IGP Wambura: Wahalifu wakae chonjo, huu ni wakati mbaya kwao

wamrudishe sirro ndie kiboko hawa wengine ni maneno tu
 
Majambazi, wauza madawa ya kulevya, wavuta bangi na wahalifu wa aina zingine tunawaficha sisi wananchi, wapo kwenye mitaa yetu.

Narudia tena Jeshi la Polisi likishirikiana kwa karibu na Viongozi wa Serikali za Mitaa haswa kwa Mkoa wa DSM na hakika uhalifu utatokomezwa kwa 99%
 
Hivi kitengo hiki hakipo katika jeshi la polisi? Sio wale dawati la jinsi! Na mm nauliza mwenye ufahamu zaidi utupe ufafanuzi.
 
Hali si nzuri, usiku wa jana kuna familia imevamiwa baba yao akiwa safarini. Bahati hakuna aliyeumizwa zaidi ya kuporwa fedha na vitu vingine!
 

Nchi zote unazoziona zimeendelea zilijengwa Kwa mabavu.

Hakuna mabavu hakuna maendeleo katika taifa lolote lile.

Mkishapata maendeleo ndio mnaendelea na mambo ya demokrasia.

Nchi Masikini na wajinga wengi bado usiiendeshe kimabavu.

Mabavu yasitumike Kwa watu wema Hilo ndio angalizo lakini wahalifu ni Shaba tuu
 
Wakitaka kuwa effective yaani kusiwe na kesi, tuwakute watuhumiwa (panya road) mortuary
 
TUFUKIE CHEMCHEM ZA PANYA ROAD WAPYA,KWA KUDHIBITI WATOTO WA MITAANI,MAANA WANAKUWA BILA KUWA NA FORMULA YA MSINGI YA KIMAISHA,PIA JESHI LETU LIJUE PANYA ROAD NI GENGE LINALOUNDWA KIMKAKATI YAANI HUTOKA MAJUMBANI MWAO,KUUNGANA NA KUFANYA TUKIO,WAKIMALIZA TUKIO HUREJEA MAJUMBANI MWAO,NDIO MAANA NIKAPENDEKEZA HATUA ZA UTAMBUZI WA NYUMBA KWA NYUMBA ZOEZI LIKIENDESHWA NA WAJUMBE WENYEVITI NA SUNGUSUNGU,NA POLISI JAMII.
 

Ana maana kulikuwa na wakati mzuri kwao kwa ruksa yao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…