Bf Tulinagwe
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 211
- 383
Biashara nzuri , na kama una system ya kumiliki mabucha yako mwenyewe na kunenepesha utawini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo wengi waongeaji tu mkuu; utekelezaji uko down xnaChangamoto ya JF ni kwamba watu hawaleti mirejesho ilhali wadau wamejipinda kutoa michango kuntu kabisa bila hiyana kitu ambacho ni nadra sana kwa wabongo
Mkuu bado unaendelea na hii biashara? Hydom wanauzaje mashudu kwa gunia?OK. IKO HIVII, MIMI NI MTUMISHI WA SERIKALI NIPO TOWN, NILICHUKUA SALARI LOAN NIKANUNUA DUME 4 WA LAKI 4 KILA 1, NA DUME 4 WA LAKI 3 KILA MOJA, NA DUME 4 WA LAKI 2 KILA MOJA. JUMLA WAKAWA DUME 12 NA GHARAMA YA MANUNUZI IKIWA 3.6M NINAWAFUGIA KIJIJINI KWETU BABATI VIJIJINI, WOTE NILIWAPA DAWA YA MINYOO BAADA TU YA KUWANUNUA, IKAWA WANALISHWA TU MAJANI KWA MIEZI 4,THEN NIKAJA NUNUA MASHUDU GUNIA 10 WAKATI YAKIWA BEI RAHISI SEHEMU PANAITWA HYDOM, MANUNUZI NA USAFIRI MPAKA KWETU IKAWA KAMA 170,000. IKAWA WALE 4 WAKUBWA WANALISHWA PUMBA NA MAJANI,THEN AFTER ANOTHER 4 MONTHS NIKAWAUZA JUMLA YA 2.7M,WAKABAKI ZILE BATCH 2 AMBAO NI DUME 8., ILE 2.7M NIKAONGEZEA LAKI 4 NIKANUNUA TENA DUME 12 WA SIZE TOFAUTI,JUMLA WAKAWA 20. NIKAWA SASA KILA BAADA YA MIEZI 3 NAUZA BATCH YA DUME 4 , MALISHO NI MAJANI,ILA ILE BATCH INAYOKARIBIA KUUZWA KWA MIEZI 3 NAWACHANGANYIA NA PUMBA, KWENYE MAJI NAWEKA CHUMVI KIDOGO, NA NAWAPA DAWA MINYOO SEASONALY,KILA MWEZI KUNA KIJANA WA KUCHUNGA NAMLIPA ELFU 40. NIKIPIGA MAHESABU YANGU VIZURI HUWA KILA MIEZI 3 SIKOSE 1M KAMA NET PROFIT WAKATI NIKIWA MJINI BILA HATA KWENDA KUWAANGALIA. KUHUSU SOKO SIKU HIZI LIPO NJE NJE MIE NIKITAKA KUUZA KUNA WATU NAWAPAGA TU TAARIFA WANAWAFUATA NYUMBANI
Na je haya ni mashudu ya nn? Alizeti au..?!Mkuu bado unaendelea na hii biashara? Hydom wanauzaje mashudu kwa gunia?
Wezi wanaturudisha nyuma, nahitaji kufuga 🐮 lakini nafsi inasita sababu ya wezi, kwangu wanashusha nazi kinyama, sasa 🐮 si ndio itakuwa kama kumsukuma mlevi.. Nafikiria ninunue cha moto 🔫 lakini nasikia mlolongo ni mrefu, kuna ile mishale ya kulenga kama bunduki ndio natafuta, ukipata huko tushituane, nataka nimtwange mtu mshale wa kalio tuheshimiane.😠Asante kwa uzi huu mzuri, binafsi changamoto kwenye ufugaji wa ng'ombe ni wizi yaani sijapata suluhu jinsi ya kudhibiti tatizo la wizi ....naomba mwenye ujuzi zaidi tusaidiane
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Sijui kwa nini Watanzania huwa wanaweka masihara kila mahali, upuuzi tuWape kitimoto na na bia mkuu!
