Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
bado singida alizeti. jina zuri pia, walichukue na hilo. wakimaliza hapo waite singida kindai, na singidani stars ya kale kaziwa kao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu inapelekea timu kupoteza mashabiki wake,
Is a biznes game braza. Acha wafanya biashara wafanye biashara , wako busy kutafuta namna wanaweza kutimiza malengo yao japo sis wengine tuta watafsiri tofautiMwigulu anachekesha sana,anataka kushindana na GSM na Mo,utamaliza majina yote ila hakuna kitu utafanikiwa
Kama tunavyo jipigia 5imbaSasa Yanga atakuwa anajipigia Ihefu kadri apendavyo.
Matawi yenu yote kutoka kwa mwigulu nchembaSINGIDA FOUNTAIN GATE
SINGIDA BIG STARS
SINGIDA BLACK STARS
SINGIDA UNITED
Mnatuchanganya sana
Kwani weee hukufungwa 5 6 na simba ?Kama tunavyo jipigia 5imba
Bila mkono wa Serikali, ubabaishaji na Ukiritimba, huwezi shindana na Simba na Yanga.Mwigulu anachekesha sana,anataka kushindana na GSM na Mo,utamaliza majina yote ila hakuna kitu utafanikiwa
Hawa wamehamia Mwanza.Na wenzenu wale singida fountain gate wako wapi?
Huko nyuma alitajwa kuwemo katika wauzaji wa dawa nguli afrika masharikiHuwezi jua amekula kwa urefu gani wa kamba yake
tena hii ni ila i ya uchaguzi ya ccmWote tumshukuru mama kufanikisha hili