IGP Wambura zuia Polisi kuua haraka wanaohisiwa ni 'Panya Road', himiza 'Interrogation' ili kujua Kiini chao

IGP Wambura zuia Polisi kuua haraka wanaohisiwa ni 'Panya Road', himiza 'Interrogation' ili kujua Kiini chao

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kukamata Watu (hasa Vijana) haraka haraka na Kuwahisi ndiyo Panya Road kisha Kuwaua sidhani kama ni Usahihi na Uweledi hasa katika Kuwamaliza hawa wahalifu.

Mataifa yote yenye Majeshi ya Polisi yanayojitambua huwa hayakurupuki Kuua Mhalifu / Wahalifu bila ya kumfanyia / kuwafanyia Interrogation ili kuweka Kujua Kiini na Kukabiliana nao ili Kuukomesha (Kuumaliza) kabisa.

Tusikurupuke kwa Kuua hovyo Watu (Panya Road) ili kumfurahisha Mheshimiwa Rais Samia awaone mnafanya Kazi bali cheleweni Kuwaua ili muwajue vyema (Kihistoria, Mafunzo yao, Mfadhili wao na Nguvu zao) kisha muwamalize Kiukamilifu ili wawe Historia kwa Tanzania na liwe Funzo (Fundisho) kwa Wengine.

IGP Wambura chukua huu Ushauri!!
 
Maandiko matakarifu yameandikwa "AUAE KWA UPANGA ATAKUFA KWA UPANGA"

Kila mtu atimize wajibu wake.... Polisi na Raia
 
Kukamata Watu (hasa Vijana) haraka haraka na Kuwahisi ndiyo Panya Road kisha Kuwaua sidhani kama ni Usahihi na Uweledi hasa katika Kuwamaliza hawa wahalifu.

Mataifa yote yenye Majeshi ya Polisi yanayojitambua huwa hayakurupuki Kuua Mhalifu / Wahalifu bila ya kumfanyia / kuwafanyia Interrogation ili kuweka Kujua Kiini na Kukabiliana nao ili Kuukomesha (Kuumaliza) kabisa.

Tusikurupuke kwa Kuua hovyo Watu (Panya Road) ili kumfurahisha Mheshimiwa Rais Samia awaone mnafanya Kazi bali cheleweni Kuwaua ili muwajue vyema (Kihistoria, Mafunzo yao, Mfadhili wao na Nguvu zao) kisha muwamalize Kiukamilifu ili wawe Historia kwa Tanzania na liwe Funzo (Fundisho) kwa Wengine.

IGP Wambura chukua huu Ushauri!!
Yani binadamu ukimsikiliza atakuvuruga tu, juzi hapa tulikuwa twa wasema vibaya polisi kuhusu kushamili kwa hawa panya eti leo twalalamika eti polisi hawatendi haki,

Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
 
Yani binadamu ukimsikiliza atakuvuruga tu, juzi hapa tulikuwa twa wasema vibaya polisi kuhusu kushamili kwa hawa panya eti leo twalalamika eti polisi hawatendi haki,

Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
99% ya Watu mlionijibu na kuchangia nilichokiandika hapa mna Udhaifu wa Ubongo ( Akili ) nikimaamisha ni 'damn Fools', kwani hakuna mahala nimesema kuwa Polisi Wasiue / Wasiwauwe hawa Panya Road ila nimekuwa very clear kuwa kabla ya Kuuliwa ( Kuwauwa ) wahakikishe pia wameshafanya Interrogation ya kutosha ili Kuwamaliza vyema hapa ( hapo ) Kosa langu ni nini?

Hamna Akili mnanipotezea tu muda!!
 
Haya makundi hatari yapo na kila siku yanazidi kuongezeka,mimi naona washutumiwa wote wakikutwa eneo lao la kazi pamoja na hizo silaha wanazotumia basi hatua husika za kutokomeza zitumike kwa ukali zaidi ili kukomesha vitendo hivyo maana hawa vijana nao inaonesha tabia hii wamekomaa nayo sana,na sasa kuna msemo wanasema "KIFO USINGIZI MAKABURI MATUTA".

Ila tukija kwa vyombo husika kufanya doria mchana na usiku basi ambao wanaokamatwa kwa kuhisiwa tu basi uchunguzi utumike ipasavyo,maana baadhi ya maeneo kama ya Tabata kuna kipindi wakikuta hata vijana wa makamo kuanzia wawili na kuendelea basi walikuwa wanakamatwa,ningependa uchunguzi husika ufanyike kwa vijana ambao hawajakutwa na uthibitisho wowote ule,ila labda kutembea zaidi ya mmoja,kukamatwa ikiwa wapo kwenye shughuri zao kama boda na mifanano yake ni hayo tu.

Wale wanaosema "KIFO USINGIZI, MAKABURI MATUTA" basi wa wadhibiti ipasavyo.
 
Polisi ni genge la kihalifu lililoundwa na Serikali na kubarikiwa na wananchi👇
View attachment 2368474
View attachment 2368475
Halafu mleta mada anazungumzia mambo kama haya wanaibuka wapuuzi wanamuona yeye ndio panya road! Kuna watu wanafikiri wako immune to these barbaric actions but its just a matter of time before they find themselves on the wrong end of this BS!
 
Back
Top Bottom