Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Ngoja tuonee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
majibu yapo kule nilipokutagSio kirahisi watu wa dar vichwa vibovu
Hivi kitengo hiki hakipo katika jeshi la polisi? Sio wale dawati la jinsi! Na mm nauliza mwenye ufahamu zaidi utupe ufafanuzi.Niwakati sasa wajumbe wa nyumba kumi kuhusika kwa asilimia 100 katika kuwatambua wakazi wa eneo lao,Wote na shughuli zao,hats kama ni tegemezi ajulikane ni dependent wa nani?,na utengenezwe utaratibu mhalifu atakapoonekana anatoka katika shina husika la mjumbe Fulani mjumbe ahusike,Kwa kutomtambua mkazi huyo au mzazi pia ahusike,wazazi wahusike katika kutoa taarifa za watoto wao ambao wanamienendo isiyojulikana bila kuficha,ili serekali isaidie kuwanyoosha mapema,intact wako watoto ambao wamechapwa na wazazi mpaka wazazi wamechoka,Toto halisikii mishowe linamtesa mzazi kulitoa mahabusu mpaka uchumi wa familia kutetereka,pia SI vibaya NDANI ya jeshi letu kukawa na kitengo cha kurekebisha watoto manunda ambao wanawachosha wazazi,ili wazazi Kwa hiyari yao wawapeleke katika kuwanyoosha,na kuwarudisha katika mstari sahihi.
Hakuna aliye juu ya sheria na nchi inabidi iendeshwe kisheria, huwezi kukurupuka na kuanza ku arrest watu bila ya kuwa linked na crime scene kuna watu makatili mno humu JF, mijitu anayofurahia damu ya binadamu, igp fuata sheria, arrest only when una case mkononi sio mihemko, jeshi la police linahitaji kuundwa upya ili liendane na technology ya sasa, utumiaji wa mabavu umeshapitwa na wakati
CrocodiletoothSo terrible indeed!.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura ametoa onyo kwa wahalifu wote kwani wakati huu ni wakati mbaya sana kwao.
Wambura ameyasea hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo ljumaa Septemba 16, 2022 kwenye kikao cha Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masaun kuhusu hali ya usalama nchini.
View attachment 2358932
Sio kirahisi watu wa dar vichwa vibovu
Hii hii watu wanapoa afu wanalianxsh teNaHaha mkuu, dar hii hii au nyingine?