Ijue Biashara ya kunenepesha Ng'ombe yenye faida kubwa

Ijue Biashara ya kunenepesha Ng'ombe yenye faida kubwa

......ila ndo cjui namna ya kufanya mradi....... Halafu unasema unafaida fanya utafiti wa kutosha kwanza ndio upate uhakika wa mradi kuwa na faida.

......ila ndo cjui namna ya kufanya mradi....... Halafu unasema unafaida fanya utafiti wa kutosha kwanza ndio upate uhakika wa mradi kuwa na faida.

haina maana kukatisha watu tamaa,wewe una biashara unayoifanya ,mwenzio hawezi fanya biashara hiyohiyo watanzania wote tukafanya the same b'ness. kwa watu waliosoma b'ness analysis they understand what i mean. biashara hii ina faida maana unaweza ifanya bila uwepo wako,haikuhitaji follow up ya kila wakati ,wewe kazi yako nunua ng'ombe, weka mzigo wa chakula, kuwe na sehemu ya malisho na umpati atakayewalisha bas. ukiwasikiliza wavivu hutaenda mahali. na ukiwa na mtaji mdogo hbuwezi kupata a net profit ambayo ni mkubwa , kwa watumishi ambao wamekubali kuwa waajiriwa kwa maisha yote irecommend this as a good b'ness.
 
Ngoja atupe huo utaalam mana mi sijui kitu mkuu zaidi ya kuwapa pumba tu na mashudu
Hamna kitu hapo huwezi kuwapa mifugo mbolea ya tumbaku kama chakula kwani ni sumu
Nimekulia kwenye ufugaji nakumbuka tulikuwa tunawapa maji ya chumvi au kumwagia chumvi kweenye vichuguu hiyo miaka ni zamani sana
Lakini kuna siku nilikuwa kahama opposite na buzwagi mining nikaona ng'ombe wanene sana hawawezi hata kutembea nilipouliza wazawa ndio wakaniambia wanaandaliwa kwenda kuuzwa Dar kwa bei kubwa sana.
Maana wanalishwa mbolea ya tumbaku ili wanenepe haraka
Lakini mwisho tafiti zikaonyeaha ukitumia nyama hiyo madhara yake ni cancer hii ni athari iliyoelezwa na mganga
Zipo njia sahihi za kufanya washibe na kunenepa na mbegu na aina ya mifugo pia.
Ankole wao ni wakubwa lakini hawana uzito wa kutisha
Wataalamu watakuja uwasikilize
Mengine ni ya kunywea kahawa tu puuza
 
haina maana kukatisha watu tamaa,wewe una biashara unayoifanya ,mwenzio hawezi fanya biashara hiyohiyo watanzania wote tukafanya the same b'ness. kwa watu waliosoma b'ness analysis they understand what i mean. biashara hii ina faida maana unaweza ifanya bila uwepo wako,haikuhitaji follow up ya kila wakati ,wewe kazi yako nunua ng'ombe, weka mzigo wa chakula, kuwe na sehemu ya malisho na umpati atakayewalisha bas. ukiwasikiliza wavivu hutaenda mahali. na ukiwa na mtaji mdogo hbuwezi kupata a net profit ambayo ni mkubwa , kwa watumishi ambao wamekubali kuwa waajiriwa kwa maisha yote irecommend this as a good b'ness.

Sikuwa nakatisha tamaa mtu. Nilikuwa nampa tahadhari tu kwamba anatakiwa kukusanya taarifa zaidi na kuzifanyia kazi kabla ya maamuzi. Huwezi ku conclude ni profitablke bila kupitia kwanza mchakato huo. Kuwa profitable kuna dependants nyingi including distance unako watoa, gharama za kuhifidhi, kulisha, kutibu etc., g0harama za kupeleka sokoni, etc.
 
