Ijue Biashara ya kunenepesha Ng'ombe yenye faida kubwa

Ijue Biashara ya kunenepesha Ng'ombe yenye faida kubwa

BigBaba

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
1,908
Reaction score
9,040
584272c199331d9f4d9a6201cb6fe5d8.jpg

Habari zenu wananzengo. Mi sio mwandishi mzuri naomba tu mnivumilie ningependa kujua kama kuna mtu anafaham juu ya biashara ya kunenepesha ng'ombe na kuwauza.

0f5123e5ee71f56361dfe8b33fef6fc9.jpg


Naomba tushee utaalam ili nijue faida ya biashara hiyona hasara ya na vitu vinavyotakiwa kuanzia wanapopatikana hao ng'ombe na bei wanazouzia,soko lake na tahadhari zake naomba msaada wenu tafadhari wananzengo .

468176bd35f241bd8326bd1c2f856356.jpg


Hui mradi huwa naupenda sana ila ndo cjui namna ya kufanya mradi huo nisaidie wataalamu.


Pia kama kuna mtu anavutiwa na mradi huu na angependa tushirikiane na mkaribisha sana.

Natanguliza shukrani zangu kwenu wananzengo najua mtanisaidia japo mawazo ili nifikie malengo niliyokusudia.
 
Kwa mbegu za ng'ombe nenda ranchi za serikali nunua Borani hii ni mbegu nzuri ya nyama,ng'ombe anakuwa mkubwa sana kufika hata 1000kg,dume wanauza 600,000/=.Maelezo zaidi utayapata huko
 
Kwa mbegu za ng'ombe nenda ranchi za serikali nunua Borani hii ni mbegu nzuri ya nyama,ng'ombe anakuwa mkubwa sana kufika hata 1000kg,dume wanauza 600,000/=.Maelezo zaidi utayapata huko
Asante sana mkuu
 
Ndugu tafuta contacts za watawa wa Peramiho Songea hawa wana aina moja ya ngombe zililetwa kutoka Germany tulikuwa na dume moja ni hatari wanakuwa haraka na ni matupurpose kwa maziwa na nyamba. Kwahiyo kama unataka wa nyama unachukuwa madume unawapa chakula ndani ya mwaka na nusu mpaka miaka miwili utawaona utamu wake ila kwa kula wako vizuri. Nakumbuka kunywa maji ndoo saba hilo sio tatizo
 
Ila hiyo boran kwa mazingira yetu imedhibitisha kuwa bora kwa nyama lakini ndio hivyo tena wana hiyo nundu
 
584272c199331d9f4d9a6201cb6fe5d8.jpg

Habari zenu wananzengo. Mi sio mwandishi mzuri naomba tu mnivumilie ningependa kujua kama kuna mtu anafaham juu ya biashara ya kunenepesha ng'ombe na kuwauza.

0f5123e5ee71f56361dfe8b33fef6fc9.jpg


Naomba tushee utaalam ili nijue faida ya biashara hiyona hasara ya na vitu vinavyotakiwa kuanzia wanapopatikana hao ng'ombe na bei wanazouzia,soko lake na tahadhari zake naomba msaada wenu tafadhari wananzengo .

468176bd35f241bd8326bd1c2f856356.jpg


Hui mradi huwa naupenda sana ila ndo cjui namna ya kufanya mradi huo nisaidie wataalamu.


Pia kama kuna mtu anavutiwa na mradi huu na angependa tushirikiane na mkaribisha sana.

Natanguliza shukrani zangu kwenu wananzengo najua mtanisaidia japo mawazo ili nifikie malengo niliyokusudia.
Uko mkoa gani bosi?biashara hii ni nzuri japo sijakupata kuwa time range yako unataka muda gani kuwafuga ili wanenepe na uwauze maana kuna mchangiaji kazungumzia mwaka na nusu mpaka miwili,but kwangu naona ni muda mrefu sana wakati hata hawa ng'ombe wetu wa kawaida kwa muda huo lazima awe ameongeza thamani yake na ukapata faida.Hebu funguka juu ya muda.
 
Kila la kheri mkuu
Ingawa nimekumbuka kitu kuhusu unenepeshaji wa hao wanyama sina hamu bora wawe natural tu
 
Uko mkoa gani bosi?biashara hii ni nzuri japo sijakupata kuwa time range yako unataka muda gani kuwafuga ili wanenepe na uwauze maana kuna mchangiaji kazungumzia mwaka na nusu mpaka miwili,but kwangu naona ni muda mrefu sana wakati hata hawa ng'ombe wetu wa kawaida kwa muda huo lazima awe ameongeza thamani yake na ukapata faida.Hebu funguka juu ya muda.
Mi nazungumzia muda wa miezi mitatu ikizidi minne mkuu
 
Ila hiyo boran kwa mazingira yetu imedhibitisha kuwa bora kwa nyama lakini ndio hivyo tena wana hiyo nundu
Asante mkuu
Upande wangu nilikuwa nataka tu hawa wa kawaida kwa muda mfupi
 
Ndugu tafuta contacts za watawa wa Peramiho Songea hawa wana aina moja ya ngombe zililetwa kutoka Germany tulikuwa na dume moja ni hatari wanakuwa haraka na ni matupurpose kwa maziwa na nyamba. Kwahiyo kama unataka wa nyama unachukuwa madume unawapa chakula ndani ya mwaka na nusu mpaka miaka miwili utawaona utamu wake ila kwa kula wako vizuri. Nakumbuka kunywa maji ndoo saba hilo sio tatizo
Asante mkuu
Lengo langu ni hawa wa kawaida namna ya kuwapata na kuwatunza kwa muda mfupi wanipe faida
 
Uko mkoa gani bosi?biashara hii ni nzuri japo sijakupata kuwa time range yako unataka muda gani kuwafuga ili wanenepe na uwauze maana kuna mchangiaji kazungumzia mwaka na nusu mpaka miwili,but kwangu naona ni muda mrefu sana wakati hata hawa ng'ombe wetu wa kawaida kwa muda huo lazima awe ameongeza thamani yake na ukapata faida.Hebu funguka juu ya muda.
Nipo morogoro kilosa mkuu
 
Back
Top Bottom