IGP Wambura awaonya vikali wanaotaka kuandamana, asema huo ni uhaini akitaka "Wakome" na Wasitishe matamshi yao ya Kichochezi...

Ccm inao mil.13
 
DP world ya Waarabu wa Dubai inazidi kufanya maji yakorogeke.
 
Watanzania sio watu wa kuandamana, ila mtu anaweza kumezeshwa polonium akatulia zake na kwenda kwa Allah taratibu bila haraka.
Tanzania Hatuna polonium tena Putin kashaitumia yote tangu vita ianze kwa hiyo chukua nyongo ya mamba na sio kila mtu atakufa kwa hiyo kwani wengine ni sugu
 
Amani maana yake nini?
Amani ya Tanzania ni ile ya wananchi kuwa wanyonge kufanyiwa chochote na serikali yao kama vile kuuwawa kutekwa kubakwa kubabizikiwa kesi kulawitiwa kunyanyanganywa mali zao watoto wao pesa zao na kulipa kodi kandamizi na kutawaliwa na viongozi na watoto wao na mahawara zao yote hiyo ni mfumo wa amani na utulivu katika jamii ya Tanzania.Usipokubali hayo wewe sio mzalendo kawe mkimbizi au andamana uone cha mtema kuni
 
Kituo chake cha kazi kimehamia Serena Hotel?
Press kama hiyo huchukuliwa light sana maana inaonekana ni mtu kaenda zake kula maharage pale akashiba halafu akaongea
Afanyie press kwenye eneo la polisi watu waone Yale Majengo Yao yanavyotisha hakuna mtu atajaribu kuinua hata kidole siku ya maanamano
Pili Hakuna mtanzania wa kuiondoa serikali madarakni hata ingekuwa serikali ya nyumba 10
Tanzania ndio nchi pekee duniani yenye viumbe vioga kuanzia watu mpaka wanyama wake ni waoga.
 
Kuna gazeti moja la kiswahili likiita Tazama Tanzania lilikuwa linaandika makala ndefu kuhusu illuminat/freemason. Katika muendelezo wa makala zake kuhusu kundi hilo duniani kupanga njama za kuangusha serikali nyingi duniani ili kutimiza mipango yao duniani (NWO) Tuliona maandamano ya arab spring na matokeo yake. Tukaona mapinduzi ya kijeshi nchi kadhaa za afrika. Kuna nchi wanazilia timing waziangushe serikali zake kwa njia wanazoona inafaa. Sasa hayo maandamano nyuma ya pazia hawakosekani wahuni hao wa dunia. Nia ni kuleta vurugu duniani ili wafanikiwe kutimiza mipango yao
 
Kumbe Katiba hairuhusu maandamano kwa jambo ambalo wananchi hawakubaliani nalo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…