Ijue bahari: Baharini kuna misitu mikubwa yenye miti mikubwa ya kutosha kuchana mbao kama utazamia

Ijue bahari: Baharini kuna misitu mikubwa yenye miti mikubwa ya kutosha kuchana mbao kama utazamia

Kuna ile miti pale bandari upande wa Kigamboni... Maji ya bahari huwa yanajaa mpk juu yanaifunika ata wiki lakini haifi... Kwahiyo naweza amini miti ipo
 
Mkuu sidhani kama kuna misitu ya miti mikubwa kabisa kama msitu wa kasindaga zaidi ni maseaweed jamii ya maalgae ambayo yanaform sheld kama canopy tu
 
Ngoja tuambizane ukweli kuhusu bahari!

Kuna wakati unaweza hisi umejifunza yote! Kumbe unachokijua hapa duniani hakifikii hata theruthi ya theruthi ya maajabu ambayo huyajui hapa duniani!
Hata mengine ukisimuliwa unaweza fikilia ni chai!

Ukweli ni kwamba kila kitu Mungu kakibalansi!
Ukibeba ndoo ya maji nusu kichwani utaona vile yanavyocheza (yumba yumba) mithili ya kumwagika!

Lakini ukikata tawi la mti ukalitupa kwenye ndoo ya maji hayo mara moja yanatulia (hayachezi tena).

Hii ni sayansi ndogo sana kuitumia!

Bahari ni maji mengi sana, na kutokana na mzunguko wa dunia, Bila shaka mawimbi ya bahari yangekuwa ni makubwa mno!

Lakini kwa sayansi ileile ya ndoo! Chini ya bahari imo miti mikubwa na misitu mikubwa ambayo inasadikika inasaidia kupunguza kuyumba yumba kwa bahari! La sivyo fujo ya maji ingekuwa kubwa sana!
Naomba ufafanuzi kama hili ni uongo (tupingane kwa hoja)

Pia kwa ukubwa wa bahari Ilivyo Duniani, inauwezo wa kumeza vyote vya nchi kavu! (Yaani ukichukua vyoote magari, majumba, maghorofa, watu, misitu yaani makolokolo yote ya nchi kavu ukiyatosa baharini HAYAJAI!

Haya ni mastori yangu fundi umeme SAMICO, mwenye kazi tuinuane jamani nipigie 0711756341 au huko instagramu nifollow @Samico_Tanzania Sinaga bei kabisa! Natindua hata chumba kiwe kimoja
Tunapinganaje kwa hoja wakati wewe mwenyewe ushasema INASADIKIKA?
 
Kusingekuwa na miti vurugu ya maji ingekuwa kubwa sana
Nakubali baharini kuna miti mikubwa hata ya kufikia kuchanwa mbao, sema tu wazamiaji na Watafiti mbalimbali wao, wanaona miamba na matumbawe, badala miti.

Mambo ya ulimwengu usionekana, uliyochini ya ardhi, nadhani ndiyo anaouelezea. Wenye miti baharini majumba ya kifahari na mtandao mzuri wa umeme, usiokatika.
 
Nakubali baharini kuna miti mikubwa hata ya kufikia kuchanwa mbao, sema tu wazamiaji na Watafiti mbalimbali wao, wanaona miamba na matumbawe, badala miti.

Mambo ya ulimwengu usionekana, uliyochini ya ardhi, nadhani ndiyo anaouelezea. Wenye miti baharini majumba ya kifahari na mtandao mzuri wa umeme, usiokatika.

Nimecheka
 
Kuna mkuu amesema Kwamba Meli ya titanic iligonga jiwe.

Kwa kudhani kuwa imegonga mwamba chini ya maji ..
Haikugonga chini ya Maji bali juu ya maji ndy kulikuwa na mwamba wa barafu.
Sawa kabisa iligonga barafu ila hao wakina jack na rose ni fiction story tu imewekwa kwenye kisa cha titanic ili movie inoge..

Kuzama kwa titanic ni sababu ya hali mbaya ya hewa na sio vinginevyo.
 
Back
Top Bottom