Ijue bahari: Baharini kuna misitu mikubwa yenye miti mikubwa ya kutosha kuchana mbao kama utazamia

Kuna ile miti pale bandari upande wa Kigamboni... Maji ya bahari huwa yanajaa mpk juu yanaifunika ata wiki lakini haifi... Kwahiyo naweza amini miti ipo
 
Mkuu sidhani kama kuna misitu ya miti mikubwa kabisa kama msitu wa kasindaga zaidi ni maseaweed jamii ya maalgae ambayo yanaform sheld kama canopy tu
 
Tunapinganaje kwa hoja wakati wewe mwenyewe ushasema INASADIKIKA?
 
Kusingekuwa na miti vurugu ya maji ingekuwa kubwa sana
Nakubali baharini kuna miti mikubwa hata ya kufikia kuchanwa mbao, sema tu wazamiaji na Watafiti mbalimbali wao, wanaona miamba na matumbawe, badala miti.

Mambo ya ulimwengu usionekana, uliyochini ya ardhi, nadhani ndiyo anaouelezea. Wenye miti baharini majumba ya kifahari na mtandao mzuri wa umeme, usiokatika.
 

Nimecheka
 
Kuna mkuu amesema Kwamba Meli ya titanic iligonga jiwe.

Kwa kudhani kuwa imegonga mwamba chini ya maji ..
Haikugonga chini ya Maji bali juu ya maji ndy kulikuwa na mwamba wa barafu.
Sawa kabisa iligonga barafu ila hao wakina jack na rose ni fiction story tu imewekwa kwenye kisa cha titanic ili movie inoge..

Kuzama kwa titanic ni sababu ya hali mbaya ya hewa na sio vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…