Acha kujiliza liza kutafuta huruma ya hapa JF. Eti ndugu yako alipigiwa simu kubembelezwa akope!!! What a shame, kaa chini na ndugu na familia yako waeleze DUNIA YA SASA NI YA KIBEPARI hakuna kitu cha bure au dezo dezo. Kabla ya kupokea chochote afikirie na kujiridhisha mara nyingi awezavyo athari za anachopokea. Otherwise ujinga wa ndugu yako kutozingatia vigezo na masharti ya alichopokea siyo excuse wala huruma kwake kutochukuliwa hatua. Angeona hiyo elfu 34 ni ndogo angeirejesha basi.
Dawa ya Deni ni kulipa na ZINGATIA KUKOPA KWA SABABU MAALUM.