Nasikia kuna washenzi wanawapaga mifugo dawa za ARV kuwanenepesha sijui ni kweli[emoji23]
 
Sikuwa nakatisha tamaa mtu. Nilikuwa nampa tahadhari tu kwamba anatakiwa kukusanya taarifa zaidi na kuzifanyia kazi kabla ya maamuzi. Huwezi ku conclude ni profitablke bila kupitia kwanza mchakato huo. Kuwa profitable kuna dependants nyingi including distance unako watoa, gharama za kuhifidhi, kulisha, kutibu etc., g0harama za kupeleka sokoni, etc.
Lengo la uzi huu nikujifunza nazani umesoma content ya uzi mkuu mi naulizia tu namna wenda kuna watu wanafahamu zaidi heading ni wandishi tu huo mkuu haina haja povu litutoke sana tuende tu kwenye maada
 
Unashangaa nini? Unajua manufaa ya UREA kwenye mfumo wa tumbo la ng'ombe wewe? Waliwakamata kwa vile walikuwa hawajui lakini huko mahakamani lazima waliwagaragaza hao washitaki wao!
Kwanza tumbo lenyewe la ngombe hutengeneza hiyo urea kulisha vimelea vya kusaga nyas
Unashangaa nini? Unajua manufaa ya UREA kwenye mfumo wa tumbo la ng'ombe wewe? Waliwakamata kwa vile walikuwa hawajui lakini huko mahakamani lazima waliwagaragaza hao washitaki wao!
Good. Umemjibu vizuri. Tumbo lenyewe la ngombe hutengeneza urea kulisha vimelea vya kusaga chakula tumboni mwake! Hivyo kumwongezea urea kiasi hasa wakati wa kiangazi ( nyasi kavu) ni tija .
 
the world is changing right now, people are now shifting from taking red meat to white meat or neither of the two, this idea will not be viable for the coming days.
Information Age
 
mkuu unataka kufuga au kunenepesha??

maana kuna wapo wa aina mbili:
1.unaweza kununua ngombe wa kawaida hasa wakati wa kiangazi ambao wanauzwa kwa 150,000 -30,0000 inategememea na uwezo wako kushawishi pamoja na sehemu.
hawa ngombe unaweza kuwalisha majani ya kawaida ambao baada ya msimu wa mvua wakinenepa unaweza kuuza kwa 450000 -600000 au mpka 700000 hii inategemea na ukubwa wake pamoja na mnada.,,vile vile unaweza kuwanunua hawa wakawaida ukawalisha pumba(mashudu) haya ni machicha ya pamba, yanapatikana kwenye viwanda vya pamba vinavyochakata mafuta, uzuri wake ngombe wananenepa sana japo ni gharama sana ukilinganisha na wale wa majani ya kawaida. hawa sokoni wanasiamia 500000 -750000 hapa kinachoongeza bei ni umbo, jitahidi uchague wale wenye maumbo makubwa ilikusudi akinenepa awe na kilo nyingi.
2. kuna wale wa kuchukua ngombe wa kawaida lakini unapandikiza na yale madume yenye umbo kubwa ambayo mengi ni hybrid haya yanapatikana maeneo ya rukwa kwenye lunch za serikali na binafisi. ndama dume anauzwa kuanzia 500000-700000 lakini baada ya kupandikiza wanazaliwa ndama ambao ni chotala wanaweza kuishi kwa mazingira yyte ambao madume yakizaliwa unaweza kuuza mbaka 1.5m yakiwa makubwa ubaya wa hii biashara inahitaji mtaji mkubwa na inachukua mda mwingi siyo kama ile ya 1.

asante
 
Kama kuna mdau yupo maeneo ya Katesh hadi Dareda naomba anicheki DM
 
Biashara huria


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu unaweza kushare idea ilivo work out km ulifanikiwa kufanya.......
Naomba ushauri zaidi kwa wenye uzoefu au utaalamu wa huu mfumo wa biashara
 
Back
Top Bottom