IGP Wambura ni kweli jeshi lako limeshindwa kuwakamata hawa watu kwa Utapeli na udhalilishaji wanaoufanya kwa Watanzania?

Kwanza kinacho nishangaza Namba zetu za simu wanatoa wapi hawa matapeli Je serikalini hakuna watu wa Haiti je TCRA inafanya kazigani Hapa nchini. Ccm Achieni nchi imewashinda.
Hizi app zao zina masharti ya kuku bali kuaccess contact from our phones,ndio maana wana uwezo kupata namba za watu.
 
Umejibu kwa makasiriko sana mwana Pesa X. Kwanini watushirikishe sisi kwa kututumia sms kuwa kuna mtu kakopa kwao wakati anakopa hajatushirikisha? Wapumbavu wakubwa nyie.
 
Kwanza kinacho nishangaza Namba zetu za simu wanatoa wapi hawa matapeli Je serikalini hakuna watu wa Haiti je TCRA inafanya kazigani Hapa nchini. Ccm Achieni nchi imewashinda.
WAKATI UNAJISAJILI WANAULJZA ALLOW COMP TO ACCESSS UR PHONE KIBU N NDIO UKIJIBU HAPANA HUPATI
BIASHARA IMEISHA HAPO PITILIXA SIKUMOJA UONE WEEEEEE
 
DAWA AYAHAAAWA JAMAAA OMBA KAMA KAMPUN 5 SIKUMOJA WAPIGE ZA MAANA FLASH LINE ZAO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…