Fuga mbwa wa kisasa acha ubahili.Asante kwa uzi huu mzuri, binafsi changamoto kwenye ufugaji wa ng'ombe ni wizi yaani sijapata suluhu jinsi ya kudhibiti tatizo la wizi ....naomba mwenye ujuzi zaidi tusaidiane
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Hapo sasaHuu uzi umekwama ..... hauna mirejesho wala muendelezo
Hii biashara mzee wangu aliwahi kuifanya ila kwa kutegemea madume wanaozaliwa nyumbani wakue anenepeshe auze nakumbuka kuna dume mmja aliwah muunganish kwa wanaopakia ng'ombe kupelek arusha kwa yule dume tulipata lak8 na ushee na hakuwa mkubwa kivile alizingatia lishe,dawa na virutubisho vya kunenepesh mfugo ambavyo vilikuwa si bei kubwa na vingi tulikuwa tunapata kwa dada mmja alikuwa akifany kazi kwenye kampuni fln la mifugo....kama mtu anamtaji mzuri morogoro,manyara ni sehem nzur kwa biashr hii.....tatizo ni WEZI hawa watu wanarudsh nyuma san wafugaji wadogowadogoMkuu bado unaendelea na hii biashara? Hydom wanauzaje mashudu kwa gunia?
Hii biashara mzee wangu aliwahi kuifanya ila kwa kutegemea madume wanaozaliwa nyumbani wakue anenepeshe auze nakumbuka kuna dume mmja aliwah muunganish kwa wanaopakia ng'ombe kupelek arusha kwa yule dume tulipata lak8 na ushee na hakuwa mkubwa kivile alizingatia lishe,dawa na virutubisho vya kunenepesh mfugo ambavyo vilikuwa si bei kubwa na vingi tulikuwa tunapata kwa dada mmja alikuwa akifany kazi kwenye kampuni fln la mifugo....kama mtu anamtaji mzuri morogoro,manyara ni sehem nzur kwa biashr hii.....tatizo ni WEZI hawa watu wanarudsh nyuma san wafugaji wadogowadogo
Fugia usukumani vijijini. Hao jamaa sio wezi na hakuna hiyo changamoto ya wizi wa mifugo.Changamoto ya wizi tunaishughulikia vipi?
Kwa anayeanza kuanza na borani atakula hasara borani wanahitaji matunzo ya hali ya juu na kuna baadhi nya maeneo nchini hawawezi stahimili na hii biashara ya kunenepesha ng'ombe nenda hasa mkoa wa kagera wilaya ya Misenyi, Karagwe ndio kwenyewe nunua ng'ombe katka mazingira hayo hayo usiwatoe mbali kama Geita au Biharamuro wanaweza kufa pia baada ya nunua lipia vitalu kwa watu binafsi ambao hukodisha kwa mwaka yaani kila ng'ombe ni tsh laki moja kwa mwaka japo kwenye kitalu kunenepa hachukua miezi mitatu hadi minne kwa zile ngombe wanaita nyankole zenye mapembe makubwa na kwa ngombe mkubwa kwa Uganda wanauzwa hadi millioni mbili za TZ au million nne za UG kule kuna usindikaji na kuuzwa nje nyama na jamii ya kule ngombe kwao ni kama dhahabu ngoja waje wataalamu zaidiKwa mbegu za ng'ombe nenda ranchi za serikali nunua Borani hii ni mbegu nzuri ya nyama,ng'ombe anakuwa mkubwa sana kufika hata 1000kg,dume wanauza 600,000/=.Maelezo zaidi utayapata huko
sio vizuri kwani ukisoma na kupita tu mbona inapendeza tuWape kitimoto na na bia mkuu!
Fugia usukumani vijijini. Hao jamaa sio wezi na hakuna hiyo changamoto ya wizi wa mifugo.
Wezi ni jamaa wa DodomaNi kweli ila ukifugia karibu na maeneo walipo wamasasi ama wamangati hiyo ni sawa na kulima shamba la miwa pembezoni mwa shule ya msingi.