikopo yenye masharti magumu
 
jipeni matumaini tu kuwa haelewi halafu mje muende mkaandamane yatayowakuta hatahusika mbowe wala lissu mtajuta wenyewe
Wewe wasiwasi wako nini, unadhani Nyerere na Mandela wangekuwa waoga kama wewe wangekuwa marais na kufa kwa heshima.
 
Kwa mtandao ulivyo kuna kila dalili polisi watashindwa haya maandamano.
Wanaounga mkono maandamano ni ccm, polisi, cdm , raia.
Idadi ya polisi iliyopo na mpango uliopo vitakinzana.
 
Kwa mtandao ulivyo kuna kila dalili polisi watashindwa haya maandamano.
Wanaounga mkono maandamano ni ccm, polisi, cdm , raia.
Idadi ya polisi iliyopo na mpango uliopo vitakinzana.
Bila kusahau wadau wote wa Bandari na wanufaika wake.

KAZI IPO!!
 
Ni hatari kwa kiongozi wa Umma kutoa matamshi kama haya

Tumevumilia sana,na IGP amevumilia sana. Kuanzia sasa mtashangaa watu watapigwa mabomu kule ambako wameambiwa waache kwenda na polisi,

Huyu ataupata mwisho anaoutafuta,waliokaribu nae wamshauri kusimamia jukumu lake kwa mujibu wa sheria maana yeye sio wa kwanza
 
Hawa ndio walio enda kusikiliza presentation ya haki jinai.

Leo tayari ana badilisha statement ana sema kuna watu wana taka kupindua serikali.

Tukisema polisi ni mabingwa wa kubandikia watu kesi wao wana bisha.

Sasa huyo ndio boss wa polisi anaonge hivyo

Ati maandamano ni kuvunja sheria?

Ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…